Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,442
- 219,944
Kazi kuu ya Viongozi wa dini ni kuchunga kondoo wa Mungu, iwe Makanisani au Misikitini ama kwingineko.
Sasa hili la kupewa vibali vya kuagiza sukari kutoka nje ya Nchi ni jambo jipya, na je kwanini wapewe wao? Walipitia mchakato gani, wameanza lini kufanya biashara hiyo, makampuni yao ni yapi?
Muda wowote kuanzia sasa wataanikwa hadharani bila huruma yoyote, Hii ni kwa sababu hakuna kiongozi yeyote wa kweli wa Dini anayeweza kushirikiana na Shetani.
Taarifa zingine zinasema kwamba hizo juhudi kubwa zinazopandikizwa mitandaoni kuonyesha kwamba Chadema kuna mgogoro zimelenga ku divert jambo hili , Hata hivyo imeshindikana .
Usiondoke JF
Sasa hili la kupewa vibali vya kuagiza sukari kutoka nje ya Nchi ni jambo jipya, na je kwanini wapewe wao? Walipitia mchakato gani, wameanza lini kufanya biashara hiyo, makampuni yao ni yapi?
Muda wowote kuanzia sasa wataanikwa hadharani bila huruma yoyote, Hii ni kwa sababu hakuna kiongozi yeyote wa kweli wa Dini anayeweza kushirikiana na Shetani.
Taarifa zingine zinasema kwamba hizo juhudi kubwa zinazopandikizwa mitandaoni kuonyesha kwamba Chadema kuna mgogoro zimelenga ku divert jambo hili , Hata hivyo imeshindikana .
Usiondoke JF