Mtauana mwaka huuYaani kanisa Liambiwe liagize sukari,na unaona sawa tu!!?..
Mwaka huu tutasikia kila lililofichwaWameagiza Sukari Ili Wawalambishe Waumini Wao Ila Tanzania Kuna Majambo Bado Hujayasikia
Nitashangaa sana. Lakini uongozi huu hauna mipaka ya kushangaza watu.Mtauana mwaka huu
Taita feki nasikia anapewa bahasha na mtoto wa ...Basi tulia usubiri majina pamoja na ushahidi mwanana
Ukoo wako, familia yako hakuna mtu ambaye atakuja au ni inteligent kama Lisu na hamtakuja kumzaaa. Tangu Albert Einstein afe hakuna scientist ambaye ni extraordinary bright kama Einstein, likewise Lisu. HakunaNadhani lissu sio mgeni kwetu,ni mtu anayeongea hovyo bila break kwa mdomo wake,hana jipya na wala hata taja .Believe me!!
Waanikwe haraka sana !Kazi kuu ya Viongozi wa dini ni kuchunga kondoo wa Mungu, iwe Makanisani au Misikitini ama kwingineko.
Sasa hili la kupewa vibali vya kuagiza sukari kutoka nje ya Nchi ni jambo jipya, na je kwanini wapewe wao? Walipitia mchakato gani, wameanza lini kufanya biashara hiyo, makampuni yao ni yapi?
Muda wowote kuanzia sasa wataanikwa hadharani bila huruma yoyote, Hii ni kwa sababu hakuna kiongozi yeyote wa kweli wa Dini anayeweza kushirikiana na Shetani.
Taarifa zingine zinasema kwamba hizo juhudi kubwa zinazopandikizwa mitandaoni kuonyesha kwamba Chadema kuna mgogoro zimelenga ku divert jambo hili , Hata hivyo imeshindikana .
Usiondoke JF
Achilia mbali kuagiza Sukari hata Fedha za kulipa mishahara Watumishi huwa wanaombwa ikibidiYaani kanisa Liambiwe liagize sukari,na unaona sawa tu!!?..
Nchi hii wafanyabiashara hawana msamiati wa kushusha bei !Kwa nini sukari haishuki bei?
Kwa sababu raia wengi ni wajinga na kukosa maarifa, dini hutumika kama njia ya kuwapumbaza ili wanyonywe na kutawaliwa kirahisi.Achilia mbali kuagiza Sukari hata Fedha za kulipa mishahara Watumishi huwa wanaombwa ikibidi
Wanaopewa Kigali kuagiza sukari ni wenye viwandaKazi kuu ya Viongozi wa dini ni kuchunga kondoo wa Mungu, iwe Makanisani au Misikitini ama kwingineko.
Sasa hili la kupewa vibali vya kuagiza sukari kutoka nje ya Nchi ni jambo jipya, na je kwanini wapewe wao? Walipitia mchakato gani, wameanza lini kufanya biashara hiyo, makampuni yao ni yapi?
Muda wowote kuanzia sasa wataanikwa hadharani bila huruma yoyote, Hii ni kwa sababu hakuna kiongozi yeyote wa kweli wa Dini anayeweza kushirikiana na Shetani.
Taarifa zingine zinasema kwamba hizo juhudi kubwa zinazopandikizwa mitandaoni kuonyesha kwamba Chadema kuna mgogoro zimelenga ku divert jambo hili , Hata hivyo imeshindikana .
Usiondoke JF
Ndivyo ilivyo !LOoo, haya mambo yanakwenda mbio sana.
Unasema serikali imetoa vibari kwa taasisi za kidini kufanya biashara ya sukari, au nakusoma visvyo?
Kama ndivyo, huu ndio ulaghai tunaousema kila siku unaofanywa na hawa viongozi.
Sasa wanatumia kila njia kuwahadaa watu, ili wapewe nafasi ya kuendelea na uongozi ambao umewashinda.
Hawa watu wa dini watashiriki katika hujuma juu ya taifa hili kama watatumiwa kijinga namna hii.
Sioooo !Hao viongozi ni Wazanzibari ?
Ngoja Tusubiri tuone. !Kimeumana
Mgogoro upo chadema juzi nilikwambia lissu kafanya maandamano bila baraka za chama ukaniita muongo ninazo taarifa za ndani kuliko wewe!Kazi kuu ya Viongozi wa dini ni kuchunga kondoo wa Mungu, iwe Makanisani au Misikitini ama kwingineko.
Sasa hili la kupewa vibali vya kuagiza sukari kutoka nje ya Nchi ni jambo jipya, na je kwanini wapewe wao? Walipitia mchakato gani, wameanza lini kufanya biashara hiyo, makampuni yao ni yapi?
Muda wowote kuanzia sasa wataanikwa hadharani bila huruma yoyote, Hii ni kwa sababu hakuna kiongozi yeyote wa kweli wa Dini anayeweza kushirikiana na Shetani.
Taarifa zingine zinasema kwamba hizo juhudi kubwa zinazopandikizwa mitandaoni kuonyesha kwamba Chadema kuna mgogoro zimelenga ku divert jambo hili , Hata hivyo imeshindikana .
Usiondoke JF