Ukikutana na mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA kimbiaaaa mkuu wangu.

Usioe mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA.

Usifanye biashara na mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA.

Usipange nyumba moja na mwanamke wa kichagga anaitwa MANKA.

Fanya yoooote na wanawake wa kichagga wa majina mengine, lakini ukisikia tu MANKA, kimbiaaaa mkuu wangu.

I'm done..
Tena Kimbia Kwa speed ya ngiri mkia juu!!!
 
Manka ni mtoto wa pili wa kike haijalishi ataitwa ivyo au atapewa jina longine so hili bandiko lako baada ya kupigwa kitu kizito halina mantiki.
 
Back
Top Bottom