Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 82,341
- 159,487
Tapeli mwenyewe we mpare😂😂😂Huku ni matapeli tuu
Tapeli mwenyewe we mpare😂😂😂Huku ni matapeli tuu
Nimepiga kwenye mshono eee 😂 pole sana babeTapeli mwenyewe we mpare😂😂😂
Wenye mwanzo humu tupo wengi tuna mtoa mada sema Ndoivo wengine hawapendi mbambambaa kwa usalama wa afya za mahusiano yao
🤣🤣🤣 Walikutapeli nini kwanza?Nimepiga kwenye mshono eee 😂 pole sana babe
Aaaah hii nchi amani imezidi, inahitajika tuchachuliwe kidogo.Hupendagi Amani siyo?
Ni sawa..usiku mwema..
Mm sijawh kuwa na mahusiano ya humu JF ila naona story za wengi wanasema walipigwa na vitu vizito na wanawake wa humu.🤣🤣🤣 Walikutapeli nini kwanza?
Huyo sio wewe kweli 🤣aloooo
Muheshimiwa nakusalimiahongereni sana aise, inatia moyo sana kwa wapambanaji kutokukata tamaa, kumbe inawezekana 🐒
ni muhimu kung'ang'ana apo apo kwa uangalifu, ili kuepuka kutishia afya na uhai wa mahusianao yenu 🐒
🤣🤣🤣🤣 usiwasikilize hao ni matapeli.Mm sijawh kuwa na mahusiano ya humu JF ila naona story za wengi wanasema walipigwa na vitu vizito na wanawake wa humu.
Ndiyooo
Bebe kali zipo sana tu JF ila Kama huendagi Kanisani/ Msikitini huwezi kuziona
😂😂 Kila mtu ni tapeli, em tujaribu Mm na ww afu nione kama kwel kuna utapeli au vp🤣🤣🤣🤣 usiwasikilize hao ni matapeli.
😂😂😂😂😂jamaniHuyo sio wewe kweli 🤣
waooooh 😊😊Na soon tutatimiza anniversary ya 10yrs, sio ya kuchapana....ya ndoa mkuu!
I'll have to write smth here on our anniversary, wengine Max jatuwezesha kuandika historia zetu za maisha kupitia jf.