Bado hujasemaKatiba mpya haiandikwi na Chadema , Katiba mpya inaandikwa kwa kuzingatia maoni ya wananchi yanayoendana na wakati uliopo sasa . Katiba ya 1977 imepitwa na wakati . Hata wananchi wanawaunga mkono Chadema na ajenda ya katiba mpya .
Harafu Kuna nyumbu wanaandamana 😂😂😂😂Nadhani bora zimwi ulijuali halikuli ukakwisha.
Uchaguzi wa chadema unaenda kuleta viongozi wala rushwa ambao wataongoza mapambano ya kupata katiba mpya ambayo, pamoja mambo mengine, itapambana na rushwa.
Chichi dodo
Katiba haibadilishwi kwa sababu tu ni ya mwaka 1977. Mbona Quran haipitwi na wakati?Katiba mpya haiandikwi na Chadema , Katiba mpya inaandikwa kwa kuzingatia maoni ya wananchi yanayoendana na wakati uliopo sasa . Katiba ya 1977 imepitwa na wakati . Hata wananchi wanawaunga mkono Chadema na ajenda ya katiba mpya .
Tuhuma hizi kwa chadema ni nzito sana,ndio maana kila siku nawaambia humu kuwa ni waongo sana,bora lissu kawaumbua,na hapo Mbowe anajua rushwa ipo ila sababu yeye ndio dili zake,Lissu kamlipua.Nadhani bora zimwi ulijuali halikuli ukakwisha.
Uchaguzi wa chadema unaenda kuleta viongozi wala rushwa ambao wataongoza mapambano ya kupata katiba mpya ambayo, pamoja mambo mengine, itapambana na rushwa.
Chichi dodo
Yupo.Kweli kabisa, Kizizi yupo?
Ccm angalau mmepata hoja na ahueniNadhani bora zimwi ulijuali halikuli ukakwisha.
Uchaguzi wa chadema unaenda kuleta viongozi wala rushwa ambao wataongoza mapambano ya kupata katiba mpya ambayo, pamoja mambo mengine, itapambana na rushwa.
Chichi dodo
Halima anarudi chadema, chiba hataamini macho yake, chiba anatukana mamba hajavuka mto? Alikuwa hoi kaoga risasi, watu wakamsaidia leo anawatukana?Ccm angalau mmepata hoja na ahueni
Chadema wanajua kudeal na hizi issue ndogondogo tuwape muda
Kama walimfukuza halima mdee na wahuni wenzake 18,
Hawashindwi kitu
WalimfukuzA zito, kabourou, slaa, bananga, , na bado wako fit
Usiwe na wasiwasi atafunga na WiFi free uwe unapambana na chadema hapa jf.Ngoja amalizie gesti yake hapo tuanze kulala