Uliwahi kumchapa mkeo makofi, mlichukua siku ngapi kurudi kwenye normal life?

Good evening,

Moja kwa moja kwenye mada, naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi.
So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike kidogo home.

Well toka nifike home naona wife ana harakati nyingi tu ambazo sizielewi..last week kabla likizo yangu haijaisha nikaamua kumlia timing huyu kiumbe, niko ndani afu kaondoka kaenda kariakoo bila kuniaga kwa Madai yake alienda kufunga mzigo fulani hivi.

Haikuwa kesi sana, sasa leo niko home nikaona ye hajishughulishi na mimi, mie mambo yangu nikawa nampa maelekezo dada wa kazi,kumbe wife akawa anaumia why nampa maelekezo dada while yeye yupo..dada akaondoka kumpeleka mtoto shule akatuacha wawili ndani.

Kwa kifupi wife kanitamkia maneno ya maudhi..aisee nimemchapa makofi sio poa na toka nimuoe huyu naamini sijawahi kumgusa kwa kuchapo ila leo kavuka mstari mwekundu ndio maana kala makofi, kanuna mpaka saivi na kawapigia ndugu wote kuwa anataka kuondoka coz anahisi me niko na mtu mwingine.

Naomba ushauri wa kiutu uzima hapa nifanyeje kuweka mambo sawa?
Kweri nikiwai kumchapa mpka mangumi hakuna siku nilijutua kama ile maana nilimpasua mpk sasa sitakaa nimpige mwanamke aseeee😂😂😂
 
Good evening,

Moja kwa moja kwenye mada, naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi.
So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike kidogo home.

Well toka nifike home naona wife ana harakati nyingi tu ambazo sizielewi..last week kabla likizo yangu haijaisha nikaamua kumlia timing huyu kiumbe, niko ndani afu kaondoka kaenda kariakoo bila kuniaga kwa Madai yake alienda kufunga mzigo fulani hivi.

Haikuwa kesi sana, sasa leo niko home nikaona ye hajishughulishi na mimi, mie mambo yangu nikawa nampa maelekezo dada wa kazi,kumbe wife akawa anaumia why nampa maelekezo dada while yeye yupo..dada akaondoka kumpeleka mtoto shule akatuacha wawili ndani.

Kwa kifupi wife kanitamkia maneno ya maudhi..aisee nimemchapa makofi sio poa na toka nimuoe huyu naamini sijawahi kumgusa kwa kuchapo ila leo kavuka mstari mwekundu ndio maana kala makofi, kanuna mpaka saivi na kawapigia ndugu wote kuwa anataka kuondoka coz anahisi me niko na mtu mwingine.

Naomba ushauri wa kiutu uzima hapa nifanyeje kuweka mambo sawa?
Ni majambo madogo madogo tu ya hapa na pale, binaadam mkikaa pamoja yaweza kutokea hasa kwa hali ya Mume&Mke. Sina ushauri kwasababu maamuzi uliyoyachukua hayakua maoni yangu.
 
Nikupongeze mkuu kwa kuona uanaume wako unataka kupokwa ....kuna mistari ikivukwa lazima u take actions.. hata simu kuna muda unai reset ili ikae sawa...achana na hao wanaokuja na ujinga eti umekosea...wengi wao wake ndo wanalisha familia...hawana maamuzi yyte ndan ya familia
 
Kamwe usiombe msamaha.

Endelea kuwa kawaida kama zamani yaani usioneshe kama kuna kitu unajishtukia,potezea na jifanye kama haujampiga vile.

Usiombe msamaha aisee hilo tukio ukimuomba msamaha basi atatumia tukio hilo kama fimbo ya kukuchapia kimaneno.
 
Good evening,

Moja kwa moja kwenye mada, naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi.
So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike kidogo home.

Well toka nifike home naona wife ana harakati nyingi tu ambazo sizielewi..last week kabla likizo yangu haijaisha nikaamua kumlia timing huyu kiumbe, niko ndani afu kaondoka kaenda kariakoo bila kuniaga kwa Madai yake alienda kufunga mzigo fulani hivi.

Haikuwa kesi sana, sasa leo niko home nikaona ye hajishughulishi na mimi, mie mambo yangu nikawa nampa maelekezo dada wa kazi,kumbe wife akawa anaumia why nampa maelekezo dada while yeye yupo..dada akaondoka kumpeleka mtoto shule akatuacha wawili ndani.

Kwa kifupi wife kanitamkia maneno ya maudhi..aisee nimemchapa makofi sio poa na toka nimuoe huyu naamini sijawahi kumgusa kwa kuchapo ila leo kavuka mstari mwekundu ndio maana kala makofi, kanuna mpaka saivi na kawapigia ndugu wote kuwa anataka kuondoka coz anahisi me niko na mtu mwingine.

Naomba ushauri wa kiutu uzima hapa nifanyeje kuweka mambo sawa?
Unauliza sisi wenye wake wanne au wa mke mmoja? Kuoa mke mmoja ni kujifunga gereza la mateso.
Wenzetu Waislam wapewe maua yao.
 
Mzee, bar zote hizi ambazo ziko wazi mchana unapiga mke?
Ulitakiwa ukihisi mmepishana chukua elfu thelathini, nenda bar, kula kabisa hukohuko bar, then chukua konyagi kubwa, maji mawili na evervess tatu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom