ghana

Ghana ( (listen)), officially the Republic of Ghana, is a country in West Africa. It spans along the Gulf of Guinea and the Atlantic Ocean, sharing borders with the Ivory Coast in the west, Burkina Faso in the north, Togo in the east, the Gulf of Guinea and the Atlantic Ocean in the south. Ghana covers an area of 238,535 km2 (92,099 sq mi), with a population of 31 million. It is the second-most populous country in West Africa, after Nigeria; and Accra is its capital and largest city.
The first permanent state in the territory of present-day Ghana dates back to the 11th century, the Bono State. Numerous kingdoms and empires emerged over the centuries, of which the most powerful were the Kingdom of Dagbon, and the Ashanti Empire. Beginning in the 15th century, the Portuguese Empire, followed by numerous other European powers, contested the area for trading rights, until the British ultimately established control of the coast by the late 19th century. Following over a century of native resistance, what are now Ghana's borders follow the lines of what were four separate British colonial territories: Gold Coast, Ashanti, the Northern Territories and British Togoland. These were unified as an independent dominion within the Commonwealth of Nations on 6 March 1957.Ghana is a multinational state, home to a variety of ethnic, linguistic and religious groups. According to the 2010 census, the vast majority, or 71.2%, of Ghana's population was Christian, 17.6% was Muslim, and 5.2% practised traditional faiths. Ghana's diverse geography and ecology ranges from coastal savannahs to tropical rain forests. It is a unitary constitutional democracy led by a president who is both head of state and head of the government. Ghana's growing economic prosperity and democratic political system have increased its regional influence in West Africa. It is a member of the Non-Aligned Movement, the African Union, the Economic Community of West African States (ECOWAS), Group of 24 (G24) and the Commonwealth of Nations.

View More On Wikipedia.org
  1. Suley2019

    Mmoja afariki kwenye msafara wa Rais Ghana

    ACCRA, Ghana - Mtu mmoja amefariki na wengine kujeruhiwa vibaya baada ya msafara wa Rais Akufo-Addo kupata ajali, akirejea Ikulu ya Accra baada ya kushiriki mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Ejisu John Kumah. Ajali hiyo ilitokea katika eneo la Makutano ya Bunso, Mkoa wa Mashariki. Taarifa ya Jeshi...
  2. J

    Nigeria vs Ghana: Ranking the Best Super Eagles Players in Europe Ahead of Jollof Derby

    The Super Eagles of Nigeria are set to take on the Black Stars of Ghana in a 'Jollof Derby' in their upcoming friendly game during the international break. The match will take place at the Stade de Marrakech in Morocco on Friday, March 22. Some of the top players who helped Nigeria finish...
  3. J

    Here are the top players who picked England over Ghana

    Kobbie Mainoo has chosen to represent England over Ghana. But he's not the only Ghanaian to opt for the Three Lions. See also Biography of Andy Penn: Early life, education, career and family
  4. Mr Why

    Meek Mill atamani Uraia wa Ghana akidai Marekani ina tabia ya kubomoa wanaume weusi

    BURUDANI Rapa Meek Mill wa Marekani ameweka wazi kuhusu kuutaka uraia wa Ghana baada ya kuchoshwa na vitendo vya kinyanyasaji kwa watu weusi nchini Marekani ikiwemo ulawiti uliokithiri kwa wanaume Mill ameandika hayo kupitia mtandao wake wa X ambapo anadai anautaka uraia wa Ghana kwasababu...
  5. Melubo Letema

    Wanariadha 8 wa Tanzania Kushiriki All African Games, Accra Ghana 2024

    Wanariadha 8 wanatarajia kushiriki na kushindana kwenye Mashindano ya African Games (All African Games) yanayotarajia kufanyika kuanzia tarehe 8 - 23 Machi , 2024 huko Jijini Accra Ghana. Michezo itachezewa kwenye miji mitatu; Accra, Kumasi na Cape Coast, na michezo itayochezwa ni pamoja ni...
  6. Suley2019

    Mwakinyo athibitisha ubora wake. Amchapa Mjeda wa Ghana raundi ya saba

    Bondia Hassan Mwakinyo wa Tanzania athibitisha ubora wake baada ya kumchapa Mjeda wa Ghana raundi ya saba katika pambano la ubingwa wa WBO. --- Bondia Hassan Mwakinyo ameshinda pambano usiku huu kwa kumpiga Bondia wa Ghana Elvis kwa KO katika round ya 7 ya pambano hilo la kuwania ubingwa wa WBO...
  7. Nkaburu

    Ghana imekopeshwa na Uingereza vito vya Dhahabu-Dhahabu yao wenyewe

    Salaam Watanzania wenzangu. Ghana imekopeshwa na Uingereza vito vya dhahabu. Jambo la kushangaza ni kwamba dhahabu hii ndiyo waliyoiiba wanajeshi wa Uingereza wakati wa vita vya Ashanti. Tafakari: Kukopesha kunamaanisha kuwa kitu kilichokuwa, kinatarajiwa kulipwa pamoja na riba. Kwanini...
  8. GENTAMYCINE

    Mwambieni Augustine kuwa Ghana haijaweza Kushindana Kindumba na Kwao Max huko Gongo DR

    Yaani utoke tu huko Kwenu Ghana ghafla utake kuja Kuvunja Ufalme wa Mtoto wa Kikongo ambaye Mganga wake wa Kienyeji kamwambia mpaka Boksa na Chupi yake ikiwezekana nazo awe Anazichomekea vile vile. Na wa upande wa Pili nasi tumemsaidia Mkongo kupiga huo Msumari wa Moto na hapo bado hadi arejee...
  9. Huihui2

    TEC toeni msimamo kama wa Nigeria na Ghana kuhusu kauli ya Papa Francis

    Mabaraza ya Maaskofu wa Katoliki huko Nigeria na Ghana pia wamesema hawatatoa baraka zozote kwa wapenzi wa jinsia moja. Kiuhalisia waraka wa Papa Francis umezua taharuki sana, Papa John Paul II na Benedict XVI hawakuwahi kuyumba wala kutoa matakamko ya kuzua taharuki kiasi hiki
  10. Tate Mkuu

    TEC jitokezeni mapema kutoa ufafanuzi juu ya huu upotoshaji unaoendelea duniani, na pia nchini mwetu kuhusu kauli ya Papa.

    Chonde chonde Baraza la Maaskofu Katoliki nchini Tanzania (TEC)! Jitokezeni mapema kutoa ufafanuzi juu ya kauli ya Papa ya kuwaruhusu Mapadre wetu kubariki watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja. Hiyo kauli yake pamoja na huo waraka wake alioutoa bila shaka mnafahamu ni kwa namna gani...
  11. GENTAMYCINE

    Mnaoungana nami Kesho kuomba Uraia wa muda wa Taifa la Ghana tutambuane tafadhali

    Kuna Wenzetu wengine kwa Roho zao Mbaya leo walijipendekeza kuomba Uraia wa Taifa la Morocco ila baadae kwa Kuumbuka na Kuonana Onana wakaamua tu kurejea kuwa Wananchi wa Tanzania. Mume kamaliza Kazi leo tarehe 19 Desemba, 2023 hivyo ni matumaini yetu kuwa na Mke nae Kesho tarehe 20. Desemba...
  12. Mhaya

    Wasanii wa Nchini Ghana 🇬🇭waja juu na kutaka Nchi yao ipige mziki ya Ghana pekee

    Katika kikao kilichofanyika huko Jijini Accra, Nchini Ghana, kilichoandaliwa na wasanii wa Afro beat kutokea Nchini gani, kimezua taharuki baada ya wasanii hao kuchachamaa na kutaka Sehemu zote za burudani na maeneo ya Starehe pomoja na vituo vya burudani vya TV na Radio vipige mziki wa Ghana...
  13. LIKUD

    Baada ya kongamano lake kufana Tanzania,Wakenya wamlilia Prophet Lovy. ( Nigeria,South Africa, Ghana nao waomba akafanye mkutano nchini mwao )

    Ndugu zangu. Narudia tena kwa mara nyingine. Usicheze kabisa na mtu aliebarikiwa na Mungu. Kind David, the King of the United Kingdom of Israel and Judah alikuwa muuaji lakini alikuwa chaguo la Mungu. Baadhi ya watu walimuita mtu wa damu " bloody man" ( 2 Samuel 8) lakini Mungu alimpenda...
  14. JanguKamaJangu

    Mbunge wa Ghana aliyemdhihaki Maguire Bungeni aomba radhi

    Mbunge wa Ghana, Isaac Adongo ambaye alifananisha uongozi wa Makamu wa Rais wa Taifa hilo, Mahamudu Bawumia kuwa umeyumba kama kiwango kibovu kinachooneshwa na beki wa Manchester United, Harry Maguire. Adongo amesema anarekebisha kauli yake kwa kuwa Maguire ameonesha uwezo mkubwa na kuwa...
  15. Miss Zomboko

    Ghana: Wafanyabiashara 5 mbaroni kwa Kuvunja Sheria ya Ulinzi wa Data

    Wafanyabiashara watano huko Accra wamekamatwa na polisi kwa kushindwa kujiandikisha kwenye Tume ya Ulinzi wa Data (DPC) na kuvunja Sheria ya Ulinzi wa Data. Wafanyabiashara hao ni wawakilishi wa CareFlight Ghana, kampuni inayotoa huduma za kliniki na ambulensi, Embassy Gardens, kituo cha...
  16. benzemah

    Mchezaji Raia wa Ghana Raphael Dwamena Aanguka na Kufariki Uwanjani

    Mshambuliaji wa kimataifa wa Ghana Raphael Dwamena amedondoka leo hii ghafla uwanjani na kupoteza maisha, wakati timu take ya KF Egnatia ikicheza dhidi ya Albania ikiwa ni mchezo wa ligi kuu ya Partizan. Mchezaji huyo mara baada ya kudondoka alipatiwa huduma ya kwanza uwanjani hapo na...
  17. BARD AI

    Waziri wa Fedha aliyefukuzwa kazi Ghana akiri kupokea Rushwa ya Tsh. Milioni 99.9 kutoka kwa mwekezaji

    A now-sacked Ghanaian government minister has admitted that he accepted a cash gift of $40,000 (£33,000) "in order not to offend the sensibility of a potential wealthy investor", according to an official report into the incident. Charles Adu Boahen was dismissed as a minister last November...
  18. Maghayo

    Nimemcheka sana rafiki yangu kutoka Ghana kwenye kilimo cha Almond nikamkumbuka mzee wa Madungu jeshi kwenye kilimo cha Canola

    Mzuka Wanajamvi, Huyu Mghana tulikuwa tunabeba naye boksi pamoja. Akaomba mkopo benki akapewa kama/equivalent dollar za marekani elfu 40. Hela ilivyoingia benki yani ilikuwa fujo. Kesho yake hakwenda kazini na kuacha kazi hata bila kutoa taarifa. Akaniita tupige pombe. Nakunitambia hela na...
  19. JanguKamaJangu

    Ghana: Maafisa 27 wa Uhamiaji wasimamishwa kazi kwa kuruhusu nyaraka bandia

    Watumishi hao wametuhumiwa kushiriki katika makosa mbalimbali yanayohusisha nyaraka bandia ikiwemo suala la kughushi visa. Kati ya waliosimamishwa Watumishi watatu ni wazoefu wakati 24 ni Maafisa wa ngazi za chini, ambapo uchunguzi unaendelea dhidi yao. Kati ya wote waliosimamishwa kwa tuhuma...
  20. L

    Kutatuliwa kwa tatizo la deni la Ghana ni aibu kwa nchi zilizokuwa zikiishutumu China

    Katika miezi ya hivi karibuni vyombo vya habari vya Ghana na vyombo vya habari vya kimataifa vimekua vikiripoti habari nyingi kuhusu msukosuko wa deni la Ghana, msukosuko ambao umeifanya Ghana kuingia kwenye hali ngumu, ambayo suluhu pekee ni kujadiliana na wakopeshaji wa kimataifa, ili...
Back
Top Bottom