Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 59,680
- 80,660
Wewe unashindia mayai visa akili utazitoa wapi?Wewe hunaga akili siku zote.
Unataka kunambia wanataka kujenga uwanja Dodoma halafu Mwanza wanaisahau kweli?? Hili kwa watu wa Kanda ya ziwa ambao ndio wengi kuliko Kanda yoyote ile hatulikubali kabisaKama tungekuwa tuna host wenyewe na sio EA , am sure Mwanza ingechaguliwa
1.Dar ni lazima iwe picked. Commercial capital , More training stadiums( Karume, Boko, Azam Complex)
2. Zanzibar Lazima iwe picked- Hotels, Plus ni United republic , plus more touristic city
3.Arusha vs Mwanza , I think ni Arusha ina hotels plus, International airport, ipo karibu na Moshi , Ngorongoro etc, Mwanza is more of business than touristic city , so Arusha ikashinda
4. Kwenye Dodoma vs Mwanza , nafikiri Issue ni Capital city, inagwa sidhani kama imezidi mwanza kwa hotels, lakini SGR kufika Dodoma pia itaipa nafasi
wazee wa Malalamiko FC mlipewa mradi wa airport mkala hela! Wacheni unafiki!Unataka kunambia wanataka kujenga uwanja Dodoma halafu Mwanza wanaisahau kweli?? Hili kwa watu wa Kanda ya ziwa ambao ndio wengi kuliko Kanda yoyote ile hatulikubali kabisa
Mnataka kututenga sana kama vile sisi sio Watanzania,siku Lissu akifanikiwa kuitenga Tanganyika na Zanzibar,Lake zone tutaanza kupambana tupate nchi yetu rasmi.......hatuwezi kuendeshwa kubali mambo ya kipumbavu kama hayawazee wa Malalamiko FC mlipewa mradi wa airport mkala hela! Wacheni unafiki!
😅😅😅😅😅😅 huku floods huku stima hakuna
View: https://twitter.com/ganjala_12/status/1786064778349183308?t=irbMdMG-s8y2aiXmZbwntA&s=19
View: https://twitter.com/TheStarKenya/status/1786063979653017868?t=l5GCVfBILLzFj6AOCNi50Q&s=19
View: https://twitter.com/citizentvkenya/status/1786061943314227352?t=C-H3ZWBJ69NAEuga3BVr_A&s=19
Simu haina charge atarudi humu stima ikirudi 🤣🤣🤣Hebu NairobiWalker njoo utufafanulie😉😎
The word is lower course, not lower stream. Kila mtu bongo ni mjinga.🚮🚮🚮Floodplain zone areas in lower stream areas!
Umepata wapi Power Bank ya ku charge simu yako?The weird is lower course, not lower stream. Kila mtu bongo ni mjinga.🚮🚮🚮
Si huwa mnasema Tanzania hamna ubaguzi. Nini hii tena.😂😂Mnataka kututenga sana kama vile sisi sio Watanzania,siku Lissu akifanikiwa kuitenga Tanganyika na Zanzibar,Lake zone tutaanza kupambana tupate nchi yetu rasmi.......hatuwezi kuendeshwa kubali mambo ya kipumbavu kama haya
Nchi iliyolaaniwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣halafu unajua ikitukosa sie Hidaya ataenda kugonga wapi?
Bado nangoja nionyeshwe CAF report approving Azam Grazing Field.Mwalimu wako alipata tabu sana kukufundisha darasani
Mkapewa bus terminal mbili pia sie wengine mbona hatukujitenga!Mnataka kututenga sana kama vile sisi sio Watanzania,siku Lissu akifanikiwa kuitenga Tanganyika na Zanzibar,Lake zone tutaanza kupambana tupate nchi yetu rasmi.......hatuwezi kuendeshwa kubali mambo ya kipumbavu kama haya