Je hii site imevurugika au... maana siwezi kuipata kirahisi, kuna yeyote yule mwingine ambaye anapata tatizo?!
Nauliza kwani kama site nyinginezo zinazotembelewa na Watanzania wengi itakuwa...
Well, mimi nafikiri tumeshakata sana issue za ufisadi hapa. Watu wameumbuliwa sana tu, na kwa kweli sisi tumeonyesha kwamba tunaweza sana kukemea na kuwaumbua mafisadi kuanzia wale waotuibia hela...
HabariLeo; Wednesday,November 07, 2007 @00:01
TUNAUNGA mkono agizo lililotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Albert Mnary, ya kutaka maelezo kutoka kwa wenyeviti wa wilaya na Halmashauri ya...
Members of JF tunazungumzia dhana ya ufisadi, ulaji rushwa ufujaji wa mali za umma. Lakini kuna jambo moja ambalo linanitia mashaka matumizi na mantiki au lengo madhubuti. Karibu viongozi walio...
Jamani nchi yetu inakwenda wapi? Mahospitalini karibia mwezi wa sita sasa huduma ya chanjo kwa watoto hakuna. Mimi nina mtoto mchanga tumeshazunguka hospitali karibia zote hapa jijini na chanjo...
sijaona salam za rambi rambi za chama makini juu ya huu msiba kama chama, jee ndio hauwahusu? ndio mafisadi hawastahiki kupewa mkono wa pole?
...Lipumba, Makamba wamlilia
Na Mwandishi Wetu...
Nimepata mail iliyo na tuhuma kuhusiana na BOT.Je kuna ukweli wowote kwenye mail hii|?
Hii ni habari halisi na ya uhakika kutoka ndani ya BOT. Je unawajua walioajiriwa kusimamia uchumi wa nchi...
Mimi sio mpenzi wa kusoma magazeti, ni mtu ninayependa kuangalia vichwa vya habari tu kisha huyo naacha sisomi tena, kama kusoma basi kuna waandishi ambao nimejijengea mazoea ya kusoma maoni na...
Wana JF kuna mtu kaweka clip kwenye Yuotube anapotray the situation in Tanzania but´......
angalia hii link http://www.youtube.com/watch?v=ultGDaCcpUc
Tanzania iko Hivyo? Au ndio tunaelekea huko...
Hapo mwanzo niliwahi kuandika kuhusu YouTube na hati miliki haswa za sanaa zetu hapa Tanzania, tangia hapo nimekuwa mpenzi kutembea YouTube kuangalia sanaa mbalimbali haswa za miziki kutoka...
Leo ni siku ya kukemea adhabu ya kifo duniani.
Katika jamii zetu kuna wahalifu wengi na wengine ni sugu na wengine tunatamani wauwawe tukiamini kuwa uovu utakoma. Lakini je adhabu ya kifo...
NAONA KAGOMA HATA KUWAPA SALAM ZA IDDI.KISA? YUKO BIZE
Halafu anataka kuwa cloze na watanzania
Ndugu yetu saidi yakubu alikwepo naye hapo kwenye baraza la iddi manor park, east london, (sehemu...
MSINIELEWE VIBAYA KWA MANENO HAYA YA KUTAKA ''VITA''
Tanzania inataka vita ili ijulikane-tuache kujitangaza nchi za nje kwa kutumia mamilion ya wavuja jasho huko CNN wakati somalia...
Posted Date::10/14/2007
Maafisa wa serikali wakiri kukosea agizo la Rais
Na Ramadhan Semtawa
Mwananchi
MAAFISA wa Serikali wamekiri kuwa waliokosea kuandika barua ya kumfukuza kazi...
Kutoka gazeti la Nipashe
Serikali ya kijiji Nyankumbu yavuliwa uongozi
2007-10-13 08:37:59
Na Renatus Masuguliko, PST Geita
Uongozi wa Serikali ya Kijiji cha Nyankumbu, Wilaya ya Geita...
SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS
Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo:
1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote.
2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui...
I take this opportunity to thank and congratulate everyone who decided to join this forum.
This is designed to be a forum that will tape Tanzanian potentials towards our national development.
I...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.