Bill
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 8,290
- 8,511
Unawajua vizuri waMarekani? Una amini wanachokisema?Kuna kila dalili WWW3 inakwenda kuanza rasmi........na mwisho wa Israel unakaribia........kumbuka Amerika ameshasema yeye anakaa kando......
Huyo Israel ni chambo tu mwenye shughuli yake bado anajifanya hatakaki kasusa.