AMARII
JF-Expert Member
- Aug 23, 2023
- 355
- 1,062
Kisiasa ni Waziri ila kiuhalisia ni hao makamanda wa Jeshi kama huyu hapa
View: https://www.instagram.com/p/C6gcq8grYG8/?igsh=N2ZkNnNxMWFxbzNx
Wewe ubongo wako unatakiwa virus screening na kiwekwe external booster 🤣🤣
Habari mbaya sana hii kwa MK254
Top officers wa vyombo vyote vya ulinzi karibu 80% imekwenda kwa wale unaowapiga vita na kuwaanzishia threads deile...
Uliona hata mudavadi juzi kwenye hotuba yake akiwa hesabu eh!?