Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,496
- 220,140
Taarifa za Uhakika kutoka CHADEMA , zimeeleza kwamba , Makamu Mwenyekiti wa Chama hicho , Tundu Lissu ataongoza Maandamano ya Amani Mkoani Manyara , baada ya kuahirisha Maandamano ya Karatu kwa sababu ya Mafuriko .
Katika kufanikisha jambo hilo Takatifu Lissu atasaidiwa na Mtu wa Mungu Godbless Lema pamoja na Mwakilishi wa Watanzania Dr Wilbrod Slaa .
Wote hawa watakinukisha kutokea Babati Mjini
Katika kufanikisha jambo hilo Takatifu Lissu atasaidiwa na Mtu wa Mungu Godbless Lema pamoja na Mwakilishi wa Watanzania Dr Wilbrod Slaa .
Wote hawa watakinukisha kutokea Babati Mjini