aBuwash
Senior Member
- Dec 26, 2023
- 118
- 215
Habari wana jf natumai wote mko poa
Hii habari inanishangaza kila kila ninapoenda kununa labda mchele au maharage kila mfanyabiashar nikimuuliza hizi unachukulia wapi huwa wananiambia wanachukulia mikoani afu ukute ana gunia tano tu au kumi
Nimezunguka maduka mengi ila wengi wao wananiambia tu hivohivo sasa leo wanajf naomba tuelezane ukweli hili jambo ni sahihi. Au ndo basi wanaficha tu hawataki mteja ajue wankochukua mzigo wao kwa hapa dar
Na ni kweli wafanyabiashara wa nafaka wengi wa dar mizigo huchukua mikoani. Namaanish hawa wa kawaida achana na wale wakubwa
Na kama wanachukua mikoani wanamudu vipi usafiri, ushuru, nk wakat mitaji yao inaonekan midg yani 5M kushuka chini
Noamba tuwekane sawa hapa jamani.
Hii habari inanishangaza kila kila ninapoenda kununa labda mchele au maharage kila mfanyabiashar nikimuuliza hizi unachukulia wapi huwa wananiambia wanachukulia mikoani afu ukute ana gunia tano tu au kumi
Nimezunguka maduka mengi ila wengi wao wananiambia tu hivohivo sasa leo wanajf naomba tuelezane ukweli hili jambo ni sahihi. Au ndo basi wanaficha tu hawataki mteja ajue wankochukua mzigo wao kwa hapa dar
Na ni kweli wafanyabiashara wa nafaka wengi wa dar mizigo huchukua mikoani. Namaanish hawa wa kawaida achana na wale wakubwa
Na kama wanachukua mikoani wanamudu vipi usafiri, ushuru, nk wakat mitaji yao inaonekan midg yani 5M kushuka chini
Noamba tuwekane sawa hapa jamani.