BABA1994
Member
- Oct 16, 2023
- 73
- 149
Muongo.kitu kilichonishinda maishani mwangu ni kumpiga mwanamke, hususan mke wangu wa ndoa ndo siwezi kabisa.
mungu atujaalie mie na mamsapu wangu tusiwe na magomvi.
Muongo.kitu kilichonishinda maishani mwangu ni kumpiga mwanamke, hususan mke wangu wa ndoa ndo siwezi kabisa.
mungu atujaalie mie na mamsapu wangu tusiwe na magomvi.
Umemaliza kila kitu.Kiukweli kama muke anafanya mambo ya kitoto me nafikiri ni vizuri ukamshtua kakofi kamoja tu kuonyesha umekasirika tu. Ila usimpige kipigo cha kumdhuru au kumdhalilisha
Hata maandiko yanasema usimnyime mtoto mapigo, sasa kama ana mambo ya kitoto ufayeje??
Nyie mnaosema sio vizuri kumpiga mke unakuta mkikosewa mnanuna unaacha kumuongelesha, au unatukana matusi jambo ambalo linaweza kuwa na athari zaidi,
Mtu unamwonya haonyeki unaita washauri hashauriki,
Mbona mitaani kuna sheria za viboko kwa wanaokosea?
Mbona mashuleni viboko vinapigwa tu tena kwa wanafunzi wengine wanazaidi ya miaka 20, ??