Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 15,986
- 38,132
🤣🤣🤣Nitakula utumbo wa kukui. Sidhani kama ni nyama.
.
🤣🤣🤣Nitakula utumbo wa kukui. Sidhani kama ni nyama.
.
Wakristo wa buza Ndio hawali Nyama leoKesho ni ijumaa kuu kwa kifupi ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia katika mateso yake
Najua hatutakula nyma kabisa je ni hatari na haramu nikila samaki?
Msaaada naombeni
DuhhK ni qummer
Nipe takwim za kweli nani anashikilia uchumi wa nchi yakoNyie acheni kujidanganya na takwimu za uongo. Wee ina maana ni mgeni nchi hii. Hujui mikoa iliyo nyuma kielimu, kiuchumi na kimaendeleo kwa ujumla ni ile yenye idadi kubwa ya waislam? Unataka nikutajie?
Hata sub Sahara Africa waislam ndo shidaa
Nilijua hutasoma ndio maana nilisema nimejibu kwa faida ya wengine.Muda Hautoshi kusoma mambo uliyoandika nijibu jibu moja tu biblia imekataza kula nguruwe au haijakataza? Sema ndiyo au hapana hayo maelezo mengi wala hayana umuhimu
Wakristo wana nguvu kiuchumi wacha kijidanganyaNipe takwim za kweli nani anashikilia uchumi wa nchi yako
Nipe takwim za kweli nani anashikilia uchumi wa nchi yako
Eti yeye anajifariji na kina azam. Wenyewe wanaona eti wako na hisa kwa kina GSM.Wakristo wana nguvu kiuchumi wacha kijidanganya
Sasa hao wachache wanaobebwa na serekaliEti yeye anajifariji na kina azam. Wenyewe wanaona eti wako na hosa kwa kina GSM.