Uliwahi kumchapa mkeo makofi, mlichukua siku ngapi kurudi kwenye normal life?

Good evening,

Moja kwa moja kwenye mada, naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi.
So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike kidogo home.

Well toka nifike home naona wife ana harakati nyingi tu ambazo sizielewi..last week kabla likizo yangu haijaisha nikaamua kumlia timing huyu kiumbe, niko ndani afu kaondoka kaenda kariakoo bila kuniaga kwa Madai yake alienda kufunga mzigo fulani hivi.

Haikuwa kesi sana, sasa leo niko home nikaona ye hajishughulishi na mimi, mie mambo yangu nikawa nampa maelekezo dada wa kazi,kumbe wife akawa anaumia why nampa maelekezo dada while yeye yupo..dada akaondoka kumpeleka mtoto shule akatuacha wawili ndani.

Kwa kifupi wife kanitamkia maneno ya maudhi..aisee nimemchapa makofi sio poa na toka nimuoe huyu naamini sijawahi kumgusa kwa kuchapo ila leo kavuka mstari mwekundu ndio maana kala makofi, kanuna mpaka saivi na kawapigia ndugu wote kuwa anataka kuondoka coz anahisi me niko na mtu mwingine.

Naomba ushauri wa kiutu uzima hapa nifanyeje kuweka mambo sawa?
Nyonga kabisa hio mbwa
 
Good evening,

Moja kwa moja kwenye mada, naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi.
So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike kidogo home.

Well toka nifike home naona wife ana harakati nyingi tu ambazo sizielewi..last week kabla likizo yangu haijaisha nikaamua kumlia timing huyu kiumbe, niko ndani afu kaondoka kaenda kariakoo bila kuniaga kwa Madai yake alienda kufunga mzigo fulani hivi.

Haikuwa kesi sana, sasa leo niko home nikaona ye hajishughulishi na mimi, mie mambo yangu nikawa nampa maelekezo dada wa kazi,kumbe wife akawa anaumia why nampa maelekezo dada while yeye yupo..dada akaondoka kumpeleka mtoto shule akatuacha wawili ndani.

Kwa kifupi wife kanitamkia maneno ya maudhi..aisee nimemchapa makofi sio poa na toka nimuoe huyu naamini sijawahi kumgusa kwa kuchapo ila leo kavuka mstari mwekundu ndio maana kala makofi, kanuna mpaka saivi na kawapigia ndugu wote kuwa anataka kuondoka coz anahisi me niko na mtu mwingine.

Naomba ushauri wa kiutu uzima hapa nifanyeje kuweka mambo sawa?
Fanya yote kupigana sio mpango
 
Mshikaji wangu alipiga mke wake! Dada wa mke akaingilia kumnusuru mdogo wake kwa kichapo naye dada mtu akachezea kichapo! Alipiga mke na dada ya mke (shemeji).

Mke alienda kulazwa na dada mtu akawa anaugulia maumivu.

Sijaruhusu kupiga! Ila jamaa ananiambia tangu ile siku mpaka leo mke wake atafanya ujinga ila anafahamu mipaka yake.
 
Bonge la kosa

Mwanamke hapigwi

Hasira zikiwaka ondoka au safari

Baada ya muda unarudi
Upumbavu huu safari mimi, nilivyo introvert napend kukaa Home huko kutoka kwenyewe kwaajiri ya kutafuta kipato tu then eti nasafiri kisa mwanamke kwenda wapi niche kutuloa home kuangalia Movie.
 
Ukiwa na wake wawili wataishia kugombana,kurogana na kutiliana fitna wao kwa wao huku wewe maisha yanakwenda poa kabisa. Ukiwa na mke mmoja atakuroga mpaka akufanye paka nyauuu🐈😂😂
Je,wakikuroga wote?,kila mmoja umpende zaidi,
 
Kiukweli kama muke anafanya mambo ya kitoto me nafikiri ni vizuri ukamshtua kakofi kamoja tu kuonyesha umekasirika tu. Ila usimpige kipigo cha kumdhuru au kumdhalilisha
Hata maandiko yanasema usimnyime mtoto mapigo, sasa kama ana mambo ya kitoto ufayeje??
Nyie mnaosema sio vizuri kumpiga mke unakuta mkikosewa mnanuna unaacha kumuongelesha, au unatukana matusi jambo ambalo linaweza kuwa na athari zaidi,
Mtu unamwonya haonyeki unaita washauri hashauriki,

Mbona mitaani kuna sheria za viboko kwa wanaokosea?
Mbona mashuleni viboko vinapigwa tu tena kwa wanafunzi wengine wanazaidi ya miaka 20, ??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom