Manyara: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yanayoongozwa na Tundu Lissu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,079
219,123
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Tundu Lissu anasimamia Maandamano ya kupinga Ugumu wa maisha , kikokotoo pamoja na sheria mbovu za Uchaguzi . Maandamano hayo yanafanyika Mkoani Manyara .

Screenshot_2024-04-26-10-00-41-1.png


Kama kawaida Mimi Mtumishi wako nitakuletea kila kinachojiri .

Usiondoke JF
===========
Tayari Mambo yameanza Taratibu

Screenshot_2024-04-26-12-43-06-1.png


Chadema haina shughuli ndogo

Screenshot_2024-04-26-13-08-08-1.png
Screenshot_2024-04-26-13-08-19-1.png
 
Nchi lazima ichechemke sio woote usingizi kazi kumwimbia mama-mama!!
Piga kazi makamanda tupo pamoja kunamambo mengi ya hovyo yanaendelea hii nchi.
Juzi kunamtumishi mwalimu Senior kabisa kakuta mshahara wake haufiki lakimbili kisa "bodi ya mikopo"!!
Kwanini bodi inakata mkopoa kibabe bila kumzingatia Sheria ya mtumishi kubakiwa na 1/3 ya mshahara wake??
Mtumishi huyu ataishi vipi? Atafundisha Kwa ufanisi? Ametendewa haki?
Atakuwa mzalendo?
 
Nchi lazima ichechemke sio woote usingizi kazi kumwimbia mama-mama!!
Piga kazi makamanda tupo pamoja kunamambo mengi ya hovyo yanaendelea hii nchi.
Juzi kunamtumishi mwalimu Senior kabisa kakuta mshahara wake haufiki lakimbili kisa "bodi ya mikopo"!!
Kwanini bodi inakata mkopoa kibabe bila kumzingatia Sheria ya mtumishi kubakiwa na 1/3 ya mshahara wake??
Mtumishi huyu ataishi vipi? Atafundisha Kwa ufanisi? Ametendewa haki?
Atakuwa mzalendo?
Poleni wananchi
 
Nchi lazima ichechemke sio woote usingizi kazi kumwimbia mama-mama!!
Piga kazi makamanda tupo pamoja kunamambo mengi ya hovyo yanaendelea hii nchi.
Juzi kunamtumishi mwalimu Senior kabisa kakuta mshahara wake haufiki lakimbili kisa "bodi ya mikopo"!!
Kwanini bodi inakata mkopoa kibabe bila kumzingatia Sheria ya mtumishi kubakiwa na 1/3 ya mshahara wake??
Mtumishi huyu ataishi vipi? Atafundisha Kwa ufanisi? Ametendewa haki?
Atakuwa mzalendo?
Baada ya maandamano ??????????
 
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba , Tundu Lissu anasimamia Maandamano ya kupinga Ugumu wa maisha , kikokotoo pamoja na sheria mbovu za Uchaguzi . Maandamano hayo yanafanyika Mkoani Manyara .

View attachment 2974205

Kama kawaida Mimi Mtumishi wako nitakuletea kila kinachojiri .

Usiondoke JF
===========
Tayari Mambo yameanza Taratibu

View attachment 2974430

Chadema haina shughuli ndogo

View attachment 2974478View attachment 2974479
Muungano naona wananchi wameungana
 
Hizi sura mbona ni zilezile zilizokuwa bukoba mwanza manyara, baada ya buses kuanza kusafiri usiku coaster zimekosa kazi zimeanza kusomba wabeba mabango
 
Back
Top Bottom