DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,421
- 46,676
Kujitambua tu haiwezi kukufanya uwe tajiri
Kama haujitambui huwezi kumiliki PESA mzee ukisikia "the sense who you are " ndo imebeba success .
Kujitambua tu haiwezi kukufanya uwe tajiri
Utajiri ni wide concept na Utajiri haupatikani tu kwa kusoma, unaweza uka approach kwa mbishe mbishe nyingine, take as kusoma kama silaha ya kuuondoa umaskini, una utilize vipi elimu yako kupata utajiri hapo ndio kipengeleIkiamuacha MO dewji ambae amerithi Mali za wazazi wake hakuna tajiri mwingine mwenye degree wala diploma wengi wao wameishia darasa la Saba au darasa la nne, kule Arusha matajiri wa darasa la nne wako wengi sana tena ni watu maarufu sana wameliteka jiji kwa biashara za utalii, madini ya tanzanite na biashara za mifuko.
Jana nilikutana na tajiri mmoja hapa Dodoma aliishia darasa la saba nikamuambia kama siyo shule imenipotezea muda leo ningekuwa mbali mno tena tungekuwa tunakula sahani Moja na wewe alichekaa sana ndipo akasamema yeye angepata hata robo ya elimu yangu hata diploma tu angekuwa billionaire had sasa hivi, nikaona kabisa anatamani elimu yangu na mimi natamani biashara yake.
Akasema laiti angeishia hata fom four au diploma angepasua sana na madili kibao angepiga.
Akanimbia elimu ni Bora sana kama una akili za maisha ila ni mbaya sana kama unashindwa kutimia elimu yako kupata kipato.
Mwisho akasema yeye sasa hivi anahakiksha watoto wake wanapata elimu Bora wote wamesoma St Constantine arusha huko ada milion 15.
Mzee huyu ni mfanyabisha mdogo sana wa pembejeo za kilimo na viuatilifu
Imagine ni matajiri wangapi wamesoma Wana elimu kubwa una wafahamu? Mzee Mengi marehemu ana Diploma ya Uhasibu the rest ni la saba au form four failures!
Huyu ndio Simba wa buyenzi my man 😂Hakuna uhusiano (wa moja kwa moja) kati ya elimu na utajiri. Na ukweli huu unasimama karibu dunia nzima. Ni Tanzania (au niseme Afrika) ambako elimu imevishwa jukumu lisilo lake la kwatajirisha waipatayo. Na hiki ni kichochezi kimojawapo kikubwa cha ufisadi huu wa kihayawani tunaoushuhudia huku kwa mtu mweusi. Nitashangaa sana kumkuta eti profesa wa Marekani ametajirika? Atapata wapi muda wa kufanya biashara wakati jukumu lake kuu ni kufanya utafiti na kurithisha maarifa na uzoefu wake kwa kizazi kipya?
Kama unataka mtoto wako awe tajiri basi elimu ya kidato cha 4 au 6 inamtosha sana. Ajabu sasa hata akija kutajirika bado atahitaji walimu ili wamsomeshee watoto wake. Bado akiumwa atahitaji madaktari. Akitaka kujenga maghorofa yake atahitaji wasanifu wa majengo. Na Range Rover litahitaji mainjinia wa barabara...na mengineyo.
Ninachojaribu kusema hapa ni kwamba elimu inahitajika ili kujenga fani ambazo zinahitajika katika jamii iliyostaarabika; na jukumu lake kuu siyo kuwatajirisha wenye nayo. After all, mifumo ya uchumi jinsi ilivyosukwa, kamwe haiwezekani watu wengi kutajirika. Ndiyo maana katika serikali/jamii zinazojitambua jukumu kuu la serikali huwa ni kuinua maisha ya watu wote kwa kuhakikisha kuwa wanapata mahitaji yao ya msingi na kuishi maisha yanayoridhisha.
Hii obsession ya kwamba eti wasomi (wengi/wote) wanapaswa kutajirika eti kwa vile tu wamesoma ni kiinimacho tu ambacho hakina uhalisia katika kanuni za kiuchumi na uhalisia wa maisha.
Sawa chief asnteMo Dewji anaendesha na kusimamia biashara za familia yao hajarithi kwa sababu baba yake bado yupo hai,urithi upatikana baada ya mwenye mali kufariki.
Four failure s 🤣🤣🤣Ngoja nikaangalie cv ya Manji na GSM kwanza
Kabisa.Utajiri ni siri
Huyo ni mwasibu wetu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN.Ndio bwna CPA Holder
Hili wasomi wengi wakilitambua litakua na matokeo chanya na kuijenga upya jamii yetu.Hakuna uhusiano (wa moja kwa moja) kati ya elimu na utajiri. Na ukweli huu unasimama karibu dunia nzima. Ni Tanzania (au niseme Afrika) ambako elimu imevishwa jukumu lisilo lake la kwatajirisha waipatayo. Na hiki ni kichochezi kimojawapo kikubwa cha ufisadi huu wa kihayawani tunaoushuhudia huku kwa mtu mweusi. Nitashangaa sana kumkuta eti profesa wa Marekani ametajirika? Atapata wapi muda wa kufanya biashara wakati jukumu lake kuu ni kufanya utafiti na kurithisha maarifa na uzoefu wake kwa kizazi kipya?
Kama unataka mtoto wako awe tajiri basi elimu ya kidato cha 4 au 6 inamtosha sana. Ajabu sasa hata akija kutajirika bado atahitaji walimu ili wamsomeshee watoto wake. Bado akiumwa atahitaji madaktari. Akitaka kujenga maghorofa yake atahitaji wasanifu wa majengo. Na Range Rover litahitaji mainjinia wa barabara...na mengineyo.
Ninachojaribu kusema hapa ni kwamba elimu inahitajika ili kujenga fani ambazo zinahitajika katika jamii iliyostaarabika; na jukumu lake kuu siyo kuwatajirisha wenye nayo. After all, mifumo ya uchumi jinsi ilivyosukwa, kamwe haiwezekani watu wengi kutajirika. Ndiyo maana katika serikali/jamii zinazojitambua jukumu kuu la serikali huwa ni kuinua maisha ya watu wote kwa kuhakikisha kuwa wanapata mahitaji yao ya msingi na kuishi maisha yanayoridhisha.
Hii obsession ya kwamba eti wasomi (wengi/wote) wanapaswa kutajirika eti kwa vile tu wamesoma ni kiinimacho tu ambacho hakina uhalisia katika kanuni za kiuchumi na uhalisia wa maisha.
Elim ya Tanzania na Africa kwa ujumla Ina wafanya wa watu kuwa watumwa wa elimu Yao. Nchi kama tanzia hautaji Elim ya natharia, inahitajika elimu ya vitendo zaidi.Ikiamuacha MO dewji ambae amerithi Mali za wazazi wake hakuna tajiri mwingine mwenye degree wala diploma wengi wao wameishia darasa la Saba au darasa la nne, kule Arusha matajiri wa darasa la nne wako wengi sana tena ni watu maarufu sana wameliteka jiji kwa biashara za utalii, madini ya tanzanite na biashara za mifuko.
Jana nilikutana na tajiri mmoja hapa Dodoma aliishia darasa la saba nikamuambia kama siyo shule imenipotezea muda leo ningekuwa mbali mno tena tungekuwa tunakula sahani Moja na wewe alichekaa sana ndipo akasamema yeye angepata hata robo ya elimu yangu hata diploma tu angekuwa billionaire had sasa hivi, nikaona kabisa anatamani elimu yangu na mimi natamani biashara yake.
Akasema laiti angeishia hata fom four au diploma angepasua sana na madili kibao angepiga.
Akanimbia elimu ni Bora sana kama una akili za maisha ila ni mbaya sana kama unashindwa kutimia elimu yako kupata kipato.
Mwisho akasema yeye sasa hivi anahakiksha watoto wake wanapata elimu Bora wote wamesoma St Constantine arusha huko ada milion 15.
Mzee huyu ni mfanyabisha mdogo sana wa pembejeo za kilimo na viuatilifu
Imagine ni matajiri wangapi wamesoma Wana elimu kubwa una wafahamu? Mzee Mengi marehemu ana Diploma ya Uhasibu the rest ni la saba au form four failures!
Nowadays mkubwa unaleta vitu heavy mno kimsingi l appreciate.Hakuna uhusiano (wa moja kwa moja) kati ya elimu na utajiri. Na ukweli huu unasimama karibu dunia nzima. Ni Tanzania (au niseme Afrika) ambako elimu imevishwa jukumu lisilo lake la kwatajirisha waipatayo. Na hiki ni kichochezi kimojawapo kikubwa cha ufisadi huu wa kihayawani tunaoushuhudia huku kwa mtu mweusi. Nitashangaa sana kumkuta eti profesa wa Marekani ametajirika? Atapata wapi muda wa kufanya biashara wakati jukumu lake kuu ni kufanya utafiti na kurithisha maarifa na uzoefu wake kwa kizazi kipya?
Kama unataka mtoto wako awe tajiri basi elimu ya kidato cha 4 au 6 inamtosha sana. Ajabu sasa hata akija kutajirika bado atahitaji walimu ili wamsomeshee watoto wake. Bado akiumwa atahitaji madaktari. Akitaka kujenga maghorofa yake atahitaji wasanifu wa majengo. Na Range Rover litahitaji mainjinia wa barabara...na mengineyo.
Ninachojaribu kusema hapa ni kwamba elimu inahitajika ili kujenga fani ambazo zinahitajika katika jamii iliyostaarabika; na jukumu lake kuu siyo kuwatajirisha wenye nayo. After all, mifumo ya uchumi jinsi ilivyosukwa, kamwe haiwezekani watu wengi kutajirika. Ndiyo maana katika serikali/jamii zinazojitambua jukumu kuu la serikali huwa ni kuinua maisha ya watu wote kwa kuhakikisha kuwa wanapata mahitaji yao ya msingi na kuishi maisha yanayoridhisha.
Hii obsession ya kwamba eti wasomi (wengi/wote) wanapaswa kutajirika eti kwa vile tu wamesoma ni kiinimacho tu ambacho hakina uhalisia katika kanuni za kiuchumi na uhalisia wa maisha.
sijui hata kagundua nn huyu mwamba?Umegundua?
Weee unasema ukweli???😂😋😋Four failure s 🤣🤣🤣
👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾Hakuna uhusiano (wa moja kwa moja) kati ya elimu na utajiri. Na ukweli huu unasimama karibu dunia nzima. Ni Tanzania (au niseme Afrika) ambako elimu imevishwa jukumu lisilo lake la kwatajirisha waipatayo. Na hiki ni kichochezi kimojawapo kikubwa cha ufisadi huu wa kihayawani tunaoushuhudia huku kwa mtu mweusi. Nitashangaa sana kumkuta eti profesa wa Marekani ametajirika? Atapata wapi muda wa kufanya biashara wakati jukumu lake kuu ni kufanya utafiti na kurithisha maarifa na uzoefu wake kwa kizazi kipya?
Kama unataka mtoto wako awe tajiri basi elimu ya kidato cha 4 au 6 inamtosha sana. Ajabu sasa hata akija kutajirika bado atahitaji walimu ili wamsomeshee watoto wake. Bado akiumwa atahitaji madaktari. Akitaka kujenga maghorofa yake atahitaji wasanifu wa majengo. Na Range Rover litahitaji mainjinia wa barabara...na mengineyo.
Ninachojaribu kusema hapa ni kwamba elimu inahitajika ili kujenga fani ambazo zinahitajika katika jamii iliyostaarabika; na jukumu lake kuu siyo kuwatajirisha wenye nayo. After all, mifumo ya uchumi jinsi ilivyosukwa, kamwe haiwezekani watu wengi kutajirika. Ndiyo maana katika serikali/jamii zinazojitambua jukumu kuu la serikali huwa ni kuinua maisha ya watu wote kwa kuhakikisha kuwa wanapata mahitaji yao ya msingi na kuishi maisha yanayoridhisha.
Hii obsession ya kwamba eti wasomi (wengi/wote) wanapaswa kutajirika eti kwa vile tu wamesoma ni kiinimacho tu ambacho hakina uhalisia katika kanuni za kiuchumi na uhalisia wa maisha.
Asante sana ndugu yangu. Real appreciate it. Najaribu kuwa siriazi kidogo 🙏🏿🤝🤝🤝Nowadays mkubwa unaleta vitu heavy mno kimsingi l appreciate.
Rostam Aziz Hana degree ya uchumi!!Ikiamuacha MO dewji ambae amerithi Mali za wazazi wake hakuna tajiri mwingine mwenye degree wala diploma wengi wao wameishia darasa la Saba au darasa la nne, kule Arusha matajiri wa darasa la nne wako wengi sana tena ni watu maarufu sana wameliteka jiji kwa biashara za utalii, madini ya tanzanite na biashara za mifuko.
Jana nilikutana na tajiri mmoja hapa Dodoma aliishia darasa la saba nikamuambia kama siyo shule imenipotezea muda leo ningekuwa mbali mno tena tungekuwa tunakula sahani Moja na wewe alichekaa sana ndipo akasamema yeye angepata hata robo ya elimu yangu hata diploma tu angekuwa billionaire had sasa hivi, nikaona kabisa anatamani elimu yangu na mimi natamani biashara yake.
Akasema laiti angeishia hata fom four au diploma angepasua sana na madili kibao angepiga.
Akanimbia elimu ni Bora sana kama una akili za maisha ila ni mbaya sana kama unashindwa kutimia elimu yako kupata kipato.
Mwisho akasema yeye sasa hivi anahakiksha watoto wake wanapata elimu Bora wote wamesoma St Constantine arusha huko ada milion 15.
Mzee huyu ni mfanyabisha mdogo sana wa pembejeo za kilimo na viuatilifu
Imagine ni matajiri wangapi wamesoma Wana elimu kubwa una wafahamu? Mzee Mengi marehemu ana Diploma ya Uhasibu the rest ni la saba au form four failures!
Mzee Mengi ni CPA holder wa Kwanza Kwanza.Ikiamuacha MO dewji ambae amerithi Mali za wazazi wake hakuna tajiri mwingine mwenye degree wala diploma wengi wao wameishia darasa la Saba au darasa la nne, kule Arusha matajiri wa darasa la nne wako wengi sana tena ni watu maarufu sana wameliteka jiji kwa biashara za utalii, madini ya tanzanite na biashara za mifuko.
Jana nilikutana na tajiri mmoja hapa Dodoma aliishia darasa la saba nikamuambia kama siyo shule imenipotezea muda leo ningekuwa mbali mno tena tungekuwa tunakula sahani Moja na wewe alichekaa sana ndipo akasamema yeye angepata hata robo ya elimu yangu hata diploma tu angekuwa billionaire had sasa hivi, nikaona kabisa anatamani elimu yangu na mimi natamani biashara yake.
Akasema laiti angeishia hata fom four au diploma angepasua sana na madili kibao angepiga.
Akanimbia elimu ni Bora sana kama una akili za maisha ila ni mbaya sana kama unashindwa kutimia elimu yako kupata kipato.
Mwisho akasema yeye sasa hivi anahakiksha watoto wake wanapata elimu Bora wote wamesoma St Constantine arusha huko ada milion 15.
Mzee huyu ni mfanyabisha mdogo sana wa pembejeo za kilimo na viuatilifu
Imagine ni matajiri wangapi wamesoma Wana elimu kubwa una wafahamu? Mzee Mengi marehemu ana Diploma ya Uhasibu the rest ni la saba au form four failures!
Kusoma ni jambo moja, akili jingine, juhudi, maarifa na utajiri (wa mali, ambao siyo lazima yawe mafanikio) ni mengine pia.Elimu versus Akili versus Mafanikio katika maisha.
Unaweza ukasoma sana lakini unaweza ukawa haujaelimika.
Aidha, unaweza kuelimika sana lakini Elimu yako ikawa haijakukomboa katika maisha yako.