Tangu lini umehamia lumumba kaka.manake ka avatar kanakusutaNape na Kinana wameijenga CCM iliyokuwa mahututi akatukanwa matusi yote then linakuja jitu toka bara linataka kutuulia chama
Avoid being low. Siyo kila aliye na mawazo tofauti na wewe ni cdm. Tofauti zetu za mawazo ndio utajiri wetu.Kwanini chadema ndio mnashadidia sana mambo ya udaku
KUISHI BILA WAZAZI NAYO NI SHIDAatakuwa amepitia maisha ya taabu ndo kinachomsumbua
nani amekwambia anatoka? au unaweweseka na ubashite wako?Hivi Nape anafikiri akitoka CCm itakufa? alikuwa Lowasa na mambo yapo swafi. Atoke aone...... twamsubiri
Mwenye mbwa wala si wa kumwamini, hutenda asichoamini na huamini asichotenda sijui malezi yake yalikuwaje huyu jamaa!
fanyeni kazi,acheni kushinda kwenye mitandao ya jamii then mnalalamika maisha magumu.
MAGUUUUUUU!!!atakuwa amepitia maisha ya taabu ndo kinachomsumbua
Kitu cha OBI OKONKWO. Watoto wa Mulugo hawajui hii!Kitu cha CHINUA ACHEBE hicho No longer to easy
Emb tu relux kduchu...umeolewa?Uoga huu ndio unaoturudisha nyuma
hahah Tutaongea Lugha Moja sasa hiviNape na Kinana wameijenga CCM iliyokuwa mahututi akatukanwa matusi yote then linakuja jitu toka bara linataka kutuulia chama
Unatakusema ccm niya watu was pwani tu?????Nape na Kinana wameijenga CCM iliyokuwa mahututi akatukanwa matusi yote then linakuja jitu toka bara linataka kutuulia chama
Kwanini chadema ndio mnashadidia sana mambo ya udaku
Utataja Majina Yote usisahau tu KolomijeHivi wewe Mtatiro mgogoro wenu na Lipumba umeshaisha?
Hiki kitabu kilikuwa kinatumika Advance level ama nini?Kitu cha OBI OKONKWO. Watoto wa Mulugo hawajui hii!
Mihemko ya kisiasa mmeanza juzi tu hammjui Nape, Kama alimshindwa Kikwete na CCJ yake ndio atamweza Magu ?Nape amepigania sana chama kilichokuwa kinaenda Kuanguka KWENYE uchaguzi uliomuweka Magu madarakani,hivyo ana uchungu sana na Chama.
NO LONGER AT EASE.No Longer at easy. !
ndugu watu wa bara nao ni watanzania.tuwape staha .hii lugha haikubaliki kamweNape na Kinana wameijenga CCM iliyokuwa mahututi akatukanwa matusi yote then linakuja jitu toka bara linataka kutuulia chama