Native diaspora
Senior Member
- Nov 19, 2020
- 171
- 294
Mambo mazito sanaaaa
😄Utumishi katika default mode yao,
Foolish kabisa haya majamaa
HatariMambo mazito sanaaaa
Mimi pia jumanne tuu nimepiga oral ila Leo hawajaniita kwenye usaili wameniandikia NOT SHORTLISTED CSE CERTIFICATE ARE NOT CERTIFIED wakati Tangia day one vyeti vyangu vyote nimecertified na interview zote huaga wananiitaga,,,,,,Naomba mwenye namba zao anisaidiee niwapigieKuna kazi niliomba, status inasoma " not shortlisted, CERTIFICATE NOT ATTACHED".
Inashangaza wakati kwenye academic and proffessional qualifications nimeattach vyeti vyote.
Mnadhani tatizo ni nini?
Linaweza kutokaLeo kama vle Kuna pdf
We jamaa unakuwaga na shida gani ??washatoa pdf uko
Sure, ndio mbinu ya mtafutajiHakikisha unaomba nafasi yeyote ile utakayokuwa na sifa.
Hakikisha unahudhuria usahili endapo ukiitwa.
Usikate tamaa.
bora wangekua wanakaa kimya tu..Sekretarieti wanadai matokeo yatakuwa yanatolewa ndani ya muda mfupi sana
Hii ni Kwa usaili wa written Tu?Sekretarieti wanadai matokeo yatakuwa yanatolewa ndani ya muda mfupi sana
katibu si yupo tbc anapromote mfumo wa kidigitaliLeo kama vle Kuna pdf
Cha zaidi Jamaa anazingatia per diem yake Inaingia mfukoni akizunguka vyombo vyote vya habari hakuna jipya hapo....Sekretarieti wanadai matokeo yatakuwa yanatolewa ndani ya muda mfupi sana
chaajabu haya maswali hawaulizwi uko kwenye mediaMalalamiko ya wengi sio,
Matokeo ya written / practical kuchelewa au kuwahi...
Malalamiko ni kuwa,
Inakuaje placement zinachelewa wakati tangazo la ajira linajielewa kuwa nafasi kadhaa zinahitaji watu?
Hapa ndipo kwenye ukakasi..
Hili la placement huwa wanalijibu kisiasa...chaajabu haya maswali hawaulizwi uko kwenye media
Wanajifanya hawajuiMalalamiko ya wengi sio,
Matokeo ya written / practical kuchelewa au kuwahi...
Malalamiko ni kuwa,
Inakuaje placement zinachelewa wakati tangazo la ajira linajielewa kuwa nafasi kadhaa zinahitaji watu?
Hapa ndipo kwenye ukakasi..