Mimi nataka fungua nafaka jumla ila nashangaa wenzangu kila kona wana mzanii ile mikubwa kama hii.
Sas nilikuwa nauliza ya digital haifai kwani kama hii kupimia magunia ya kilo mia.
Habrin wanajf,
Swali langu ni kama hivo lilivyo naomba tujuzane kwa mwenye uelewa.
ZINGATIENI NATAKA KUFUNGUA DUKA LA NAFAKA.
Kwa hizo location ipi itafit hapo
Habari wana jf natumai wote mko poa
Hii habari inanishangaza kila kila ninapoenda kununa labda mchele au maharage kila mfanyabiashar nikimuuliza hizi unachukulia wapi huwa wananiambia wanachukulia mikoani afu ukute ana gunia tano tu au kumi
Nimezunguka maduka mengi ila wengi wao wananiambia tu...
Blood hao ndio wanawake sasa wa kizazi hiki hio ndio nature yao na ipo hivo huwezi kuibadilisha. Hata ukimwacha huyo ukaenda kwa mwingine kazi ipo palepale.
Chakufanya hapo jiongezee thamani tafuta hela mkuuu ushawi sikia mke wa bakheresa au mo kafumaniwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.