Wanasemaga..Habrin wanajf
Swali langu ni kama hivo lilivyo naomba tujuzane kwa mwenye uelewa
ZINGATIENI NATAKA KUFUNGUA DUKA LA NAFAKA
Kwa hizo location ipi itafit hapo
Mbagala kuna maeneo usithubutu kupita usiku pekeako.Nimeenda leo ni balaaa kunanichangany aisee nimeona watu wanapiga pesa balaaa
Mm nakaa mbezi mwisho ila nikiendaga mbagala huwa nashangaa ile nyomii kule kuna hela mzunguko wa pesa ni mrefu kule.Habrin wanajf
Swali langu ni kama hivo lilivyo naomba tujuzane kwa mwenye uelewa
ZINGATIENI NATAKA KUFUNGUA DUKA LA NAFAKA
Kwa hizo location ipi itafit hapo
Yes,Hivi mbagala soko lao kubwa sana ni pale rangi tatu
Buza kwa MparangeHabrin wanajf
Swali langu ni kama hivo lilivyo naomba tujuzane kwa mwenye uelewa
ZINGATIENI NATAKA KUFUNGUA DUKA LA NAFAKA
Kwa hizo location ipi itafit hapo
Kuna mizunguko ya hela ya aina mbiliHabrin wanajf
Swali langu ni kama hivo lilivyo naomba tujuzane kwa mwenye uelewa
ZINGATIENI NATAKA KUFUNGUA DUKA LA NAFAKA
Kwa hizo location ipi itafit hapo