Makorokoro Bondeni
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 579
- 885
Piga mbata za kutosha tu,noma ukimpiga ngumi.
Nyonga kabisa hio mbwaGood evening,
Moja kwa moja kwenye mada, naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi.
So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike kidogo home.
Well toka nifike home naona wife ana harakati nyingi tu ambazo sizielewi..last week kabla likizo yangu haijaisha nikaamua kumlia timing huyu kiumbe, niko ndani afu kaondoka kaenda kariakoo bila kuniaga kwa Madai yake alienda kufunga mzigo fulani hivi.
Haikuwa kesi sana, sasa leo niko home nikaona ye hajishughulishi na mimi, mie mambo yangu nikawa nampa maelekezo dada wa kazi,kumbe wife akawa anaumia why nampa maelekezo dada while yeye yupo..dada akaondoka kumpeleka mtoto shule akatuacha wawili ndani.
Kwa kifupi wife kanitamkia maneno ya maudhi..aisee nimemchapa makofi sio poa na toka nimuoe huyu naamini sijawahi kumgusa kwa kuchapo ila leo kavuka mstari mwekundu ndio maana kala makofi, kanuna mpaka saivi na kawapigia ndugu wote kuwa anataka kuondoka coz anahisi me niko na mtu mwingine.
Naomba ushauri wa kiutu uzima hapa nifanyeje kuweka mambo sawa?
AiseeUkinilatua makofi nakulatua kiuno uvunjike uzazi
We bado sanaSijawahi kupiga mwanamke na sintowahi nimeishi na mwanamke miaka mitatu
Fanya yote kupigana sio mpangoGood evening,
Moja kwa moja kwenye mada, naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi.
So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike kidogo home.
Well toka nifike home naona wife ana harakati nyingi tu ambazo sizielewi..last week kabla likizo yangu haijaisha nikaamua kumlia timing huyu kiumbe, niko ndani afu kaondoka kaenda kariakoo bila kuniaga kwa Madai yake alienda kufunga mzigo fulani hivi.
Haikuwa kesi sana, sasa leo niko home nikaona ye hajishughulishi na mimi, mie mambo yangu nikawa nampa maelekezo dada wa kazi,kumbe wife akawa anaumia why nampa maelekezo dada while yeye yupo..dada akaondoka kumpeleka mtoto shule akatuacha wawili ndani.
Kwa kifupi wife kanitamkia maneno ya maudhi..aisee nimemchapa makofi sio poa na toka nimuoe huyu naamini sijawahi kumgusa kwa kuchapo ila leo kavuka mstari mwekundu ndio maana kala makofi, kanuna mpaka saivi na kawapigia ndugu wote kuwa anataka kuondoka coz anahisi me niko na mtu mwingine.
Naomba ushauri wa kiutu uzima hapa nifanyeje kuweka mambo sawa?
😂😂😂JamaniMakofi tu unakuja kuomba ushauri,, nilijua labda umemtengua hata mkono...!!!!!!!!
nipee bintiyo nimuoe ma mkweHakuna mwanamke wa hovyo Kama mwanamke ambae mkigombana kashakimbilia kwa ndugu na Mimi ninaendika hapa ni mwanamke hila hiyo tabia siipendi kabisa
Umewahi kutandikwa kofii hadi shavu likaenda upande?😂😂😂Jamani
Upumbavu huu safari mimi, nilivyo introvert napend kukaa Home huko kutoka kwenyewe kwaajiri ya kutafuta kipato tu then eti nasafiri kisa mwanamke kwenda wapi niche kutuloa home kuangalia Movie.Bonge la kosa
Mwanamke hapigwi
Hasira zikiwaka ondoka au safari
Baada ya muda unarudi
Kwakweli hapana na sitaki itokee nitalia 😀😀😀Umewahi kutandikwa kofii hadi shavu likaenda upande?
Je,wakikuroga wote?,kila mmoja umpende zaidi,Ukiwa na wake wawili wataishia kugombana,kurogana na kutiliana fitna wao kwa wao huku wewe maisha yanakwenda poa kabisa. Ukiwa na mke mmoja atakuroga mpaka akufanye paka nyauuu🐈😂😂
Kazi ya mumeo ni kupenda wake zake sasa wakuroge kwa kuwapenda hio ndio sababu ya kuwaoa wao. Kama upendo hakuna na ndoa isinge kuwepo.Je,wakikuroga wote?,kila mmoja umpende zaidi,
Vp Mganga wakoRudi ulikotoka watu waendelee na maisha yao ya raha, unaonekana una gubu sana wewe. Ondoka bila kubembeleza wahuni wakusaidie kubembeleza
Na akikwambia"kama mwanaume nipige" unamfanyaje?Mwanamke hapigwi sweetheart, jamaa kakosea...
Tobaaanadeka uyo,,muongezee ngumi na mateke