Kwa hiki nilichoshuhudia huu mpango wa uzazi wa kuzaa watoto wawili au watatu siwezi kuufanya

Wasomi wengi wanajidanganya kwamba kuonekana civilized ni kuzaa watoto wa chache, Baba angu mdogo alikua na utani wa kutuambia kwamba unazaje watoto wawili we ni Mkristu? kumbe siku hizi hata wakristu walisha acha fikra za kizungu za kuzaa watoto wawili wana fiatua kweli kweli nje na ndani kuzini sio shida kwao.

Hapa kazini our senior sumpretedant alikua na watoto wawili yeye anawaita Max ndo mkubwa na "Junior J" ndo last borne for the last 22yrs walikuwa wana ishi abroad, sumpretedant wetu mwaka kesho au kesho kutwa anastaafu, na ile kazi kwasababu ni shareholder nafasi yake inebidi irithishwe na moja ya watoto wake, hao watoto waliletwa kwenye cocktail party na wafanya kazi wengine waikuepo kwenye party, ila pale hamna mtoto loh!!!!, Max kafuga nywele za raster katoboa masikio na pua ana viashiria vya mrengo fulani ila no one can dare to tell the boss direct, Junior kashakua addict wa pambe na other drugs akijitambua kwa siku ni masaa kama mawili tu.... kwa ufupi ni kwamba senior sumpretendant wetu hana mrithi mwenye vinasaba na ni lazima aondoke kazini kwa mjibu wa katiba yao.

Hana mtoto zaidi yao, jama maumivu anayo pitia asikuambie mtu anaonekana kazini ni mtu wa mawazo na isolated.
Bro watoto wanaharibiwa na mzazi asikuambie mtu. Usiishi kuendana na levo ya hela zako ishi kwa utaratibu uliojiwekea kuwa mkuda na usali watoto wanatakiwa wasali na wasalishe na ukipata muda kaa nao. Usimkabidhi mtoto kitu kwa ghafla mtoto mtengeneze kidogo kidogo. Ukiwa unaenda kwenye vikao flan nenda nae au jukum flan anatakiwa kujua how things work. Anatakiwa kujua manunuz mpaka uuzaji. Anatkiwa kujua namna ya kubagain nk. Wekeana nao mikataba ya majukumu kwamba wewe utachangia hela wao wasome au waonyeshe wanatoa nini. Hii habar unakuwa na hela unajifanya mzungu utakwisha Sisi bado ni waafrica mzee kuwa mkuda utaona matunda. Mimi namalizana na mmoja amebakia lakin wawili nimewaajir huko chini utapanda cheo kwa jitihada zako sio kwa kuwa we ni mtoto wa boss. Na pesa zangu hata nikifa ni asilimia 50 tu na hata hizo hisa ni kwaajili ya kuhudumia watoto shule na matibabu na chakula na na labda gar moja kila miaka 4. Baada ya hapo wamiliki halisi wa hizo hisa ni kizazi cha tatu changu yaan watoto wa wajukuu. Unawapiga pin ya kiume. wakitaka zaid watafute wao. Cwez kuwaachia hela wakapige pumbu wake za watu huko wakat mimi ndio niliumia. Sitafut hela za kuwarahiaishia watu kuharibu watu. Baada ya hapo uza hisa kwa watu kutoka nje ili kampuni itoe ajira kwa watu zaid hakun we subiri kifo Dunia itembee.
 
Ni kweli ila kwanini take chances yakua na wachache sana, watoto saba wote wawe wa hovyo ni bahati mbaya sanaa hata ukose moja tu.
Ni kawaida sana, familia nyingi Masikini zina watoto wengi, kadri nchi inavyoendelea na kuwa tajiri watu wanaaza watoto wachache.

Zamani watu walikuwa wanazaa watoto wengi kwa sababu wengi walikuwa wanakufa wakiwa utotoni kutokana na ukosefu wa chanjo na huduma bora za hospitali, pia watoto wengi walifaa sana kama nguvukazi kwa shughuli za kilimo, ufugaji, uvuvi na uwindaji.
 
Bro watoto wanaharibiwa na mzazi asikuambie mtu. Usiishi kuendana na levo ya hela zako ishi kwa utaratibu uliojiwekea kuwa mkuda na usali watoto wanatakiwa wasali na wasalishe na ukipata muda kaa nao. Usimkabidhi mtoto kitu kwa ghafla mtoto mtengeneze kidogo kidogo. Ukiwa unaenda kwenye vikao flan nenda nae au jukum flan anatakiwa kujua how things work. Anatakiwa kujua manunuz mpaka uuzaji. Anatkiwa kujua namna ya kubagain nk. Wekeana nao mikataba ya majukumu kwamba wewe utachangia hela wao wasome au waonyeshe wanatoa nini. Hii habar unakuwa na hela unajifanya mzungu utakwisha Sisi bado ni waafrica mzee kuwa mkuda utaona matunda. Mimi namalizana na mmoja amebakia lakin wawili nimewaajir huko chini utapanda cheo kwa jitihada zako sio kwa kuwa we ni mtoto wa boss. Na pesa zangu hata nikifa ni asilimia 50 tu na hata hizo hisa ni kwaajili ya kuhudumia watoto shule na matibabu na chakula na na labda gar moja kila miaka 4. Baada ya hapo wamiliki halisi wa hizo hisa ni kizazi cha tatu changu yaan watoto wa wajukuu. Unawapiga pin ya kiume. wakitaka zaid watafute wao. Cwez kuwaachia hela wakapige pumbu wake za watu huko wakat mimi ndio niliumia. Sitafut hela za kuwarahiaishia watu kuharibu watu. Baada ya hapo uza hisa kwa watu kutoka nje ili kampuni itoe ajira kwa watu zaid hakun we subiri kifo Dunia itembee.
Hapa kuna substance kweli, umeendika ukweli.
 
Ni kawaida sana, familia nyingi Masikini zina watoto wengi, kadri nchi inavyoendelea na kuwa tajiri watu wanaaza watoto wachache.

Zamani watu walikuwa wanazaa watoto wengi kwa sababu wengi walikuwa wanakufa wakiwa utotoni kutokana na ukosefu wa chanjo na huduma bora za hospitali, pia watoto wengi walifaa sana kama nguvukazi kwa shughuli za kilimo, ufugaji, uvuvi na uwindaji.
Unamanusha kuzaa watoto wengi inambatana na kiwango cha umasikini si ndio? Sio kweli kuna watu wengi wenye mali wana watoto wengi sema tu watoto wao huwezi kuwaona wana zurura mitaani wanao onekana ni wake wamasikini.......
 
Unamanusha kuzaa watoto wengi inambatana na kiwango cha umasikini si ndio? Sio kweli kuna watu wengi wenye mali wana watoto wengi sema tu watoto wao huwezi kuwaona wana zurura mitaani wanao onekana ni wake wamasikini.......
Kuzaa watoto wengi kunaendana na umaskini, naongelea level ya nchi na kwa "averages". Kadri nchi au jamii inavyopiga hatua kimaendeleo watu wanapunguza kuzaa kwa sababu nyingi sana ikiwemo wanawake kuwa kazini muda mrefu, uwezo wa huduma za uzazi wa mpango kuboreka, raia wengi kutumia muda mrefu katika masomo, muda mwingi kutumika katika starehe za michezo na safari n.k
 
Kila mtoto huja na ridhiki yake kuna wengi wanaogopa kuzaa kwasbb ya kulisha watoto, ni mentality ya kijinga sanaa.
Kumbe Magufuli aliweza kudanganya wengi. Ingekuwa kuzaa sana kunaambatana na mafanikio basi bara la Afrika lingekuwa liko mbali sana. Kijijini ninakotoka watu wenye umri wa mika 40+ sasa hivi wengi wao wana wastani wa watoto 5 lakini maisha yao ni magumu kweli kweli.
 
Ni kweli ila kwanini take chances yakua na wachache sana, watoto saba wote wawe wa hovyo ni bahati mbaya sanaa hata ukose moja tu.
Hivi ukionyeshwa familia zenye watoto wawili wawili au mmoja na wote wana kazi na elimu nzuri utasemaje? Tena ziko nyingi kuliko kuliko zenye watoto 7+ na wote ni vibarua. Bila utafiti ni hatari sana kuamua mambo kama haya
 
Kuzaa watoto wengi kunaendana na umaskini, naongelea level ya nchi na kwa "averages". Kadri nchi au jamii inavyopiga hatua kimaendeleo watu wanapunguza kuzaa kwa sababu nyingi sana ikiwemo wanawake kuwa kazini muda mrefu, uwezo wa huduma za uzazi wa mpango kuboreka, raia wengi kutumia muda mrefu katika masomo, muda mwingi kutumika katika starehe za michezo na safari n.k
Mkuu, hawa vichwa panzi watatuchosha tu.

Wao kusoma hawajui hata picha hawaoni?

Hawaoni kwamba jamii zinazozaa watoto wachache kwa mpangilio, zina maendeleo kuliko jamii zinazozaliana hovyo hovyo.

Hii imani ya kuzaa watoto wengi ili kila mtoto aje na riziki yake ni mambo ya fedheha sana.

Ni aibu sana mtu mwenye akili timamu kuwa na mtazamo huo.
 
Kuna wakati unajiuliza huyu alikuwa anafaulu vipi shuleni. Mtu anatoa hitimisho kwa kutumia data chache kweli,kisa ziko upande anaoutaka.
Hivi ukionyeshwa familia zenye watoto wawili wawili au mmoja na wote wana kazi na elimu nzuri utasemaje? Tena ziko nyingi kuliko kuliko zenye watoto 7+ na wote ni vibarua. Bila utafiti ni hatari sana kuamua mambo kama haya
 
Hivi ukionyeshwa familia zenye watoto wawili wawili au mmoja na wote wana kazi na elimu nzuri utasemaje? Tena ziko nyingi kuliko kuliko zenye watoto 7+ na wote ni vibarua. Bila utafiti ni hatari sana kuamua mambo kama haya
Jamaa anachukua story moja analeta hitimisho hahaha, ingekuwa hivo kweli bas wazungu wangekuwa nyuma yetu, mana sisi tunazaana sana kuliko wao
 
Nikuulize ndugu.

Kipi bora...

Kuwa na watoto wengi wakakosa cha kurithi ama kuwa na mali nyingi zikakosa wa kurithi?
Kinacho uma sisi wanaume ni kile kitendo xha kukosa kizazi chako kuendeleza ndoto zako navinasaba sio mali au kingine, ingekua hivo nusu ya watanzania wasinge zaa kwasbb wengi huishi chini ya dolar moja kwa siku, kwahiyo ni masikini below international povert line.
 
Kuzaa watoto wengi na kupata mrithi bora havihusiani. Unaweza zaa wa5 wote wakawa hopeless ila ukazaa mmoja na Akawa mtu bora kwa mahitaji yako.

Pia, leo watu kuzaa watoto wachache it's not a matter of choice, bali ni matokeo ya mabadiliko ya mifumo ya maisha.

Kwanza kusoma. Zamani kufikia 18 yrs jinsia zote zilikua ndoani so duration ya kuzaa ni kubwa. Leo up to 30 yrs watu bado wako mashuleni. Unadhani watu watazaa sana? Mwanamke wa sasa ana 10 to 15 yrs duration ya kuzaa huku wa zamani had 15 to 25 yrs ya kuzaa.

Pia uhitaji wa watoto kama labour force leo haupo.

Muhimu zaidi, kulea na kukuza mtoto siku hizi ni gharama kubwa ya fedha. Cost za uzazi, afya na kusomesha.

Bila serikali zetu kufanyia kazi hili suala la couples kuzaa watoto chini ya watatu, in 30 yrs time, tutegemea kuwa na shida ya workforce na population decline kubwa.
 
Back
Top Bottom