Search results

  1. Dr am 4 real PhD

    Makamba aja na kitabu "Cha kale Ni dhahabu"

    "Niwakati tulipokuwa mafunzoni Monduli Machi, 1976 hadi Januari, 1977 ndipo nilipomfahamu vizuri Yusufu Rajabu Makamba na tukawa marafiki tangu wakati huo mpaka sasa. Nikatokea kuutambua vizuri uwezo wake wa uongozi. Nilivibaini vipaji vyake adimu vya kuhamasisha, kuunganisha watu, kujieleza na...
  2. Dr am 4 real PhD

    Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

    Amani ya bwana iwe nanyi wapendwa humu ndani JF Leo jion nili opt kupanda bodaboda baada ya kumaliza mizunguko ya kazi nikasema niwahi Temeke kuna deals nikafanye. Kufika makutano ya bandarini gafla kutahamaki gari ikaja kutuvaa nikaanguka na kuvunjika mguu wa kushoto. Dua ZENU wadau ndio...
  3. Dr am 4 real PhD

    JF Today's birthdays: September 11

    Jf Today's Birthdays jumla ya member 33 ambao wame andika tarehe ya Leo 11/09 Happy birthday am 4 real Kwa niaba ya wote tuliozaliwa September eleven...... Niseme, Happy birthday to you All 🎁 🎉🎉
  4. Dr am 4 real PhD

    Je, Afrika yenye utajiri mwingi inakuwaje bara maskini zaidi duniani?

    Je, Afrika yenye utajiri mwingi, inakuwaje bara maskini zaidi duniani, anauliza Captain Ibrahim Traore Raisi wa mpito wa Burkina faso. Captain Ibrahim Traore ni Raisi wa mpito wa Burkina Faso baada ya kufanya mapinduzi ya kijeshi akiwa na umri wa miaka 35 tu. Rais huyu wa mpito wa Burkina Faso...
  5. Dr am 4 real PhD

    Kutoka kusukuma mkokoteni na kubeba magunia sokoni mpaka kua Mfanyabiashara Mkubwa

    ✍️✍️✍️ Mnao ni uliza utajiri na pesa nime pataje 👉 👉 Niulizeni na ule Umaskini Nili Utoaga wapi 🙏🙏🙏 Fisi hafi Kwa shida Kichwa cha habari hapo juu sio maneno yangu Mimi ni caption ya what's up status ya Moja ya wapwa wangu. Kutoka kusukuma mkokoteni na kubeba magunia sokoni mpaka kua...
  6. Dr am 4 real PhD

    Romania inaomba msamaha na kumkumbuka balozi aliyelinganisha tumbili na wanadiplomasia wa Kiafrika

    Romania inaomba msamaha na kumkumbuka balozi aliyelinganisha tumbili na wanadiplomasia wa Kiafrika CNN — Romania inamrejesha nyumbani balozi wake nchini Kenya Bucharest na imeomba msamaha baada ya mjumbe wake mjini Nairobi kulinganisha tumbili na wanadiplomasia wa Kiafrika wakati wa mkutano...
  7. Dr am 4 real PhD

    Ipokee hii Orodha ya Wasanii 10 bora wa muda wote Duniani (Greatest Of All Time)

    Ipokee Hii Orodha Ya Wasanii 10 Bora Wa Muda Wote (Greatest Of All Time) Kwa Mujibu Wa #Billboard Huku #RIHANNA Akipata Bahati Ya Kuwa Msanii Mwenye Umri Mdogo Kwenye List Hiyo. 1. #TheBeatles 2. #Madonna 3. #EltonJohn 4. #ElvisPresley 5. #MariahCarey 6. #StevieWonder 7. #JanetJackson 8...
  8. Dr am 4 real PhD

    Diamond, Majizo,Melody uso Kwa uso Bungeni Leo, Wabunge walipuka Kwa shangwe

    https://www.google.com/search?q=diamond+majizo+uso+kwa+uso+bungeni+leo&oq=dia&aqs=chrome.1.69i57j69i59j46i67i433i650j0i67i650j0i273i650l2j0i67i650l2j46i67i433i650j0i433i512j46i340i512l3j0i512l2.1906j0j4&client=ms-android-transsion-infinix-rev1&sourceid=chrome-mobile&ie=UTF-8#
  9. Dr am 4 real PhD

    The Fastest Man Alive: The True Story of Usain Bolt

    Usain bolt sio jina geni masikioni mwa wapenda michezo wengi hapa ulimwengu, Alizaliwa mwaka 1986 Jamaica ni mwanariadha Bora wa muda wote kwenye mbio fupi 100m na 200m (G.O.A.T) Binafsi niliwai kushinda Riadha kwenye UMITASHUMTA vijana wa hivi karibuni hawawezi kujua nini maana ya...
  10. Dr am 4 real PhD

    Maji Hufuata Mkondo

    Leo tu share story mbali mbali za maji hufuata mkondo.......... Kuna rafiki yangu mmoja alikua anachukizwa sana na kitendo Cha baba yake kupiga ulabu.... Tulipo kua tunakua alituapia kua yeye hato kuja kupiga ulabu duu!! Alipo pata kazi akaanza kupiga ulabu mpk kuitwa Chapombe.....MAJI HUFUATA...
  11. Dr am 4 real PhD

    Kisa cha Michael Essien na John Terry

    Kisa Cha Michael Essien na John Terry wakikipiga Chelsea John Terry alikua akimshangaa mchezaji mwenzake Michael Essien... John Terry alikua anamshangaa Michael Essien kwanini akipata pesa inaisha haraka haraka...... Pesa ya Michael Essien ilikua Ina isha haraka kwasababu dependency ratio...
  12. Dr am 4 real PhD

    BAWACHA kuandamana leo Dar es Salaam

    Baraza la wanawake CHADEMA (BAWACHA) wametangaza kuandamana leo Dar es Salaam kuishinikiza serikali kuwaondoa bungeni wabunge 19 wa viti maalum wa CHADEMA maarufu kama COVID 19. Ni nini maoni yako. Karibuni.
  13. Dr am 4 real PhD

    Wachuja Nafaka Na Albamu Yao Kali Kuwahi Kutokea Tanzania

    WACHUJA NAFAKA Tusisubiri Wapotee wote.....ndiyo tuseme waliwahi kutoa Moja ya Albamu kali, Narudia Tena Albam kali kuwahi kutokea Tanzania. Fatilia Uzi Huu utajua kwanini nakuambia Ilikuwa moja ya Albam Kali Tanzania. WACHUJA NAFAKA lilikuwa kundi la Muziki wa RAP lililoundwa na wasanii Juma...
  14. Dr am 4 real PhD

    Mimi natumia K vant na Konyagi Nina uzoefu- Dkt Musukuma ajilipua Bungeni

    Mimi natumia K vant na Konyagi Nina uzoefu- DKT. Musukuma ajilipua akichangia hoja Bungeni baada ya kuona pombe. Wabunge waangua kicheko aka waambia wasicheke hata humo Bungeni ni wengi wanatumia. Amesema sio Dhambi pia kafanya utafiti kua maprofesa na madaktari wengi ni watumiaji baada ya...
  15. Dr am 4 real PhD

    At the pub, must show you’re VIP (Kwenye baa, lazima ujionyeshe kuwa wewe ni VIP)

    At the pub, must show you’re VIP Kwenye baa na sehemu zingine za starehe Kuna ulazima wowote wa kujionyesha kuwa wewe ni VIP..... pedjeshee...papaa mukulu....Mupe Muruke... Mupe Muruke.... Je, Kuna tija yoyote mtu huipata. karibu tujadili.
  16. Dr am 4 real PhD

    Why do you admire someone / Kwa nini unavutiwa na mtu?

    Why do you admire someone?(Kwa nini unavutiwa na mtu?) Hapa kuna machache: 1. Akili Huwa inafurahisha kuwa karibu na watu wanaojua mambo kunizidi - ni nafasi ya Mimi kujifunza Vitu kutoka Kwao. 2. Ucheshi Huwa na vutiwa na watu wacheshi. Kuna watu wengi wana ucheshi mzuri, lakini watu wengine...
  17. Dr am 4 real PhD

    Kwanini watu hawawapi watoto wao majina haya?

    Herode Farao Pilato Nebucadreza Etc... Ongezea na wewe majina ambayo watu hawapendi kuwaita watoto wao........ Wasalaam 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
  18. Dr am 4 real PhD

    Eric Djemba Djemba: Mashine kutoka Afrika Magharibi na Siri ya Alex Ferguson kuhusu wachezaji wa Afrika

    Unakumbuka nini ukisikia jina Djemba Djemba. M Cameroon aliye lamba deal la kusajiliwa Manchester united na Alex Ferguson at his age of 21 Alisajiliwa akitokea Nandes ya ufaransa. Alipo sign deal na Manchester united akaenda kununua magari matano Kwa mkupuo. Inasemekana Sir Alex Ferguson...
  19. Dr am 4 real PhD

    Mark Dacascos mkali wa muvi ya Drive

    Hii ni Moja ya muvi Bora za wakati wote... Mark Dacascos alitembeza mkono kwenye hii muvi mwanzo mwisho.... Huyo Rasta fundi gereji muoga muoga.... Ni Moja ya ubunifu Bora kabisa kuwai kutokea kwenye tasnia ya muvi za ki mapigano... Hii muvi inakukumbusha nini?
  20. Dr am 4 real PhD

    Simulizi ya ubaharia wa Lemutuz_Superbrand

    ZE AKILI ZANGU ZA ASUBUHI LIVE U KNOW: ..Hii picha nilipiga loongtime ago in the 90s nikiwa Seamen au Baharia (Ass. Engineer) katika meli ya "MV. LUXEMBOURG" ya kampuni ya Celestie Belgique Maritime (CMB) Shirika la Meli la Taifa la Belgium lipo mjini Antwerpen ambako niliishi kwa Miaka 5 ya...
Back
Top Bottom