Yaliyojiri Mkutano wa Waziri Nape Nnauye na Waandishi wa Habari: Kamati haijamaliza kazi

Mkutano na Waandishi wa habari utaanza rasmi saa saba baada ya Waziri wa Habari na Utamaduni Nape Nnauye kuwasili
 
Mwenye mbwa wala si wa kumwamini, hutenda asichoamini na huamini asichotenda sijui malezi yake yalikuwaje huyu jamaa!

Mh, hivi kwenu, zaidi ya wazazi wako, kuna wazee na watu wazima wanaokuzidi umri!

Au kutumia ID fake ndiyo kunahalalisha kutumia lugha ya kejeli.

Vyovyote, hiyo ndiyo tabia uliyokuzwa.
 
fanyeni kazi,acheni kushinda kwenye mitandao ya jamii then mnalalamika maisha magumu.

Huwa tunaenda kupanga foleni magogoni kuomba chakula?? Kwa vile mpka boxer anayova tunamnunulia sisi basi ndo maana anaona ana haki ya kutudharau kiasi hiki.

Eti mm ni rais ninayejiamini...kujiamini kupi?? mbona familia ya mtangulizi wake ilipoanza maneno maneno akaipoonza kwa kumteua mama ubunge?? Kama anajiamini si angekomaa hvo hvo basi.
 
Nape amepigania sana chama kilichokuwa kinaenda Kuanguka KWENYE uchaguzi uliomuweka Magu madarakani,hivyo ana uchungu sana na Chama.
Mihemko ya kisiasa mmeanza juzi tu hammjui Nape, Kama alimshindwa Kikwete na CCJ yake ndio atamweza Magu ?
 
Back
Top Bottom