The tradition of abstaining from meat on Fridays, and particularly on Good Friday (the Friday just prior to Easter), is as a way of commemorating the day Christ died.Kesho Ni ijumaa kuu kwa kifupi Ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia ktk mateso yake
Najuwa hatutakula nyma kabsa je Ni hatari na haramu nikila samaki
Msaaada naombeni
🤣🤣Satoohh kulaKesho Ni ijumaa kuu kwa kifupi Ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia ktk mateso yake
Najuwa hatutakula nyma kabsa je Ni hatari na haramu nikila samaki
Msaaada naombeni
Huna helaah 🤣Trace ukristo wako, usipotokea kwa hao wanaoabudu miungu ya sanamu na hama JF
Ni nyama Cha msingi ale mboga mboga kwa siku Moja Wala sio shibaSamaki ana damu....
Ishu ni nyama? Au ni kiumbe chenye damu
Hii hoja naiunga mkono asilimia mia, nami nitashiriki ulaji wa nyama ktk milo yangu mitatu ya siku nikianza na supu! MIMI NI MKRISTO.Wakristo hawana katazo hilo.
Wanaoabudu miungu ya sanamu ndo wamejiwekea hilo katazo ili kuigiza kuwa wanamuabudu Mungu wa kweli.
Hata hiyo kufunga siku 40 siyo Agizo la Kristo bali ni mapokeo ya kimizimu.
Kesho nakula nyama na sina dhambi kwenye hilo
Huu ni ukweli mgumu na mchungu sana.
Bwiru Place?! Umenikumbushaa mbali sato mwenye kichwa chekundu hapo Iloganzala.🤣🤣Satoohh kula
Mie nitaanzia busisi pale kwenye saa 5 asubuh na lisatooh langu na ndizi bukobah na mchemsho wa karangah,then nitaingia kanisani hapa usagara nikiwa natokea sengeremah
Baada ya ibada takatifu,nitafika nyumbani bwiruu,kula paskahh na vijanah wangu
Karibu the kaskii jpil🙏
I miss home sweet home 😢🤣🤣Satoohh kula
Mie nitaanzia busisi pale kwenye saa 5 asubuh na lisatooh langu na ndizi bukobah na mchemsho wa karangah,then nitaingia kanisani hapa usagara nikiwa natokea sengeremah
Baada ya ibada takatifu,nitafika nyumbani bwiruu,kula paskahh na vijanah wangu
Karibu the kaskii jpil🙏
Kesho Ni ijumaa kuu kwa kifupi Ni njia ya msalaba bwana yesu wetu kristo alipitia ktk mateso yake
Najuwa hatutakula nyma kabsa je Ni hatari na haramu nikila samaki
Msaaada naombeni
Tena inabidi upate na ile damu ya kisusio au kichuriiHii hoja naiunga mkono asilimia mia, nami nitashiriki ulaji wa nyama ktk milo yangu mitatu ya siku nikianza na supu! MIMI NI MKRISTO.
Jumamosi Si tunachinja wale Nguruwe aliowaingizia Mapepo sasa kwanini ushindwe kujinyima Samaki kwa siku 1?Najuwa hatutakula nyma kabsa je Ni hatari na haramu nikila samaki
Ze kaskii,Rocky citii molii karibu mdogoh wanguBwiru Place?! Umenikumbushaa mbali sato mwenye kichwa chekundu hapo Iloganzala.
HV kweliSamaki haina kweree
Ukifa utazikwa na tvNtasalia kwenye TV.
Asante sana mkulu.Ze kaskii,Rocky citii molii karibu mdogoh wangu
Tuleeh kwa urefu wa kambah ya kizmkaziii 🤣🤣mdomoh wako tu
Hyo Ni nyama mkuuMi ntakula utumbo wa kitabu na taulo baasi.