Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Kuna kazi niliomba, status inasoma " not shortlisted, CERTIFICATE NOT ATTACHED".

Inashangaza wakati kwenye academic and proffessional qualifications nimeattach vyeti vyote.
Mnadhani tatizo ni nini?
Mimi pia jumanne tuu nimepiga oral ila Leo hawajaniita kwenye usaili wameniandikia NOT SHORTLISTED CSE CERTIFICATE ARE NOT CERTIFIED wakati Tangia day one vyeti vyangu vyote nimecertified na interview zote huaga wananiitaga,,,,,,Naomba mwenye namba zao anisaidiee niwapigie
 
Sekretarieti wanadai matokeo yatakuwa yanatolewa ndani ya muda mfupi sana
 

Attachments

  • Screenshot_20240503_103934_Instagram.jpg
    Screenshot_20240503_103934_Instagram.jpg
    365 KB · Views: 4
Sekretarieti wanadai matokeo yatakuwa yanatolewa ndani ya muda mfupi sana
Cha zaidi Jamaa anazingatia per diem yake Inaingia mfukoni akizunguka vyombo vyote vya habari hakuna jipya hapo....
Hii Taasisi sio ya yakujitangaza kama vile wanakusanya kodi....
Hii Taasisi inatakiwa ni kuonyesha vitendo tu itajibrand yenyewe na sifa zitakuwa nyingi watapewa...Wanakera tu watu
 
Back
Top Bottom