Ukikutana na mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA kimbiaaaa mkuu wangu.

Dada zangu mwendo ni ule ule wavurugeni hawa chasaka mpaka wajue hamkwenda unyagoni kuikatikia,

Yaan hajaakaa sawa mle, za kichwa piga za uso, piga mtama ana kuwa chini, chukua mipunga kimbia mamangu,

Hamjaja kushangaa chalii hapa MJINI, mmekuja kuangalia eleri

Na wewe mtoa mada umekosa makabila ya kuoa au ku date nao waache wakunyooshe kama barabara ya mwendokasi ukae sawa mkiambiwa muoe kwenu hamtaki, mkiambiwa kaeni mbali na kina manka hamtaki umepigwa tukio unakuja kulia hapa,

Manka Yuko saa hizi huko otaruni katulia anapasha kitalolo ale unakuja imba mashairi yako kama dulla makabila,

Manka jitahidi kuwanyoosha magoigoi kama haya yasiyokaa kufata maneno ya watu wazima wakiendekeza nyege ,
 
Usioe mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA.

Usifanye biashara na mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA.

Usipange nyumba moja na mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA.

Fanya yoooote na wanawake wa kichagga wa majina mengine, lakini ukisikia tu MANKA, kimbiaaaa mkuu wangu.

I'm done..
Siyo manka tu hata nsia, kekue, tonga, n.k ilmradi ni mchaga ogopa wanajulikana kwa uchangu na mapenzi yao ya vitu. Ongeza na wale wa kipare pia.
 
Back
Top Bottom