Nyumbu
Senior Member
- May 22, 2008
- 141
- 1
kazi nzuri wakuu......Mimi naomba kama anaweza kujua majina ya hawa vijana walioshika hilo bakuli ambalo mwalimu anachanganya mchanga huo na bado wako hai?mbona sijawahi kusikia wakikumbukwa.......pia hao akina mama kushoto ni akina nani na huyo mzee kushoto anaepiga makofi......
Huyo mzee anaepiga makofi kushoto ni chifu petro itosi marealle (marehemu). Alikuwa ana represent machifu wa tanzania.