Uzinduzi wa Ndege za ATCL: Kutoka Uwanja wa JNIA eneo la Tanzania Government Flight Agency

Mkuu wameruhusiwa sasa....Raia wanamwagika kwa wingi sana kuingia ndani
Mbona Nape hajaagiza watu wafanye kazi badala ya kuangalia ndege "zikizinduriwa". Au wananchi walioshiriki watapata ujira... Haahaaàaaaaasssh
 
Tukinununua Boeing tutapewa mapumziko ya wiki! Zidumu fikira sahihi za m/kiti wa chama!!!
 
Eti nazo zinazinduliwa? Sasa siku tukileta Air Bus nafikiri kutakuwa na mapumziko ya mwezi mzima.
Wee huoni foleni hiyo ya Abiria wenye LPO washajipanga hawajali mvua... hapo kweli tutapona ?
AnyHow tunaomba Wahusika wawe makini na undugu~nization au infant fares katika ticketing !!
security guard Ahsante hope siku za mbele AIRBUS sita (6) zizinduliwe hapo hapo JNIA !!
 
vip JPM hatatoa tamko angalau watu tusafiri bure kwa muda fulani kama ilivyo kwa magari ya mwendokasi?
 
Naona Burudani Toka Kundi la Ngoma za Asili la Muungano Ndio Linaendelea Hapa!
Magufuli Anachekaaa!
Wanamwaga Sifa Sio Za Kitoto!
Wachezaji wa Ngoma Wanatokea Ruvuma!
Magufuli,Cheko Lake Linabip na Kukata Badala ya Kujipiga Usoni!
Ahahaha
 
vip JPM hatatoa tamko angalau watu tusafiri bure kwa muda fulani kama ilivyo kwa magari ya mwendokasi?
Bado,Ndio Kwanza Yupo Anaangalia Viuno Mauno!
Kuna Dada Yuko Uku Upande wa Wangu wa Kushoto Anamwaga Mauno Huyo!
Naona Magufuli Anaangalia,Jicho Kodo!
 
Naona Kundi la JKT,Wameleta Ngoma Yetu ya Gobogobo toka Kwa Watani Zangu Basukuma!
Naye Anamwaga Masifa na Anasema Tumsamehe kwa Kumwaga Kisukuma!
Upanf Wangu wa Kushoto Kuna Haka Kadada Kamisi Kanacheza Vizuri!
Mlioko Majumbani Mnakosa Mengi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…