Mara: Yanayojiri kwenye Maandamano ya Amani yanayoongozwa na Freeman Mbowe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,499
220,145
Wiki ya Maandamano bado inaendelea , ambapo leo imefika Mkoani Mara .

Hapa Mkoani Mara anayeongoza Maandamano haya ni yule yule Mwamba Kabisa Freeman Mbowe

Screenshot_2024-04-26-11-15-10-1.png


Usiondoke JF kwa vile inatarajiwa Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe atahutubia ili kutoa Mwongozo wa miaka 60 ya Muungano
=========
Tulishasema Chadema siyo Chama cha Kiangazi , Mwamba akiingia Musoma Mjini na Mvua kubwa mno , lakini mambo yanaendelea

Screenshot_2024-04-26-14-53-42-1.png
Screenshot_2024-04-26-14-53-55-1.png

Mambo ndio kama mnavyoona

Screenshot_2024-04-26-15-24-37-1.png
Screenshot_2024-04-26-15-25-18-1.png

Screenshot_2024-04-26-15-24-56-1.png
Screenshot_2024-04-26-15-24-47-1.png
Screenshot_2024-04-26-15-24-56-1.png
Screenshot_2024-04-26-15-24-47-1.png
Screenshot_2024-04-26-16-46-30-1.png
 
Mzee mbowe
Wiki ya Maandamano bado inaendelea , ambapo leo imefika Mkoani Mara .

Hapa Mkoani Mara anayeongoza Maandamano haya ni yule yule Mwamba Kabisa Freeman Mbowe

View attachment 2974263

Usiondoke JF kwa vile inatarajiwa Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe atahutubia ili kutoa Mwongozo wa miaka 60 ya Muungano
=========
Mzee Mbowe bana,misukule yake (wafuasi) ukiwaliza haya maandamano yaana maana gani hata hawajui.Mzee Mbowe tunaomba utupatie majibu kwa nini umemwacha binamu yako(Mpuuzi Lema) kwenye haya maandamano ya kanda ya Ziwa?
 
Nyie watu ni wapuuzi sana. Nchi yenu iko kwenye changamoto za mvua kuzidi kiwango kiasi kila sehemu mafuriko ila nyie mko na maandamano tu?
 
Mzee mbowe

Mzee Mbowe bana,misukule yake (wafuasi) ukiwaliza haya maandamano yaana maana gani hata hawajui.Mzee Mbowe tunaomba utupatie majibu kwa nini umemwacha binamu yako(Mpuuzi Lema) kwenye haya maandamano ya kanda ya Ziwa?
Makupa?? sisi wazee jina makupa linasiha mbaya sana!
Nchi huru kilamtu anaruhsa kushughulika na yake!!
Wanajeshi wakasaidie maafa ya mafuriko sio mambo ya gwaride!!
 
Wiki ya Maandamano bado inaendelea , ambapo leo imefika Mkoani Mara .

Hapa Mkoani Mara anayeongoza Maandamano haya ni yule yule Mwamba Kabisa Freeman Mbowe

View attachment 2974263

Usiondoke JF kwa vile inatarajiwa Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe atahutubia ili kutoa Mwongozo wa miaka 60 ya Muungano
=========
Tulishasema Chadema siyo Chama cha Kiangazi , Mwamba akiingia Musoma Mjini na Mvua kubwa mno , lakini mambo yanaendelea

View attachment 2974616View attachment 2974617
Mambo ndio kama mnavyoona

View attachment 2974626View attachment 2974627
View attachment 2974628View attachment 2974629View attachment 2974628View attachment 2974629
Mbona hii ni Simiyu au mnafanya usanii tu?
 
Back
Top Bottom