Watumishi wa umma wote waliondolewa kwa kosa la vyeti fake haki itendeke warudishwe kazini

Yes serikali haiwezi kufungua kesi ya mtindo kama huu ndio maana necta wanawaomba wapeleke ushahidi ndio wafungue kesi....hata ukienda kuripoti polisi umeibiwa unaulizwa unamhisi nani kakuibia ukimtaja wanaanza nae usipomtaja wa kuanzia unaweza kuambiwa nenda ukimpata unayemhisi njoo au ukimuona mtu ana vitu ulivyoibiwa njoo tukamkamate. Sasa makonda unaendaje kumkata akikuuliza unasema nimemsikia gwajima ameongea mtandaoni huo si ujinga wa kiwango cha zege.
ile audio akimsema Pengo ilikuwa ya mtandaoni. Kuna sheria ya makosa ya mtandaoni
 
Inategemea aina ya taarifa aina tendo la jinai aina ya ushahidi unaotakiwa n.k raia haramu ushahidi anao hapo hapo anaulizwa ana pasport kama hana kesi tayari unafanyika upelelezi mfupi tu kutafuta uraia halisi wa mtuhumiwa kama hakukutwa na pasport yoyote lkn kakutwa na pasport isiyokuwa na permit tayari ushahidi wote uko pale hakuna upelelezi tofauti kabisa na issue ya makonda.
Jinai ni jinai,mtu kughushi vyeti ni jinai!Wamkague sasa waone kama hawamkuti na vyeti feki!
 
Sasa hiyo si haki mkuu

Kama ni hivyo basi wale ndugu zetu waliondolewa kwa makosa kama hayo tuwapigie kelele warudishwe kazini...haiwezekan msumeno ukate upande mmoja tuh...

Ana vyeti fake aondolewe kama wengine
Magufuli anaona Nchi hii ni yake anaweza kufanya chochote anacho taka. Haiwezekani wafanyakazi zaidi ya 1887wamefukuzwa kwa kutumia vyeti fake, halafu leo hii ana muacha Makonda afanye atakavyo tu kwasababu ni msukuma mwenzake na mkristo mwenzake.kwa mara ya kwanza nimejua sasa kwanini watu huuana au kuingia msituni kupigana.

Watu hatuja pandishwa madaraja kupisha uchunguzi wa wafanyakazi wenye vyeti fake, tunapata shida sababu ya watu kama Makonda kumbe akipelekewa mtu wa kabila lake kuwa ana cheti fake ndio kwanza anampandisha cheo! Magufuli ajue iko siku utatoka madarakani !
 
Hakuna kitu kama akamatwe kwa ushahidi gani?
Mkuu, serikali ilipokuwa ikienda maofisini na kuwataka wafanyakazi wathibitishe uhalali wa vyeti vyao vya shule na vya kitaaluma, ambapo wapo wafanyakazi wengi tu wamekimbia kazi, ilikuwa na ushahidi gani? Bashite atawadhalilisha sana!
 
Yes serikali haiwezi kufungua kesi ya mtindo kama huu ndio maana necta wanawaomba wapeleke ushahidi ndio wafungue kesi....hata ukienda kuripoti polisi umeibiwa unaulizwa unamhisi nani kakuibia ukimtaja wanaanza nae usipomtaja wa kuanzia unaweza kuambiwa nenda ukimpata unayemhisi njoo au ukimuona mtu ana vitu ulivyoibiwa njoo tukamkamate. Sasa makonda unaendaje kumkata akikuuliza unasema nimemsikia gwajima ameongea mtandaoni huo si ujinga wa kiwango cha zege.
Hiyo polisi unayoizungumzia haipo duniani kote, bali polisi iliyopo ni ile ambayo hufanyia kazi taarifa kutoka vyanzo mbalimbali. Kama huelewi hili basi nafunga mjadala baina yangu na wewe katika suala hili!
 
Hata kama akiamua kukaa kimya na kujifanya kuwa halijui suala hilo sisi bado tutaendelea kumpigia kelele tuh...haki itendekee
 
Anachokifanya ni unafiki na uzandiki

Na katika hili hakika tutaendelea kusema mpaka iwe kero...hatutaacha leo wala kesho

Ana vyeti fake aondolewee
Magufuli anaona Nchi hii ni yake anaweza kufanya chochote anacho taka. Haiwezekani wafanyakazi zaidi ya 1887wamefukuzwa kwa kutumia vyeti fake, halafu leo hii ana muacha Makonda afanye atakavyo tu kwasababu ni msukuma mwenzake na mkristo mwenzake.kwa mara ya kwanza nimejua sasa kwanini watu huuana au kuingia msituni kupigana.

Watu hatuja pandishwa madaraja kupisha uchunguzi wa wafanyakazi wenye vyeti fake, tunapata shida sababu ya watu kama Makonda kumbe akipelekewa mtu wa kabila lake kuwa ana cheti fake ndio kwanza anampandisha cheo! Magufuli ajue iko siku utatoka madarakani !
 
Back
Top Bottom