Wabunge Wetu, Macho ya Watanzania Wote Leo ni Kwenu!. Maslahi ya Taifa Mbele!. Tuwaogope Kama Ukoma Muflis Hawa!, Kama Huwezi, ni Lazima Usaidiwe Tuu!

Moja na vitu muhimu kabisa kwenye nchi yetu ni Bandari, kwa hiyo Wabunge wa CCM mkithubutu kuiuza bandari yetu kwa waarabu aisee hapatatosha, pelekeni ujumbe huu kwa Mwenyekiti na Katibu wenu mkuu wa chama mapemaa kwamba kinakwenda kunuka.

Suala la kisingizio cha ufanisi ni la kitoto, yaani mnashindwa kuendesha bandari kweli? kweli ? sasa kama Bandari inawashinda hii nchi je utaifikisha wapi?
Bandari haijatushinda hivi ndivyo tunavyoishi da ila kwa kweli wakati wa TICTS ilitaka kutushinda sasa tumegutu.
 
Kuwaamulia wabunge nini waongee na nini wasiongee huoni kuwa huo nao ni Uhayawani?

Nchi Si mafungu ya nyanya kwamba anunue Dar na kupewa NYONGEZA bandari zote zilizobaki!!!

Ilani ya Uchaguzi ya 2020 ya CCM haikuwapa ruksa sa100 na Magu kuuza bandari bila UKOMO.

KATIBA hii hii pia haimpi ruksa kiongozi kuuza Nchi. Tunao Watanzania wanaoweza wakiwezeshwa.
Yes, tunao na tumewawezesha. Hii ndiyo akili yao ilivyowatuma ni kitu cha kushangiliwa.
 
Wanabodi,
Leo asubuhi hii waheshimiwa wabunge wetu, wataujadili mkataba wa HGA kati ya serikali ya Tanzania na serikali ya Dubai, kuruhusu kampuni ya DP World ya Dubai, kutuboreshea Bandari zetu.

Huku mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kumeisha anza kuibuka makundi sogozi yanayoleta uhayawani wa sentiments za kibaguzi, Mwarabu wa Oman anataka kumpa Bandari yetu Mwarabu wa Dubai hivyo Watanzania Wazalendo tusikubali!. Hawa ni muflis!.

Kule nyuma nilipopandisha pandisha bandiko hili Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama nilitoa angalizo hili

Angalizo hili ni muhimu sana kwenye mjadala wa leo mule Bungeni kwetu. Tunawategemea kuwasikia waheshimiwa wabunge wetu wakitanguliza mbele maslahi ya taifa letu katika kulijadili hili la DP World. Hatutarajii kabisa kutokea mbunge mmoja yoyote muflis kuipinga DP World kwa Uarabu wao, kwa hoja za kibaguzi za Mwarabu ni Mwarabu tuu, awe ni Mwarabu wa Oman, Mwarabu wa Dubai, Mwarabu wa Arabuni, Mwarabu wa Zanzibar, Mwarabu ni Mwarabu tuu ni wale wale na mambo yao ni yale yale..., watu wa type hii ni ma hayawani!, hatutegemei kabisa uhayawani huu ukaibuka kwenye mjadala huu!.

Naendelea kusisitiza, ikitokea wewe huwezi jambo fulani, lazima utasaidiwa tuu!, utake kusaidiwa, utasaidiwa, usitake kusaidiwa, utasaidiwa!, mpaka pale utakapoweza kujisaidia! Watanzania tujifunze kujikubali kuwa kuna vitu hauwezi, na tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

Nawatakia waheshimiwa wabunge wetu mjadala na majadiliano mema kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Paskali
TiCTS wapo bado wanaendesha bandari ya makontena au mkataba wao umekwisha?
 
Wanabodi,
Leo asubuhi hii waheshimiwa wabunge wetu, wataujadili mkataba wa HGA kati ya serikali ya Tanzania na serikali ya Dubai, kuruhusu kampuni ya DP World ya Dubai, kutuboreshea Bandari zetu.

Huku mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kumeisha anza kuibuka makundi sogozi yanayoleta uhayawani wa sentiments za kibaguzi, Mwarabu wa Oman anataka kumpa Bandari yetu Mwarabu wa Dubai hivyo Watanzania Wazalendo tusikubali!. Hawa ni muflis!.

Kule nyuma nilipopandisha pandisha bandiko hili Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama nilitoa angalizo hili

Angalizo hili ni muhimu sana kwenye mjadala wa leo mule Bungeni kwetu. Tunawategemea kuwasikia waheshimiwa wabunge wetu wakitanguliza mbele maslahi ya taifa letu katika kulijadili hili la DP World. Hatutarajii kabisa kutokea mbunge mmoja yoyote muflis kuipinga DP World kwa Uarabu wao, kwa hoja za kibaguzi za Mwarabu ni Mwarabu tuu, awe ni Mwarabu wa Oman, Mwarabu wa Dubai, Mwarabu wa Arabuni, Mwarabu wa Zanzibar, Mwarabu ni Mwarabu tuu ni wale wale na mambo yao ni yale yale..., watu wa type hii ni ma hayawani!, hatutegemei kabisa uhayawani huu ukaibuka kwenye mjadala huu!.

Naendelea kusisitiza, ikitokea wewe huwezi jambo fulani, lazima utasaidiwa tuu!, utake kusaidiwa, utasaidiwa, usitake kusaidiwa, utasaidiwa!, mpaka pale utakapoweza kujisaidia! Watanzania tujifunze kujikubali kuwa kuna vitu hauwezi, na tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

Nawatakia waheshimiwa wabunge wetu mjadala na majadiliano mema kwa kutanguliza mbele maslahi ya taifa.

Paskali
Kumbe ni kweli Msigwa amegawa bahasha kwa waandishi wote wa habari.
Shame on you Paskal.
Bandiko la hovyo kuliko yote.

Adui wa taifa wewe
 
Nimemsikiliza bwana msigwa anasema eti ili kuiendeleza bandari inabidi wakope zaidi ya trilioni 6 sijui, hawawezi fanya hivyo sababu kuna mengi wanapaswa kufanya, ujenzi wa mashule, mabarabara, umeme kusambazwa.

Nikawaza sasa kama wanajiona hivyo hawawezi, si waachie ngazi wenye uwezo waisogeze tanzania mbele.. miaka 60 ya uhuru tunajisifia kujenga zahanati, unacheka na kusikitika kwa pamoja.
What is ngazi? Hii ni Nji kubwa, haitembezwi kama, ngazi. Unatoa Ilani, unaweka sera, unatekeleza. Lakini kila miaka 5 mnapiga kura, zinakuja Ilani zingine kupambanishwa, hazina mshiko zinakataliwa. Mnapiga kura tena baada ya miaka 5, Rais anafika kikomo anakuja mwingine na nguvu mpya kasi mpya. Wenzetu wako pale pale, wale wale, wanaanguka chini puuuu!! hivyohivyo. Nasikia sasa kuna sera mpya ya kuvunja Muungano hawawataki Mawaziri wa Kizanzibari, tusubirini 2030 tuone.
 
Kwanini Watanzania hawaliamini Bunge lao lenye wabunge waliowachagua kwa mbwembwe nyingi 2020?
 
SUPIKA WA JUMBA

BIBI RANGO ATAKAVYOKUWA ANAPITISHA UOZO BUNGENI

IMG_6837.jpg
 
Kama hii nchi kuna kundi la wachache wanaweza kuamua watakavyo ndio tutajua. Tunataka kuona uimara wa beacons za nchi hii.
 
Pasco katoka pangoni!

"Kama huwezi lazima usaidiwe"

Hili suala limenihuzunisha sana, wabunge tunawategemea,kama serikali imeshindwa wapewe wazawa waiendeshe!
Kusaidiwa ni muhimu ila cha msingi anayekusaidia anatoa masharti gani na yanatekelezeka p
Wanabodi,
Leo asubuhi hii waheshimiwa wabunge wetu, wataujadili mkataba wa HGA kati ya serikali ya Tanzania na serikali ya Dubai, kuruhusu kampuni ya DP World ya Dubai, kutuboreshea Bandari zetu.

Huku mitaani na kwenye mitandao ya kijamii kumeisha anza kuibuka makundi sogozi yanayoleta uhayawani wa sentiments za kibaguzi, Mwarabu wa Oman anataka kumpa Bandari yetu Mwarabu wa Dubai hivyo Watanzania Wazalendo tusikubali!. Hawa ni muflis!.

Kule nyuma nilipopandisha pandisha bandiko hili Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu waliteswa, hasiwa, bakwa, na kuuawa kinyama nilitoa angalizo hili

Angalizo hili ni muhimu sana kwenye mjadala wa leo mule Bungeni kwetu. Tunawategemea kuwasikia waheshimiwa wabunge wetu wakitanguliza mbele maslahi ya taifa letu katika kulijadili hili la DP World. Hatutarajii kabisa kutokea mbunge mmoja yoyote muflis kuipinga DP World kwa Uarabu wao, kwa hoja za kibaguzi za Mwarabu ni Mwarabu tuu, awe ni Mwarabu wa Oman, Mwarabu wa Dubai, Mwarabu wa Arabuni, Mwarabu wa Zanzibar, Mwarabu ni Mwarabu tuu ni wale wale na mambo yao ni yale yale..., watu wa type hii ni ma hayawani!, hatutegemei kabisa uhayawani huu ukaibuka kwenye mjadala huu!.

Naendelea kusisitiza, ikitokea wewe huwezi jambo fulani, lazima utasaidiwa tuu!, utake kusaidiwa, utasaidiwa, usitake kusaidiwa, utasaidiwa!, mpaka pale utakapoweza kujisaidia! Watanzania tujifunze kujikubali kuwa kuna vitu hauwezi, na tunaposhindwa tukubali kusaidiwa au tukomae? Baada ya Bandari ni ATCL na SGR au Tusubirie?

Nawatakia waheshimiwa wabunge wetu mjadala na majadiliano mema kwa kutanguliza mbele maslahi ya
Ni kweli hapo tunasaidiwa au jamaa anatafuta nae kazi?maana akija atakuwa analipwa kwa kazi anayofanya hivyo ni muhimu kuwajadili vizuri mkataba wao na si dhambi pia kuwajadili utamaduni wao na tabia zao,Kwani hata ktk baadhi ya ajira watu kuangalia Hadi kabila lako na asili yako ili kupata kazi
 
Back
Top Bottom