Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 8,895
- 25,836
Kariakoo
Watu wa huku hawaridhiki!Mwanza mbona inakumbukwa saaana daraja la magufuli ,meli kuubwa,sgr n.k
Noma sana.Hii kitu imenikumbusha mbali sana. UK kuna chuma la kizamani la First Great Western train la masafa,kuna vi-station vidogo halisimami basi mnapewa warning mkae mbali na platform. Ikipita hapo sekunde kadhaa inapotea kama hio SGR yetu.
Nyie kenge mna chuki na Samia Hadi mnatamani yamkute ya Mwendazake ila ndio hivyo tena.
Soma hiyoo👇👇
View: https://twitter.com/Hakingowi/status/1783868373236842872?t=dFkiT8Z8kwB6vo6boDVOcQ&s=19
My Take: Hongera sana Wakundustan Kwa Kumsogeza Mwanamama kwenye vyeo vya Juu hapo Jeshini.
Vinatakiwa vyeo vya kiutendaji na maamuzi vya directly sio maigizo ya Kisiasa.Wewe akili yako hua ndogo Sana
Mbona Tanzania ina waziri wa ulinzi mwanamke hushangai 😅😅😅😅
Wacha shobo!Vinatakiwa vyeo vya kiutendaji na maamuzi vya directly sio maigizo ya Kisiasa.
Punguani waheeed
Wewe ndio una shobo Kwa kudandoa mada yangu.Wacha shobo!
Mbona hushangai waziri wa ulinzi ni mwanamke Tanzania 😅😅😅😅 Yani ww kuna vitu kichwani sawa kichwani mwakoHoja hapa sio kuwa mojor General naona hamuelewi.Hoja ni kuwa kamanda wa vikosi vya anga,Ardhi au navy kama huyo Mkunya.
Samia anataka afute hii dhana ya kuonesha kwamba vyeo Fulani ni vya wanaume kama ilivyotokea kwake binafsi watu wakiuliza how comes amiri Jeshi Mkuu awe Mwanamke?
Pili kuna kasumba ya CDF au IGP kuwa Mwanamke,ndio maana Samia amesema msije shangaa ikitokea one day even before 2030.
Kwa hiyo Wakunya hapa nawapongeza Kwa kumchagua Mwanamke kuwa kamanda wa vikosi vya anga.
Nani mkubwa Kati ya waziri wa ulinzi na kiongozi wa jeshi la anga?? 🤣🤣🤣🤣Vinatakiwa vyeo vya kiutendaji na maamuzi vya directly sio maigizo ya Kisiasa.
Punguani waheeed
Angalia usije jinyonga mana upo katika hali mbaya sanaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Naongelea watu kwa hii thread maanake mimi, siongelei huko kwengine.
Kenya media zetu huwa proactive. Wao hureport even more than they need to. Ndio maana despite the fact that mafuriko yameuwa watu wengi huko kwenu kuliko huku, the general feeling ni kwamba huku ndio kuna mafuriko. Alafu sidhani kama huko kwenu yameisha, labda Dar hayapo ila the whole of Tanzania lazima yapo ni vile media zenu ni ovyo.
Sasa sisi nchi yetu hatuna majanga mzee, kama yapo ni kdg sn lkn hayafiki national level kama nyinyi huko kwenu, kwanini tusi enjoy? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mimi sijapata news zozote kwa media za bongo halafu kuna wenzako humu wanakana hamna mafuriko Bongo meaning media zenu hazireport kiukamilifu. Yani hapa Kenya jambo kama hili linakuwa ni National Issue, ukiwasha TV hivi hilo ndio jambo litakuwa likiongelewa hadi kila mtu anajua kinachoendelea, meanwhile hapo bongo wataguzia tu juu juu alafu warudi kwa Mondi na Zuchu ama Yanga na Simba.
Kisiasa ni Waziri ila kiuhalisia ni hao makamanda wa Jeshi kama huyu hapaNani mkubwa Kati ya waziri wa ulinzi na kiongozi wa jeshi la anga?? 🤣🤣🤣🤣
Ww kichwani mwako kunahitajika factory setting
Kisiasa ni Waziri ila kiuhalisia ni hao makamanda wa Jeshi kama huyu hapa
View: https://www.instagram.com/p/C6gcq8grYG8/?igsh=N2ZkNnNxMWFxbzNx
Wewe ubongo wako unatakiwa virus screening na kiwekwe external booster 🤣🤣