Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

JF Prefixes:

  • Closed
Je hii site imevurugika au... maana siwezi kuipata kirahisi, kuna yeyote yule mwingine ambaye anapata tatizo?! Nauliza kwani kama site nyinginezo zinazotembelewa na Watanzania wengi itakuwa...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Well, mimi nafikiri tumeshakata sana issue za ufisadi hapa. Watu wameumbuliwa sana tu, na kwa kweli sisi tumeonyesha kwamba tunaweza sana kukemea na kuwaumbua mafisadi kuanzia wale waotuibia hela...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
HabariLeo; Wednesday,November 07, 2007 @00:01 TUNAUNGA mkono agizo lililotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Bukoba, Albert Mnary, ya kutaka maelezo kutoka kwa wenyeviti wa wilaya na Halmashauri ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Members of JF tunazungumzia dhana ya ufisadi, ulaji rushwa ufujaji wa mali za umma. Lakini kuna jambo moja ambalo linanitia mashaka matumizi na mantiki au lengo madhubuti. Karibu viongozi walio...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Jamani nchi yetu inakwenda wapi? Mahospitalini karibia mwezi wa sita sasa huduma ya chanjo kwa watoto hakuna. Mimi nina mtoto mchanga tumeshazunguka hospitali karibia zote hapa jijini na chanjo...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
sijaona salam za rambi rambi za chama makini juu ya huu msiba kama chama, jee ndio hauwahusu? ndio mafisadi hawastahiki kupewa mkono wa pole? ...Lipumba, Makamba wamlilia Na Mwandishi Wetu...
0 Reactions
130 Replies
16K Views
Nimepata mail iliyo na tuhuma kuhusiana na BOT.Je kuna ukweli wowote kwenye mail hii|? Hii ni habari halisi na ya uhakika kutoka ndani ya BOT. Je unawajua walioajiriwa kusimamia uchumi wa nchi...
0 Reactions
31 Replies
8K Views
Mimi sio mpenzi wa kusoma magazeti, ni mtu ninayependa kuangalia vichwa vya habari tu kisha huyo naacha sisomi tena, kama kusoma basi kuna waandishi ambao nimejijengea mazoea ya kusoma maoni na...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Wana JF kuna mtu kaweka clip kwenye Yuotube anapotray the situation in Tanzania but´...... angalia hii link http://www.youtube.com/watch?v=ultGDaCcpUc Tanzania iko Hivyo? Au ndio tunaelekea huko...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hapo mwanzo niliwahi kuandika kuhusu YouTube na hati miliki haswa za sanaa zetu hapa Tanzania, tangia hapo nimekuwa mpenzi kutembea YouTube kuangalia sanaa mbalimbali haswa za miziki kutoka...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Leo ni siku ya kukemea adhabu ya kifo duniani. Katika jamii zetu kuna wahalifu wengi na wengine ni sugu na wengine tunatamani wauwawe tukiamini kuwa uovu utakoma. Lakini je adhabu ya kifo...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
NAONA KAGOMA HATA KUWAPA SALAM ZA IDDI.KISA? YUKO BIZE Halafu anataka kuwa cloze na watanzania Ndugu yetu saidi yakubu alikwepo naye hapo kwenye baraza la iddi manor park, east london, (sehemu...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
  • Closed
MSINIELEWE VIBAYA KWA MANENO HAYA YA KUTAKA ''VITA'' Tanzania inataka vita ili ijulikane-tuache kujitangaza nchi za nje kwa kutumia mamilion ya wavuja jasho huko CNN wakati somalia...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Posted Date::10/14/2007 Maafisa wa serikali wakiri kukosea agizo la Rais Na Ramadhan Semtawa Mwananchi MAAFISA wa Serikali wamekiri kuwa waliokosea kuandika barua ya kumfukuza kazi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Kutoka gazeti la Nipashe Serikali ya kijiji Nyankumbu yavuliwa uongozi 2007-10-13 08:37:59 Na Renatus Masuguliko, PST Geita Uongozi wa Serikali ya Kijiji cha Nyankumbu, Wilaya ya Geita...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
  • Closed
SHERIA NA KANUNI ZA JAMII FORUMS Tafadhali jiepushe na mambo yafuatayo: 1. Kumvunjia heshima, kumkejeli, kumtukana, mjumbe yeyote. 2. Kuleta katika JAMII FORUMS maelezo yenye maudhui...
2 Reactions
0 Replies
4K Views
  • Closed
I take this opportunity to thank and congratulate everyone who decided to join this forum. This is designed to be a forum that will tape Tanzanian potentials towards our national development. I...
13 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom