Uchaguzi 2025: Waitara anataka kumkimbia Heche Tarime? Aibana serikali kuhusu kugawa majimbo kwa ajili ya uchaguzi ujao

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,411
21,321
Angurumapo simba mcheza nani? Ngurumo za John Heche jimbo la Tarime zimemtikisa Waitara, na anaomba serikali itoe msimamo kuhusu mgawanyo wa majimbo.

Waitara anatoa hoja hiyo wakati hata timu hazijaingia uwanjani na refa hajapuliza kipyenga.

Mang'ana ghasarikile!!

Waitara ni moja kati ya watanzania ambao mwaka 2020 walioupenda wimbo wa "nibebee nibeebe nibebee nibeebe, nibembeleze nibebee....." Ulioimbwa na Rose Muhando, hata hivyo haitarajiwi Rose Muhando atatoa wimbo kama huo 2025
1712076702511.png
 
Majimbo mapya yanapo ongezeka na gharama nyingine zisizo za msingi zinaongezeka kwa serikali ambazo ni kodi zetu wananchi gharama ambazo zingebebwa na jimbo lilopo kwa muda huo.. Mi naona serikali izingatie vigezo kutenga jimbo la utawala.
 
Kwani vigezo vya kugawa au kuongeza jinbo haijulikani??
 
Back
Top Bottom