Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Heri yako wewe unavyenzo za kusikilizia, huku tukuyu ndanindani tuna hali mbaya.
Anyways utatu-update.
Hahaha ha,hakuna jipya sana yaleyale tu
1. Wameongelea swala la aptitude test/online test utafanyik kwenye vituo vyao vya kila mkoa hivyo watu waupdate current location kweny account zao,na ikitokea haupo kwenye kituo ulichopangiwa basi nenda kituo kilichopo karibu nawe lakini unaweza kuchelewa kuhudumiwa
2. Wamesisitiza tu tusome tangazo na kanuni za ajira, tuzingatie tangazo la kazi linataka nini,na zile general conditions muhimu mno
3.Wamegusia interview haitok nje ya majukumu. Hivyo kwenye tangazo la kazi tusome majukum ya kazi na tuelewe vizuri. Kuna keywords mule tutapata kitu au direction tusome wapi zaidi.
4.Kwa mujibu wa katibu placement zinachelewa sababu kuu ni vibali
5.Pia unaweza kufanya interview zaid ya 1 kwa siku ikitokea zimepangwa siku 1 watatenganisha tu muda
6.Pia wamesema kutakua wanatufanyia psychometric test,kutupima haiba,akili au jinsi tunavyojitambua ili kujua sisi ni watu wa aina gani na wanampelekea mwajiri mtu wa aina gani🤣
7.Matokea ya aptitude test ni ya haraka mno unarud home ushajua mbivu na mbichi mapema tu🤣..nadhan awa waliofanya hivi karibuni watakua na experience zaidi.
 
Hahaha ha,hakuna jipya sana yaleyale tu
1. Wameongelea swala la aptitude test/online test utafanyik kwenye vituo vyao vya kila mkoa hivyo watu waupdate current location kweny account zao,na ikitokea haupo kwenye kituo ulichopangiwa basi nenda kituo kilichopo karibu nawe lakini unaweza kuchelewa kuhudumiwa
2. Wamesisitiza tu tusome tangazo na kanuni za ajira, tuzingatie tangazo la kazi linataka nini,na zile general conditions muhimu mno
3.Wamegusia interview haitok nje ya majukumu. Hivyo kwenye tangazo la kazi tusome majukum ya kazi na tuelewe vizuri. Kuna keywords mule tutapata kitu au direction tusome wapi zaidi.
4.Kwa mujibu wa katibu placement zinachelewa sababu kuu ni vibali
5.Pia unaweza kufanya interview zaid ya 1 kwa siku ikitokea zimepangwa siku 1 watatenganisha tu muda
6.Pia wamesema kutakua wanatufanyia psychometric test,kutupima haiba,akili au jinsi tunavyojitambua ili kujua sisi ni watu wa aina gani na wanampelekea mwajiri mtu wa aina gani
7.Matokea ya aptitude test ni ya haraka mno unarud home ushajua mbivu na mbichi mapema tu..nadhan awa waliofanya hivi karibuni watakua na experience zaidi.
Hii point ya kwanza mbona wanazingua, jmos tarehe 4 tumeitwa written Dodoma. Bado hawaja boresha miundo mbinu ya kufanya hizi aptitude test.
 
Hahaha ha,hakuna jipya sana yaleyale tu
1. Wameongelea swala la aptitude test/online test utafanyik kwenye vituo vyao vya kila mkoa hivyo watu waupdate current location kweny account zao,na ikitokea haupo kwenye kituo ulichopangiwa basi nenda kituo kilichopo karibu nawe lakini unaweza kuchelewa kuhudumiwa
2. Wamesisitiza tu tusome tangazo na kanuni za ajira, tuzingatie tangazo la kazi linataka nini,na zile general conditions muhimu mno
3.Wamegusia interview haitok nje ya majukumu. Hivyo kwenye tangazo la kazi tusome majukum ya kazi na tuelewe vizuri. Kuna keywords mule tutapata kitu au direction tusome wapi zaidi.
4.Kwa mujibu wa katibu placement zinachelewa sababu kuu ni vibali
5.Pia unaweza kufanya interview zaid ya 1 kwa siku ikitokea zimepangwa siku 1 watatenganisha tu muda
6.Pia wamesema kutakua wanatufanyia psychometric test,kutupima haiba,akili au jinsi tunavyojitambua ili kujua sisi ni watu wa aina gani na wanampelekea mwajiri mtu wa aina gani🤣
7.Matokea ya aptitude test ni ya haraka mno unarud home ushajua mbivu na mbichi mapema tu🤣..nadhan awa waliofanya hivi karibuni watakua na experience zaidi.
Hivi hawa wadogo zke na Vasco Dagama wakiongeaga huwa wanajisikiliza
Kama mabumunda vile
 
Hahaha ha,hakuna jipya sana yaleyale tu
1. Wameongelea swala la aptitude test/online test utafanyik kwenye vituo vyao vya kila mkoa hivyo watu waupdate current location kweny account zao,na ikitokea haupo kwenye kituo ulichopangiwa basi nenda kituo kilichopo karibu nawe lakini unaweza kuchelewa kuhudumiwa
2. Wamesisitiza tu tusome tangazo na kanuni za ajira, tuzingatie tangazo la kazi linataka nini,na zile general conditions muhimu mno
3.Wamegusia interview haitok nje ya majukumu. Hivyo kwenye tangazo la kazi tusome majukum ya kazi na tuelewe vizuri. Kuna keywords mule tutapata kitu au direction tusome wapi zaidi.
4.Kwa mujibu wa katibu placement zinachelewa sababu kuu ni vibali
5.Pia unaweza kufanya interview zaid ya 1 kwa siku ikitokea zimepangwa siku 1 watatenganisha tu muda
6.Pia wamesema kutakua wanatufanyia psychometric test,kutupima haiba,akili au jinsi tunavyojitambua ili kujua sisi ni watu wa aina gani na wanampelekea mwajiri mtu wa aina gani🤣
7.Matokea ya aptitude test ni ya haraka mno unarud home ushajua mbivu na mbichi mapema tu🤣..nadhan awa waliofanya hivi karibuni watakua

Hahaha ha,hakuna jipya sana yaleyale tu
1. Wameongelea swala la aptitude test/online test utafanyik kwenye vituo vyao vya kila mkoa hivyo watu waupdate current location kweny account zao,na ikitokea haupo kwenye kituo ulichopangiwa basi nenda kituo kilichopo karibu nawe lakini unaweza kuchelewa kuhudumiwa
2. Wamesisitiza tu tusome tangazo na kanuni za ajira, tuzingatie tangazo la kazi linataka nini,na zile general conditions muhimu mno
3.Wamegusia interview haitok nje ya majukumu. Hivyo kwenye tangazo la kazi tusome majukum ya kazi na tuelewe vizuri. Kuna keywords mule tutapata kitu au direction tusome wapi zaidi.
4.Kwa mujibu wa katibu placement zinachelewa sababu kuu ni vibali
5.Pia unaweza kufanya interview zaid ya 1 kwa siku ikitokea zimepangwa siku 1 watatenganisha tu muda
6.Pia wamesema kutakua wanatufanyia psychometric test,kutupima haiba,akili au jinsi tunavyojitambua ili kujua sisi ni watu wa aina gani na wanampelekea mwajiri mtu wa aina gani🤣
7.Matokea ya aptitude test ni ya haraka mno unarud home ushajua mbivu na mbichi mapema tu🤣..nadhan awa waliofanya hivi karibuni watakua na experience zaidi.
Vibali wamepewa 46elfu mpka sasa..
Lakini ukija ubaoni nw mambo ni shida number Inasomeka 9 wakati inasoma 6....
Wasifikie huko kututesa jobless
Na database ipo below 7000..
 
Vibali wamepewa 46elfu mpka sasa..
Lakini ukija ubaoni nw mambo ni shida number Inasomeka 9 wakati inasoma 6....
Wasifikie huko kututesa jobless
Na database ipo below 7000..
Mzee hivi unajua kama database ipo elfu 7000 hizi data natamani nijue na mie
 
Vibali wamepewa 46elfu mpka sasa..
Lakini ukija ubaoni nw mambo ni shida number Inasomeka 9 wakati inasoma 6....
Wasifikie huko kututesa jobless
Na database ipo below 7000..
Wasengeeex tu haiwezekani unakibali cha watumishi elfu 46 halfu wanazingizingia vibali.

Nawaambia labda wasisitaafu ila watoto wao sisi ndo tutawaajiri na TUTALIPIZA KISASI
 
Jamani nauliza,tuna mtihani wa account officer ii ,tarehe 11 na huu mtihani ni online mwenye ushauri wa namna ya kujiandaa zaidi,pia ningependa kuuliza wale waliofanya ICT officer online mtihan wao ulikuwaje? Je ni maltiple choice tu au vp
 
Jamani nauliza,tuna mtihani wa account officer ii ,tarehe 11 na huu mtihani ni online mwenye ushauri wa namna ya kujiandaa zaidi,pia ningependa kuuliza wale waliofanya ICT officer online mtihan wao ulikuwaje? Je ni maltiple choice tu au vp
ICT ni multiple choice maswali 50
 
Jamani nauliza,tuna mtihani wa account officer ii ,tarehe 11 na huu mtihani ni online mwenye ushauri wa namna ya kujiandaa zaidi,pia ningependa kuuliza wale waliofanya ICT officer online mtihan wao ulikuwaje? Je ni maltiple choice tu au vp
Kuwa makini sana ktk kutumia keyboard ya computer. Uki minimize tab au kubonyeza button yoyote mf. ESC au WINDOWS BUTTON ikapelekea browser imerespond kidogo au kufungua program nyingine hata kama bahat mbaya ujue utakuwa umesubmit mtihani wako na hivyo vichache ulivyojaza ndio vitasahihishwa na hakuna msaada baada ya kukosea mashart.
 
Back
Top Bottom