residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,088
- 11,360
Kumbe yule mukulu anayependa kipindi cha udaku ni Chadema?Kwanini chadema ndio mnashadidia sana mambo ya udaku
Kumbe yule mukulu anayependa kipindi cha udaku ni Chadema?Kwanini chadema ndio mnashadidia sana mambo ya udaku
Kabisaa.,..Nape anajiweka matatani, namshauri akae mbali ya huyo dogo la sivyo anakiweka kibarua chake hewani
Msitegemee jipya hapa,kazi iliisha jana.Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Nape Nnauye, leo Jumanne, Machi 21, 2017, atakuwa na Mkutano na Waandishi wa Habari, Saa 7 mchana katika Ukumbi wa Mamlaka ya Mawasiliano Nchini (TCRA). Atatoa msimamo wa Wizara ya Habari kuhusu kadhia ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, baada ya kuvamia ofisi za Clouds Media.
Jana asubuhi Waziri Nape aliunda Kamati ya watu watano ikiongozwa na Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo ambaye pia ndiye Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas, ili kuchunguza tukio alilolifanya Makonda kabla ya kutoa tamko rasmi la Wizara anayoiongoza.
[HASHTAG]#LiveUpdates[/HASHTAG] leo tutakuletea LiveUpdates za Kile Kitakachojiri kwenye mkutano wa Mh. Nape Nnauye pamoja na waandishi wa Habari.
Bashiri
Nape anatimiza wajibu wake kama waziri.Nape anajiweka matatani, namshauri akae mbali ya huyo dogo la sivyo anakiweka kibarua chake hewani
Si kwa sizonje ....Nape na kinana sio wa kuguswa ccm
Uoga huu ndio unaoturudisha nyumaKabisaa.,..
Nakubip usijalAkianza mniDipu jamani
Aya... Muda ni dawaMsitegemee jipya hapa,kazi iliisha jana.
Nafikiri ulimsikia sizonje vizuri jana.....Uoga huu ndio unaoturudisha nyuma
Nani unamwbia anayeshinda kutwa kuangalia SHILAWADU au.fanyeni kazi,acheni kushinda kwenye mitandao ya jamii then mnalalamika maisha magumu.
Kaanza njoo....maake haupitwi.Valentimake weost: 20265492 said:Akianza mniDipu jamani
Aaaah...Jitu kutoka bara....kuna jinga limeniita hivyo leoNape na Kinana wameijenga CCM iliyokuwa mahututi akatukanwa matusi yote then linakuja jitu toka bara linataka kutuulia chama
Yule jamaa anajua sana kutungaNo Longer at easy. !
Sana tu..... Ila kwa kua sisi waoga basi lazima tuimbe wimbo unaoimba weweNafikiri ulimsikia sizonje vizuri jana.....