Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 19,151
- 41,907
😂😂 Kwahy unaninyanyapaa au siyo
😂😂 Kwahy unaninyanyapaa au siyo
Anapenda pesa, kuwa makini 🤣Ngoja nimpandie huko pm kwake 😂
Akae akijua Mm n jobless 😂Anapenda pesa, kuwa makini 🤣
Aaaah hii nchi amani imezidi, inahitajika tuchachuliwe kidogo.
waooooh 😊😊
Basi achana nae, huyo nimemshindwa kwa ajili ya pesa. Anaongea pesa mda wote....Akae akijua Mm n jobless 😂
Bc ngoja niwe mpole. Asije kumaliza kibubu changu nilichojipinda kukinenepesha.Basi achana nae, huyo nimemshindwa kwa ajili ya pesa. Anaongea pesa mda wote....
😂😂😂😂Basi achana nae, huyo nimemshindwa kwa ajili ya pesa. Anaongea pesa mda wote....
Wapare sio watu😂😂😂😂😂 Kwahy unaninyanyapaa au siyo
Sasa badala utafute kazi unatafuta mwanamke!! Unakwama wapi?Akae akijua Mm n jobless 😂
Mkuu, Mm n mtu 😎Wapare sio watu😂😂😂
Jobless nayejiwezaSasa badala utafute kazi unatafuta mwanamke!! Unakwama wapi?
Wanasema tumia pesa ikuzoee. Sasa fanya kukibomoa then nitakwambia kitu.Bc ngoja niwe mpole. Asije kumaliza kibubu changu nilichojipinda kukinenepesha.
KwendaaaWapare sio watu😂😂😂
Aaah wewe hata kazi hauna hauwezi kuwa mtu 🤣Mkuu, Mm n mtu 😎
Kama ulisuuza rungu sio mbaya mkuuNiliwahi pata mchumba humu miaka kama 7 hivi imepita tulidumu nae kwa relationship kama1 year nilikuwa serious nataka kumuoa ila alikuja kuniletea uswahili mwingi sana nakusalim popote pale ulipo nimekumic sana i wish to see you my lovely ex mana hata ID yake mpaka leo sijawahi kuiona tena ipo siku nitakuandia uzi wako special
Ulikuwa last year UDOM home kwenu mbeya nami nilikuwa naishi mbeya
Utafilisikq, outing tu 150k itakata. Anakunywa vitu vya gharama tu, halali guest/lodge, hapandi boda...Bc ngoja niwe mpole. Asije kumaliza kibubu changu nilichojipinda kukinenepesha.