Kwa hiki nilichoshuhudia huu mpango wa uzazi wa kuzaa watoto wawili au watatu siwezi kuufanya

Kuzaa watoto wengi na kupata mrithi bora havihusiani. Unaweza zaa wa5 wote wakawa hopeless ila ukazaa mmoja na Akawa mtu bora kwa mahitaji yako.

Pia, leo watu kuzaa watoto wachache it's not a matter of choice, bali ni matokeo ya mabadiliko ya mifumo ya maisha.

Kwanza kusoma. Zamani kufikia 18 yrs jinsia zote zilikua ndoani so duration ya kuzaa ni kubwa. Leo up to 30 yrs watu bado wako mashuleni. Unadhani watu watazaa sana? Mwanamke wa sasa ana 10 to 15 yrs duration ya kuzaa huku wa zamani had 15 to 25 yrs ya kuzaa.

Pia uhitaji wa watoto kama labour force leo haupo.

Muhimu zaidi, kulea na kukuza mtoto siku hizi ni gharama kubwa ya fedha. Cost za uzazi, afya na kusomesha.

Bila serikali zetu kufanyia kazi hili suala la couples kuzaa watoto chini ya watatu, in 30 yrs time, tutegemea kuwa na shida ya workforce na population decline kubwa.
 
Kumbe Magufuli aliweza kudanganya wengi. Ingekuwa kuzaa sana kunaambatana na mafanikio basi bara la Afrika lingekuwa liko mbali sana. Kijijini ninakotoka watu wenye umri wa mika 40+ sasa hivi wengi wao wana wastani wa watoto 5 lakini maisha yao ni magumu kweli kweli.
Kama kua wengi ndo umasikini China India indonesia ambazo ni theluthi 2 za idadi ya watu dunianu wangekua nchi masikini kuliko Rwanda Burundi Mali Haiti nk, lakini sasa ni kinyume chake, hakuna uhusiano kati ya umasikini na wingi wa watu,......Nigeria ina 280m watu ndo inaongoza kua tajiri Africa.
 
Kuzaa watoto wengi na kupata mrithi bora havihusiani. Unaweza zaa wa5 wote wakawa hopeless ila ukazaa mmoja na Akawa mtu bora kwa mahitaji yako.

Pia, leo watu kuzaa watoto wachache it's not a matter of choice, bali ni matokeo ya mabadiliko ya mifumo ya maisha.

Kwanza kusoma. Zamani kufikia 18 yrs jinsia zote zilikua ndoani so duration ya kuzaa ni kubwa. Leo up to 30 yrs watu bado wako mashuleni. Unadhani watu watazaa sana? Mwanamke wa sasa ana 10 to 15 yrs duration ya kuzaa huku wa zamani had 15 to 25 yrs ya kuzaa.

Pia uhitaji wa watoto kama labour force leo haupo.

Muhimu zaidi, kulea na kukuza mtoto siku hizi ni gharama kubwa ya fedha. Cost za uzazi, afya na kusomesha.

Bila serikali zetu kufanyia kazi hili suala la couples kuzaa watoto chini ya watatu, in 30 yrs time, tutegemea kuwa na shida ya workforce na population decline kubwa.
Mkuu ni lazima uzae na mwanamke moja? Hilo pia nishuda kuna ulazima wakuchanganya Damu za wakina mama, otherwise you may end into tears......ukipata damu ya mama mbovu.
 
Kuzaa watoto wengi na kupata mrithi bora havihusiani. Unaweza zaa wa5 wote wakawa hopeless ila ukazaa mmoja na Akawa mtu bora kwa mahitaji yako.

Pia, leo watu kuzaa watoto wachache it's not a matter of choice, bali ni matokeo ya mabadiliko ya mifumo ya maisha.

Kwanza kusoma. Zamani kufikia 18 yrs jinsia zote zilikua ndoani so duration ya kuzaa ni kubwa. Leo up to 30 yrs watu bado wako mashuleni. Unadhani watu watazaa sana? Mwanamke wa sasa ana 10 to 15 yrs duration ya kuzaa huku wa zamani had 15 to 25 yrs ya kuzaa.

Pia uhitaji wa watoto kama labour force leo haupo.

Muhimu zaidi, kulea na kukuza mtoto siku hizi ni gharama kubwa ya fedha. Cost za uzazi, afya na kusomesha.

Bila serikali zetu kufanyia kazi hili suala la couples kuzaa watoto chini ya watatu, in 30 yrs time, tutegemea kuwa na shida ya workforce na population decline kubwa.
 
KATAA KUZAA,
Kuna sababu gani muhimu ya kuzaa watoto? Yaani niache kuishi maisha ya furaha nitafute huzuni? Kwangu kuzaa ni hakuna sababu coz sipendi huzuni.
1. Mtoto akiumwa mzazi anasononeka
2. Mtoto akipitia magumu mzazi atabaki na huzuni.
3. Mtoto asipokuwa na future ya Dunia, mzazi anasononeka, kama huyo uliesema anasonona ofisini.
4. Fikiria maumivu ya wazazi waliozaa mateja, mashoga and the like, mioyoni mwao.

Hebu fikiria hayo yote una nafasi ya kuepuka kwa kutaa kuzaa kabisa. Nipo na mke wangu na hatuna shida ya uzazi tuna furaha sex mara nne kwa wiki. Hatuna mpango wa kuzaa. Najua Kuna mnaowaza juu ya mali, urithi, matunzo uzeeni, nk. Hayo yote ni ufupi tu wa mawazo, unawezaje kuwaza mali ambazo hukuzileta Duniani? Kila kitu umekikuta na ukifa utaacha Sasa shida ni nini? Kataa kuzaa.

Najua Kuna watu mtasema bila kuzaa hata Mimi nisingezaliwa, jibu lenu ni kweli, nisingezaliwa na nisingepitia shida zote za Dunia ninazozikimbia za kuzaa na consequences zake. Pili hili Jambo wanalolijua ni wachache ambao ni werevu, na kwa vile Dunia imejaa wasio werevu wengi kuzaana kutakuwepo tu kwa hiyo Dunia haitaisha. Fikiria Walokole hawapangi uzazi, waislam wa kweli, washika Dini zote hawapangi uzazi Dunia haitaishiwa vizazi, acha wazae wee kula zako maisha, jenga afya yako, subiria kufa kwako waachie vitu vyao wagombee. KATAA KUZAA.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Wasomi wengi wanajidanganya kwamba kuonekana civilized ni kuzaa watoto wa chache, Baba angu mdogo alikua na utani wa kutuambia kwamba unazaje watoto wawili we ni Mkristu? kumbe siku hizi hata wakristu walisha acha fikra za kizungu za kuzaa watoto wawili wana fiatua kweli kweli nje na ndani kuzini sio shida kwao.

Hapa kazini our senior sumpretedant alikua na watoto wawili yeye anawaita Max ndo mkubwa na "Junior J" ndo last borne for the last 22yrs walikuwa wana ishi abroad, sumpretedant wetu mwaka kesho au kesho kutwa anastaafu, na ile kazi kwasababu ni shareholder nafasi yake inebidi irithishwe na moja ya watoto wake, hao watoto waliletwa kwenye cocktail party na wafanya kazi wengine waikuepo kwenye party, ila pale hamna mtoto loh!!!!, Max kafuga nywele za raster katoboa masikio na pua ana viashiria vya mrengo fulani ila no one can dare to tell the boss direct, Junior kashakua addict wa pambe na other drugs akijitambua kwa siku ni masaa kama mawili tu.... kwa ufupi ni kwamba senior sumpretendant wetu hana mrithi mwenye vinasaba na ni lazima aondoke kazini kwa mjibu wa katiba yao.

Hana mtoto zaidi yao, jama maumivu anayo pitia asikuambie mtu anaonekana kazini ni mtu wa mawazo na isolated.
Sumpretedant ndiyo nini?
 
KATAA KUZAA,
Kuna sababu gani muhimu ya kuzaa watoto? Yaani niache kuishi maisha ya furaha nitafute huzuni? Kwangu kuzaa ni hakuna sababu coz sipendi huzuni.
1. Mtoto akiumwa mzazi anasononeka
2. Mtoto akipitia magumu mzazi atabaki na huzuni.
3. Mtoto asipokuwa na future ya Dunia, mzazi anasononeka, kama huyo uliesema anasonona ofisini.
4. Fikiria maumivu ya wazazi waliozaa mateja, mashoga and the like, mioyoni mwao.

Hebu fikiria hayo yote una nafasi ya kuepuka kwa kutaa kuzaa kabisa. Nipo na mke wangu na hatuna shida ya uzazi tuna furaha sex mara nne kwa wiki. Hatuna mpango wa kuzaa. Najua Kuna mnaowaza juu ya mali, urithi, matunzo uzeeni, nk. Hayo yote ni ufupi tu wa mawazo, unawezaje kuwaza mali ambazo hukuzileta Duniani? Kila kitu umekikuta na ukifa utaacha Sasa shida ni nini? Kataa kuzaa.

Najua Kuna watu mtasema bila kuzaa hata Mimi nisingezaliwa, jibu lenu ni kweli, nisingezaliwa na nisingepitia shida zote za Dunia ninazozikimbia za kuzaa na consequences zake. Pili hili Jambo wanalolijua ni wachache ambao ni werevu, na kwa vile Dunia imejaa wasio werevu wengi kuzaana kutakuwepo tu kwa hiyo Dunia haitaisha. Fikiria Walokole hawapangi uzazi, waislam wa kweli, washika Dini zote hawapangi uzazi Dunia haitaishiwa vizazi, acha wazae wee kula zako maisha, jenga afya yako, subiria kufa kwako waachie vitu vyao wagombee. KATAA KUZAA.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mwanaumme yoyote alizaliwa kutesaka, kama hutaki kuteseka kupambana kua critical thinker, mkuu utaolewa na kuambia ukweli ushoga uliazaga hivo.............dont be one man down
 
Wasomi wengi wanajidanganya kwamba kuonekana civilized ni kuzaa watoto wa chache, Baba angu mdogo alikua na utani wa kutuambia kwamba unazaje watoto wawili we ni Mkristu? kumbe siku hizi hata wakristu walisha acha fikra za kizungu za kuzaa watoto wawili wana fiatua kweli kweli nje na ndani kuzini sio shida kwao.

Hapa kazini our senior sumpretedant alikua na watoto wawili yeye anawaita Max ndo mkubwa na "Junior J" ndo last borne for the last 22yrs walikuwa wana ishi abroad, sumpretedant wetu mwaka kesho au kesho kutwa anastaafu, na ile kazi kwasababu ni shareholder nafasi yake inebidi irithishwe na moja ya watoto wake, hao watoto waliletwa kwenye cocktail party na wafanya kazi wengine waikuepo kwenye party, ila pale hamna mtoto loh!!!!, Max kafuga nywele za raster katoboa masikio na pua ana viashiria vya mrengo fulani ila no one can dare to tell the boss direct, Junior kashakua addict wa pambe na other drugs akijitambua kwa siku ni masaa kama mawili tu.... kwa ufupi ni kwamba senior sumpretendant wetu hana mrithi mwenye vinasaba na ni lazima aondoke kazini kwa mjibu wa katiba yao.

Hana mtoto zaidi yao, jama maumivu anayo pitia asikuambie mtu anaonekana kazini ni mtu wa mawazo na isolated.
Mfano ulioutoa hauendani na unachokielezea. Kuzaa watoto na kuharibikiwa its up to you mzazi na malezi yako. Kuwa na watoto wengi sio tija tija ni how can you sustain them mpaka watakapoweza kujitegemea

Zamani wazaz walikuwa na mali, chakula si cha shida waliweza ku sustain numbers kubwa tu. Leo maisha yamebadilika
 
Mwanaumme yoyote alizaliwa kutesaka, kama hutaki kuteseka kupambana kua critical thinker, mkuu utaolewa na kuambia ukweli ushoga uliazaga hivo.............dont be one man down
Hii kauli mwanaume alizaliwa kuteseka ni hoax. Mungu haleti mwanaume ili ateseke, alileta mwanaume ili aongoze atawale, ili utawale lazima uwe na character na power, character unazaliwa nayo, power ndio unatafuta. But si kuteseka
 
Hii kauli mwanaume alizaliwa kuteseka ni hoax. Mungu haleti mwanaume ili ateseke, alileta mwanaume ili aongoze atawale, ili utawale lazima uwe na character na power, character unazaliwa nayo, power ndio unatafuta. But si kuteseka
Ni kwamba majukumu aliepewa mwanaume ndo yanamfanya ateseke, sio kwamba ni hoax, imagine tangu saa 12 niko njiani naendesha gari lakini ni lazima nyumbani wale na ada ilipwe, wakati wife iko nyumbani na msichana wakazi wanasubilia mimi nileta cha kula hayo ndo mateso ywnyewe mkuu.
 
Back
Top Bottom