Ushauri wa last bornBonge la kosa
Mwanamke hapigwi
Hasira zikiwaka ondoka au safari
Baada ya muda unarudi
waga wajinga sana hao.Good evening
Moja kwa moja kwenye mada,naishi mkoa tofauti na ambao familia yangu inaishi ,baada ya kuhamishwa kikazi.
So mweiz huu nikaamua kuchukua likizo ya like mwezi mmoja hivi nikapumzike kidogo home.well toka nifike home naona wife ana harakati nyingi tu ambazo sizielewi..last week kabla likizo yangu haijaisha nikaamua kumlia timing huyu kiumbe ,niko ndani afu kaondoka kaenda kariakoo bila kuniaga kwa Madai yake alienda kufunga mzigo flani hivi..haikua kesi sana ,sasa leo niko home nikaona ye hajishughulishi na mimi...me mambo yangu nikawa nampa maelekezo dada wa kazi,kumbe wife akawa anaumia why nampa maelekezo dada while yeye yupo..dada akaondoka kumpeleka mtoto shule akatuacha wawili ndani..kwa kifupi wife kanitamkia maneno ya maudhi..aisee nimemchapa makofi sio poa na toka nimuoe huyu naamini sijawahi kumgusa kwa kuchapo ila leo kavuka mstari mwekundu ndio maana kala makofi...kanuna mpaka saivi na kawapigia ndugu wote kuwa anataka kuondoka coz anahisi me niko na mtu mwingine.
Naomba ushauri wa kiutu uzima hapa nifanyeje kuweka mambo sawa?
usitake ncheke,Hata kwenye tako mkuu?!!!! Ile ..yoo nigga
We jamaa mbna gaidi.Makofi tu unakuja kuomba ushauri,, nilijua labda umemtengua hata mkono...!!!!!!!!
Sasa hapo si atajua una mwanamke mwingine ndo anakupa kiburi.Akileta za kuleta chapa tena. Na akileta mdomo mwambie ukiondoka usirudi tena maana naleta mke mpya. Usikae nao kizembe kenge hawa
Dawa ya mwanamke ni mwanamke.Sasa hapo si atajua una mwanamke mwingine ndo anakupa kiburi.
Umeoa?Bonge la kosa
Mwanamke hapigwi
Hasira zikiwaka ondoka au safari
Baada ya muda unarudi