Wangapi wamemuelewa Rais Samia katika hili?

Sexless

JF-Expert Member
Mar 11, 2017
21,631
50,649
Rais anapokuwa hana maono kazi yake kubwa inakuwa ni kutafuta umaarufu badala ya kuumiza kichwa kuhusu ustawi wa watu wa taifa lake.

Wangapi wamemuelewa rais Samia ktk hili?

IMG-20231211-WA0002.jpg
IMG-20231211-WA0003.jpg
 
Rais anapokuwa hana maono kazi yake kubwa inakuwa ni kutafuta umaarufu badala ya kuumiza kichwa kuhusu ustawi wa watu wa taifa lake.

Wangapi wamemuelewa rais Samia ktk hili?

View attachment 2839872View attachment 2839873
Hii kitu ni chukizo, kwa mujibu wa taarifa rasmi walio fariki hawazidi 90, hivi serikali ndio inatoa 90m tu?

Halafu goli moja lina thamani kuliko mtanzania?

Nani mshauri wa raisi?
 
Hii kitu ni chukizo, kwa mujibu wa taarifa rasmi walio fariki hawazidi 90, hivi serikali ndio inatoa 90m tu?

Halafu goli moja lina thamani kuliko mtanzania?

Nani mshauri wa raisi?
Hv unafatilia ht vyombo vya habari au ww nae ni mpuuzi kama mtoa mada.? Serikali imetoa zaidi ya B ila hizo zinakwenda kwenye familia moja kwa moja kwa waliofiwa
 
CHADEMA hata milioni 10 tu mmetoa kusaidia wahanga? Unajua kazi inayofanyika Hanang au umengalia tu hiyo mkono wa pole?
Chadema tumetoa mamilioni, wanachadema tumechanga pesa nyingi sana hadi mwenyekiti wetu Mbowe na kitengo cha fedha wakashindwa kuzihesabu ila kwa busara zake akaamua kuzibeba na kuzipeleka zote bila ht kuzihesabu

CC Erythrocyte
 
Hv unafatilia ht vyombo vya habari au ww nae ni mpuuzi kama mtoa mada.? Serikali imetoa zaidi ya B ila hizo zinakwenda kwenye familia moja kwa moja kwa waliofiwa
Imetoa zaidi ya B kwa nani na inaenda kufanya kazi gani ikiwa familia inapokea milioni 1 tu?
 
Rais katoa Million 1.
Makamu katoa ngapi?.
Waziri mkuu katoa ngapi?
Mbunge wa hilo jimbo katoa ngapi?

Naona kuwa rais Tanzania ni sawa na kutukanwa tu hakuna jema kwa rais wa Tanzania.
 
CHADEMA hata milioni 10 tu mmetoa kusaidia wahanga? Unajua kazi inayofanyika Hanang au umengalia tu hiyo mkono wa pole?
Umejiuliza bajeti iliyotumika kuipeleka serikali Hanang ilikuwa kiasi gani?
Unakumbuka tetemeko la Kagera, ukiangalia Shule ya sekondari Ihungo utaombea tetemeko lipitie shule hapo kwenu. Lakini hawa wa sasa wataishia kupiga selfie tu
 
Back
Top Bottom