Ujenzi wa Uwanja wa Mpira Dodoma kwa msaada wa Mfalme wa Morocco umeishia wapi?

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Nov 28, 2013
10,272
35,639
Huenda kuna mambo yamenipita, nimeona niulize hapa.

Ninakumbuka takribani miaka mitano iliyopita kulitokea ujio wa Mfalme wa Morocco hapa Tanzania wakati wa kipindi cha utawala wa Magufuli na ulikwenda sambamba na utiaji wa saini wa mikataba zaidi ya 10 (ambayo hatukuambia kwa kina kila mkataba unahusu nini) na mfalme yule kwa furaha akaahidi kutujengea mara moja msikiti mkubwa sana na uwanja wa kisasa sana pale Dodoma, tena bure!

Sasa muda umepita, kuna ukimya mzito, ahadi ya ujenzi wa uwanja upo kimya mnoo. Nini kinaendelea?
Mfalme wa Morocco ametutapeli kwa maneno? Mfalme katoa pesa na wajanja wa kijani wamezitafuna gizani?

NOTE: Tanzania (kwa kushirikiana na Kenya na Uganda) tunataka kuwa wenyeji wa AFCON 2027, na mkakati ni kuwa na viwanja vitatu, Uwanja wa Mkapa upo tayari unahitaji marekebisho machache), Zanzibar tayari wanarekebisha uwanja wao, hivyo kunabakia upungufu wa uwanja mmoja, na sasa tumesikia serikali imeanza mpango wa kujenga uwanja mpya Arusha, hivyo mabilioni ya pesa yatabidi kutengwa kwa kazi hiyo.
 
Huenda kuna mambo yamenipita, nimeona niulize hapa.

Ninakumbuka takribani miaka mitano iliyopita kulitokea ujio wa mfalme wa Morocco hapa Tanzania wakati wa kipindi cha utawala wa Magufuli na ulikwenda sambamba na utiaji wa saini wa mikataba zaidi ya 10 (ambayo hatukuambia kwa kina kila mkataba unahusu nini) na mfalme yule kwa furaha akaahidi kutujengea mara moja msikiti mkubwa sana na uwanja wa kisasa sana pale Dodoma, tena bureee!

Sasa muda umepita, kuna ukimya mzito, ahadi ya ujenzi wa uwanja upo kimya mnoo. Nini kinaendelea?
Mfalme wa Morocco ametutapeli kwa maneno?
Mfalme katoa pesa na wajanja wa kijani wamezitafuna gizani?

NOTE:
Tanzania (kwa kushirikiana na Kenya na Uganda) tunataka kuwa wenyeji wa AFCON 2027, na mkakati ni kuwa na viwanja vitatu, (Uwanja wa Mkapa upo tayari (unahitaji marekebisho machache), Zanzibar tayari wanarekebisha uwanja wao, hivyo kunabakia upungufu wa uwanja mmoja, na sasa tumesikia serikali imeanza mpango wa kujenga uwanja mpya Arusha (hivyo mabilioni ya pesa yatabidi kutengwa kwa kazi hiyo))
Mwendazake kaondoka na pesa za uwanja.
 
Huenda kuna mambo yamenipita, nimeona niulize hapa.

Ninakumbuka takribani miaka mitano iliyopita kulitokea ujio wa mfalme wa Morocco hapa Tanzania wakati wa kipindi cha utawala wa Magufuli na ulikwenda sambamba na utiaji wa saini wa mikataba zaidi ya 10 (ambayo hatukuambia kwa kina kila mkataba unahusu nini) na mfalme yule kwa furaha akaahidi kutujengea mara moja msikiti mkubwa sana na uwanja wa kisasa sana pale Dodoma, tena bureee!

Sasa muda umepita, kuna ukimya mzito, ahadi ya ujenzi wa uwanja upo kimya mnoo. Nini kinaendelea?
Mfalme wa Morocco ametutapeli kwa maneno?
Mfalme katoa pesa na wajanja wa kijani wamezitafuna gizani?

NOTE:
Tanzania (kwa kushirikiana na Kenya na Uganda) tunataka kuwa wenyeji wa AFCON 2027, na mkakati ni kuwa na viwanja vitatu, (Uwanja wa Mkapa upo tayari (unahitaji marekebisho machache), Zanzibar tayari wanarekebisha uwanja wao, hivyo kunabakia upungufu wa uwanja mmoja, na sasa tumesikia serikali imeanza mpango wa kujenga uwanja mpya Arusha (hivyo mabilioni ya pesa yatabidi kutengwa kwa kazi hiyo))
Nchi ina mambo mengi ya msingi wewe unawaza viwanja? Kilichopo kiko over utilized? Waafrica ni lini tutaacha ujinga
 
Tanzania isipoteze pesa kujenga viwanja vikubwa.
Watanzania ni masikini, hawana uwezo wa kugharamika kushuhudia mechi kila zinapooneshwa.

Bora viwanja vidogo vijengwe kama Azam Complex
Mkuu nashangaa sana wapizi wanawaza viwanja wakato kuna mambo mengi ya msingi,
 
Miaka ya mwanzo walikuwa wanapasafisha na kuweka level lakini sasa pametelekezwa! Huenda pesa ilikuja ikapangiwa matumizi mengine au haikutolewa maana Kama sijakosea Mfalme husika aliaga Dunia!
 
Huenda kuna mambo yamenipita, nimeona niulize hapa.

Ninakumbuka takribani miaka mitano iliyopita kulitokea ujio wa mfalme wa Morocco hapa Tanzania wakati wa kipindi cha utawala wa Magufuli na ulikwenda sambamba na utiaji wa saini wa mikataba zaidi ya 10 (ambayo hatukuambia kwa kina kila mkataba unahusu nini) na mfalme yule kwa furaha akaahidi kutujengea mara moja msikiti mkubwa sana na uwanja wa kisasa sana pale Dodoma, tena bureee!

Sasa muda umepita, kuna ukimya mzito, ahadi ya ujenzi wa uwanja upo kimya mnoo. Nini kinaendelea?
Mfalme wa Morocco ametutapeli kwa maneno?
Mfalme katoa pesa na wajanja wa kijani wamezitafuna gizani?

NOTE:
Tanzania (kwa kushirikiana na Kenya na Uganda) tunataka kuwa wenyeji wa AFCON 2027, na mkakati ni kuwa na viwanja vitatu, (Uwanja wa Mkapa upo tayari (unahitaji marekebisho machache), Zanzibar tayari wanarekebisha uwanja wao, hivyo kunabakia upungufu wa uwanja mmoja, na sasa tumesikia serikali imeanza mpango wa kujenga uwanja mpya Arusha (hivyo mabilioni ya pesa yatabidi kutengwa kwa kazi hiyo))
Hivi alitoa kweli hizi hela?
 
Ingekuwa ni wakati huu wangesema Samia kauza Viwanja kwa Waarabu wake.
 
Tanzania isipoteze pesa kujenga viwanja vikubwa.
Watanzania ni masikini, hawana uwezo wa kugharamika kushuhudia mechi kila zinapooneshwa.

Bora viwanja vidogo vijengwe kama Azam Complex
Mkuu kwani pale Dodoma tulitaka kujenga kwa pesa zetu?
Unaweza kumpangia cha kufanya yule anayekuja kukusaidia?
Mfalme mwenyewe (baada ya kufurahi) aliaahidi kutujengea buree uwanja mkubwa wa kisasa pale Dodoma.
 
Pesa za huo ujenzi wa uwanja dodoma zilitolewa 2022 na mfalme wa vi lakini wajanja wamezipiga.si mnajua kwa sasa ni awamu ya wapigaji chini ya hangaya
 
Kila rais ana katiba yake na yanayomfurahisha ......wagogo wafanyie nini uwanja .....wote wako barabarani omba omba
 
Tanzania isipoteze pesa kujenga viwanja vikubwa.
Watanzania ni masikini, hawana uwezo wa kugharamika kushuhudia mechi kila zinapooneshwa.

Bora viwanja vidogo vijengwe kama Azam Complex
Wasanii nao wanataka wajengewe arena

Ova
 
Yule Mfalme wa Morocco aliwashangaa sana Watanzania na hasa Magufuli kwa tabia ya kuomba omba akaamua awakubalie ili asiwaabishe. Lakini kamwe Morocco haiwezi kutoa fedha zake kwa mafisadi halafu muanze kujisifia CCM mbele kwa mbele!
 
Mkuu kwani pale Dodoma tulitaka kujenga kwa pesa zetu?
Unaweza kumpangia cha kufanya yule anayekuja kukusaidia?
Mfalme mwenyewe (baada ya kufurahi) aliaahidi kutujengea buree uwanja mkubwa wa kisasa pale Dodoma.
Haijalishi
 
Back
Top Bottom