dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,637
- 16,325
- Thread starter
- #41
Kwa hyo nileHamli yama kama taratibu zenu zinavyotaka, lakini hawamzuii mtu mwingine yeyote kula nyama hadharani. Kama hujaelewa huwezi kuelewa.
Kwa hyo nileHamli yama kama taratibu zenu zinavyotaka, lakini hawamzuii mtu mwingine yeyote kula nyama hadharani. Kama hujaelewa huwezi kuelewa.
Ntazikwa na watu.Ukifa utazikwa na tv
Mi natwanga tu mkuu.Hyo Ni nyama mkuu
Nimeogopa nisije pigwa vibikoHapa sio paje, we kula tu hakuna wa kukuchapa bakora.
AsanteKwanza inabidi ujue hiyo ni amri ya kanisa sio ya Yesu au Mungu lakini pia kinachokatazwa ni nyama sio samaki lakini akili za kuambiwa changanya na zako kwani usipokula vyote samaki na nyama ukala zako tembele kwa siku moja utapata shida gani? Imarisha Imani yako
Aminaimeandikwa usimjaribu BWANA MUNGU wako
Nimetoka kula kitimono sasahv ili kesho nisileHizo ni nadharia za wanadamu hazina mashiko yeyote
Wewe kula Nyama,kula kitimoto
Hakuna sehem yyte kwenye bibilia inayakataza mtu kula nyama, hizo ni tamaduni za kipagani za babeli ya kale,Kwanza inabidi ujue hiyo ni amri ya kanisa sio ya Yesu au Mungu lakini pia kinachokatazwa ni nyama sio samaki lakini akili za kuambiwa changanya na zako kwani usipokula vyote samaki na nyama ukala zako tembele kwa siku moja utapata shida gani? Imarisha Imani yako
naungana na wewe mkuu,nnaauWakristo hawana katazo hilo.
Wanaoabudu miungu ya sanamu ndo wamejiwekea hilo katazo ili kuigiza kuwa wanamuabudu Mungu wa kweli.
Hata hiyo kufunga siku 40 siyo Agizo la Kristo bali ni mapokeo ya kimizimu.
Kesho nakula nyama na sina dhambi kwenye hilo
Huu ni ukweli mgumu na mchungu sana.
DuhMapokeo tu, mimi napiga tu, hiyo mambo.
Sawa mkuu ctokulaJumamosi Si tunachinja wale Nguruwe aliowaingizia Mapepo sasa kwanini ushindwe kujinyima Samaki kwa siku 1?
Tena inabidi upate na ile damu ya kisusio au kichurii
Acha uongoKesho napata kisusio safii kisha na shushia na Minofu ya nyama chomaa...
Mkuu,Na Acha uongo
Umevunja jungu sioNimetoka kula kitimono sasahv ili kesho nisile
Karibuni sana sana.Tukikubaini tutakutenga
Lakini wakati anavuliwa alitoka damu,muumini hatakiwi kula kiumbe chochote kilichotoka damu hadi kikawa mauti.Samaki akishavuliwa anakaushwa,
Sure mkuu hakuna tatizo.Karibuni sana sana.
Ninakula nyama kama kawa hakuna katazo