gwahe
Senior Member
- Nov 24, 2014
- 147
- 84
Wanajukwaa na wapenzi wa MMU na JamiiForums kwa ujumla. Utafiti uliofanywa kupitia mitandao ya kijamii kama tinder, OkCupid, twoo, badoo na n.k,Takwimu zimeeleza kuwa 19% watumiaji wamefanikiwa kupata marafiki wa kweli mpaka kufikia kuwa mke au mume. Tafiti pia inaeleza kuwa BLIND DATE ikitumiwa vizuri na watumiaji kuacha kusema uongo, ndiyo itakuwa njia bora katika karne ya 21.
Swali langu, Je JF na wana MMU. Kuna record yeyote ya wana jukwaa wamebahatika kupata wenza wao kupitia jukwaa hili?
Swali langu, Je JF na wana MMU. Kuna record yeyote ya wana jukwaa wamebahatika kupata wenza wao kupitia jukwaa hili?