FRANCIS MNGUMI
Member
- Jul 12, 2020
- 14
- 20
We jamaa unakuwaga na shida gani ??washatoa pdf uko
We jamaa unakuwaga na shida gani ??washatoa pdf uko
Sure, ndio mbinu ya mtafutajiHakikisha unaomba nafasi yeyote ile utakayokuwa na sifa.
Hakikisha unahudhuria usahili endapo ukiitwa.
Usikate tamaa.
bora wangekua wanakaa kimya tu..Sekretarieti wanadai matokeo yatakuwa yanatolewa ndani ya muda mfupi sana
Hii ni Kwa usaili wa written Tu?Sekretarieti wanadai matokeo yatakuwa yanatolewa ndani ya muda mfupi sana
katibu si yupo tbc anapromote mfumo wa kidigitaliLeo kama vle Kuna pdf
Cha zaidi Jamaa anazingatia per diem yake Inaingia mfukoni akizunguka vyombo vyote vya habari hakuna jipya hapo....Sekretarieti wanadai matokeo yatakuwa yanatolewa ndani ya muda mfupi sana
chaajabu haya maswali hawaulizwi uko kwenye mediaMalalamiko ya wengi sio,
Matokeo ya written / practical kuchelewa au kuwahi...
Malalamiko ni kuwa,
Inakuaje placement zinachelewa wakati tangazo la ajira linajielewa kuwa nafasi kadhaa zinahitaji watu?
Hapa ndipo kwenye ukakasi..
Hili la placement huwa wanalijibu kisiasa...chaajabu haya maswali hawaulizwi uko kwenye media
Wanajifanya hawajuiMalalamiko ya wengi sio,
Matokeo ya written / practical kuchelewa au kuwahi...
Malalamiko ni kuwa,
Inakuaje placement zinachelewa wakati tangazo la ajira linajielewa kuwa nafasi kadhaa zinahitaji watu?
Hapa ndipo kwenye ukakasi..
Ningekuwa moderator, ungekula Ban ya mwaka mmojahaya kuna pdf uko
Tumsamehe bure,jobless tunadata vibaya sana😂,pengine ndo njia yake ya kujifariji tuNingekuwa moderator, ungekula Ban ya mwaka mmoja
Anatak mkimbizane kuchungulia web😂Ningekuwa moderator, ungekula Ban ya mwaka mmoja
Huyu huenda hata siyo jobless, anaweza kuwa ni mtu ambaye yupo kwenye system muda mrefu na yupo hapa kutuongezea stress.Tumsamehe bure,jobless tunadata vibaya sana,pengine ndo njia yake ya kujifariji tu
mtu wa kwenye system hana akili zake hazipo makalioni.Huyu huenda hata siyo jobless, anaweza kuwa ni mtu ambaye yupo kwenye system muda mrefu na yupo hapa kutuongezea stress.
pinacoladee hali unaionajeAnatak mkimbizane kuchungulia web😂