Yaliyojiri Mkutano wa Waziri Nape Nnauye na Waandishi wa Habari: Kamati haijamaliza kazi

Ni nini kipya anaweza kuja kutuambia ...tatizo ni kutoamini uwepo wa maisha mengine nje ya 'mwenzetu'!
 
Hamna chochote atakachofanya. Bashite mwenyewe keshaomba radhi uongozi wa clouds media. Kilichobaki ni bla bla bla. Kwa kauli ya jana ya mkulu ya kumkingia kifua bwana bashite unategemea kusikia kitu gani?

Businesse as usual. Hamna kitu. Ccm ni ile ile
Lini kaomba radhi
 
Back
Top Bottom