Watumishi wa umma wote waliondolewa kwa kosa la vyeti fake haki itendeke warudishwe kazini

Ukuu wa mkoa ni utumish wa umma au si utumish wa umma?

Kama ni utumish wa umma kwanin msumeno huo usikate kote kote na kwa daudi bashite?

Kina mwigulu nchemba ambao walitoka hadharani kukanusha tuhuma kama hizi juu yao siyo wanasiasa?

Tunachotaka daudi bashite aoneshe vyetiiii....yeye si paul makonda...yeye ni daudi fa fa fa bin bashite wa kolomije
Zoezi la uhakiki liliendeshwa nchi nzima nida walipita kwenye idara zote za umma kwa kufuata sheria za utumishi. Wakuu wa mikoa na wilaya ni wateule wa serikali ambao hawafuati sheria za utumishi wa umma hata uhakiki haujaelekezwa kwao wakiwemo madiwani na wabunge. Makonda na wakuu wa mikoa wote hawamo kwenye zoezi la uhakiki. Kwanini makonda peke yake miongoni mwa wakuu wa mikoa wote ahakikiwe? Lkn kukiwa na kesi au shauri mahakamani litakalomtaka ahakikiwe basi atahakikiwa kwa amri ya mahakama. Uwanja ni wenu wenye ushahidi kufungua kesi mahakamani makonda ahakikiwe.
 
Hivi ushahidi mnaozungumzia nyie kenge maji hamjui kuwa watu wanatuma emails kibao NECTA kama walivyotaka tena na uthibitisho juu wa watu waliosoma na huyo Bashite wenu, lakini hakuna linaloendelea?
Inawezekana necta nao wanambeba kwanini msiende mahakamani moja kwa moja na huo ushahidi wenu ili mbivu na mbichi ikajulikane?
 
KWANI UKUU WA MKOA UNAHITAJI PROFESSIONAL. HATA DARASA LA SABA ANAWEZA KUWA MKUU WA MKOA. AMEWEKWA KWA UTASHI WA RAIS NA SI VINGINEVYO

Suala hapo si utashi wa Rais ama vip

Suala tunaloongelea ni kufoji vyeti na udanganyifuuu

Huyo bashite amekalia ofis ya umma na sisi walipa kodi lazima tuhoji suala hilo

Vyetiii vyetiiiii vyetiiiiiiiii
 
Wakati mnaungana mkono, kisheria kuna kitu kinaitwa burden of proof. Yaani nani anatakiwa kuthibitisha. Kwenye hii case hilo liko upande gani maana mi naona mapovu tu hapa.
Mapovu unayaona kwa kuwa "hauko serious"! Unataka watu wathibitishe wapi? Hiyo burden of proof unayoizungumzia hapa mchakato wake mbona hutaki kuueleza? Acheni kucheza na akili za watu, jambo hili linaivua nguo serikali kwa kiwango kikubwa hata kama itajifanya kuwa "kauzu"!
 
Ukuu wa mkoa ni utumish wa umma au si utumish wa umma?

Kama ni utumish wa umma kwanin msumeno huo usikate kote kote na kwa daudi bashite?

Kina mwigulu nchemba ambao walitoka hadharani kukanusha tuhuma kama hizi juu yao siyo wanasiasa?

Tunachotaka daudi bashite aoneshe vyetiiii....yeye si paul makonda...yeye ni daudi fa fa fa bin bashite wa kolomije
Hata rais ni mtumishi wa umma lkn hayuko chini ya utaratibu wa utumishi wa umma. Wateule wote wa rais hawako chini ya sheria za utumishi wa umma ndio maana uhakiki hauwahusu labda mpk itakavyoamuliwa wafanyiwe. Kujibu tuhuma sio lazima ni utashi mwigulu alitashika kujibu sio hivyo basi makonda halazimishwi na kipengele chochote kujibu tuhuma yoyote lkn mahakama inaweza kuamrisha achunguzwe shauri likifunguliwa. Nawashauri mnaomtuhumu makonda muende mahakamani kufungua shauri alazimishwe kufanyiwa uchunguzi kwakuwa amekataa kujibu tuhuma mtandaoni na pia kuna madai necta wamepelekewa ushahidi lkn hawataki kuchukua hatua basi ushahidi huo uhamishiwe mahakamani ili akithibitika afungwe kwa sab fraud ni kosa la jinai hukumu yake ni kuanzia miaka 7 mpk 15.
 
Hapa ndio unyumbu unadhihirika
Hivi wewe umekamata mwizi unampeleka Mahakamani halafu unamwambia sasa ithibitishie Mahakama kama wewe sio au ndio mwizi. kesi haziendi hivo
Wewe uliyemtuhumu ndio utaleta ushahidi kuthibitisha Tuhuma zako mwisho mtuhumiwa atajitetea, kabla ya hukumu.
Nenda Mahakamani, huko ataamuliwa alete vyeti vikaguliwe. Au wewe peleka ushahidi ulionao huko
Unajua mchakato wa kufungua kesi za jinai mkuu? Kama ambavyo Lema aliota ndoto polisi wakamkamata, ndivyo ambavyo polisi wanapaswa kumkamata Makonda na kumfungulia mashataka. Period!
 
Unajua mchakato wa kufungua kesi za jinai mkuu? Kama ambavyo Lema aliota ndoto polisi wakamkamata, ndivyo ambavyo polisi wanapaswa kumkamata Makonda na kumfungulia mashataka. Period!
Hapana lema ni makonda ni tofauti...lema aliongea maneno yanayodhaniwa ya uchochezi hadharani na kwenye vyombo vya habari ushahidi wa kwanza sauti yake polisi wakapata kesi pale. Makonda amekiri wapi kuwa kafoji vyeti? Ni kazi ya wanaomtuhumu kwenda polisi au mahakamani kufungua kesi wakiwa na ushahidi.
 
Kwa mujibu wa kazi za jeshi la polisi ni jukumu lao kusikiliza fununu, tuhuma, taarifa juu ya uhalifu kutoka kwa umma hiyo peke yake inatosha kufanya uchunguzi ikiwemo kumhoji mtuhumiwa!. Ni dhahiri fununu na tuhuma juu ya Bashite juu ya vyeti zimeshatolewa ni jukumu lao kuchunguza jalada la uchunguzi na kumhoji Bashite.
 
Kama hataki kulifanyia kazi na kama huyo mwajir wake anaona uzito kulichukulia hatua suala hilo na sisi hatutakaa kimyaaa

Tutazid kupiga mayoweee na ikibid hata kwenda mahakamani tutaendaaa

Haiwezekan wengine wafukuzwe kazi kwa makosa ya vyeti tena kwa mashinikizo ya watu kama kina bashitee

Hii haiwezekaniii
Hata rais ni mtumishi wa umma lkn hayuko chini ya utaratibu wa utumishi wa umma. Wateule wote wa rais hawako chini ya sheria za utumishi wa umma ndio maana uhakiki hauwahusu labda mpk itakavyoamuliwa wafanyiwe. Kujibu tuhuma sio lazima ni utashi mwigulu alitashika kujibu sio hivyo basi makonda halazimishwi na kipengele chochote kujibu tuhuma yoyote lkn mahakama inaweza kuamrisha achunguzwe shauri likifunguliwa. Nawashauri mnaomtuhumu makonda muende mahakamani kufungua shauri alazimishwe kufanyiwa uchunguzi kwakuwa amekataa kujibu tuhuma mtandaoni na pia kuna madai necta wamepelekewa ushahidi lkn hawataki kuchukua hatua basi ushahidi huo uhamishiwe mahakamani ili akithibitika afungwe kwa sab fraud ni kosa la jinai hukumu yake ni kuanzia miaka 7 mpk 15.
 
Hapana lema ni makonda ni tofauti...lema aliongea maneno yanayodhaniwa ya uchochezi hadharani na kwenye vyombo vya habari ushahidi wa kwanza sauti yake polisi wakapata kesi pale. Makonda amekiri wapi kuwa kafoji vyeti? Ni kazi ya wanaomtuhumu kwenda polisi au mahakamani kufungua kesi wakiwa na ushahidi.
Kaka ni kazi ya serikali (polisi + waendesha mashtaka) kufanyia kazi taarifa za makosa ya jinai na kufungua kesi, kupeleleza na kushtaki kortini. Kwa kinachofanyika sasa, kama serikali isingekuwa na double standard, walitakiwa kufanyia kazi taarifa hizo za akina Gwajima na wengine (maana suala hilo liko wazi mno) na kisha kumkamata Bashite na kumfikisha kortini akajibu tuhuma hizo kwa kuwa ni jinai. Kama sio double standard polisi wangekuwa wameishamfuata Gwajima ili awasaidie, japokuwa suala lenyewe liko wazi tu hata bila kumfuata Gwajima.

Wasichokielewa wengi wetu ni kwamba, Gwajima kwa sasa hamshambulii Makonda kwa kuwa ameishamalizana naye, anachokifanya hata kama anamtaja Makonda, ni kurusha madongo kwa serikali kutokana na kupigwa ganzi katika suala hili. Gwajima anaivua nguo serikali!
 
Inawezekana necta nao wanambeba kwanini msiende mahakamani moja kwa moja na huo ushahidi wenu ili mbivu na mbichi ikajulikane?
We mbumbumbu hii kesi ni ya jamhuri vs Daudi bashite. Kisheria hakuna mtu binafsi atakaeweza kumshtaki Daudi
 
Unajua mchakato wa kufungua kesi za jinai mkuu? Kama ambavyo Lema aliota ndoto polisi wakamkamata, ndivyo ambavyo polisi wanapaswa kumkamata Makonda na kumfungulia mashataka. Period!
Unaongea na vilaza hawana wanalojua.hawana tofauti na Daudi bashite
 
Zoezi la uhakiki liliendeshwa nchi nzima nida walipita kwenye idara zote za umma kwa kufuata sheria za utumishi. Wakuu wa mikoa na wilaya ni wateule wa serikali ambao hawafuati sheria za utumishi wa umma hata uhakiki haujaelekezwa kwao wakiwemo madiwani na wabunge. Makonda na wakuu wa mikoa wote hawamo kwenye zoezi la uhakiki. Kwanini makonda peke yake miongoni mwa wakuu wa mikoa wote ahakikiwe? Lkn kukiwa na kesi au shauri mahakamani litakalomtaka ahakikiwe basi atahakikiwa kwa amri ya mahakama. Uwanja ni wenu wenye ushahidi kufungua kesi mahakamani makonda ahakikiwe.
So ulinzi shirikishi haupo tena?Tumeshatoa taarifa na jeshi la polisi linajua juu mtuhumiwa huyu wa uhalifu!
 
Kwa mujibu wa kazi za jeshi la polisi ni jukumu lao kusikiliza fununu, tuhuma, taarifa juu ya uhalifu kutoka kwa umma hiyo peke yake inatosha kufanya uchunguzi ikiwemo kumhoji mtuhumiwa!. Ni dhahiri fununu na tuhuma juu ya Bashite juu ya vyeti zimeshatolewa ni jukumu lao kuchunguza jalada la uchunguzi na kumhoji Bashite.
Jeshi la polisi halina uwezo wa kufungua kesi kwa porojo zisizokuwa na ushahidi. Jeshi la polisi linataka lipeleke kesi mahakamani ambayo wana imani watashinda. Hakuna hata mtu mmoja mwenye ushahidi wa kueleweka unataka polisi wakaumbuke mahakamani?
 
Kama hataki kulifanyia kazi na kama huyo mwajir wake anaona uzito kulichukulia hatua suala hilo na sisi hatutakaa kimyaaa

Tutazid kupiga mayoweee na ikibid hata kwenda mahakamani tutaendaaa

Haiwezekan wengine wafukuzwe kazi kwa makosa ya vyeti tena kwa mashinikizo ya watu kama kina bashitee

Hii haiwezekaniii
Kwenda mahakamani ndio suluhisho mujarab sijui mnangoja nini mpk sasa kama kelele mmeshapiga sana hazijazaa matunda yoyote ya maana.
 
Back
Top Bottom