Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

Sekretarieti wanadai matokeo yatakuwa yanatolewa ndani ya muda mfupi sana
 

Attachments

  • Screenshot_20240503_103934_Instagram.jpg
    Screenshot_20240503_103934_Instagram.jpg
    365 KB · Views: 5
Sekretarieti wanadai matokeo yatakuwa yanatolewa ndani ya muda mfupi sana
Cha zaidi Jamaa anazingatia per diem yake Inaingia mfukoni akizunguka vyombo vyote vya habari hakuna jipya hapo....
Hii Taasisi sio ya yakujitangaza kama vile wanakusanya kodi....
Hii Taasisi inatakiwa ni kuonyesha vitendo tu itajibrand yenyewe na sifa zitakuwa nyingi watapewa...Wanakera tu watu
 
Back
Top Bottom