NANGA WA DEPO
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 917
- 1,201
-Hao waigizaji wakuu Bondita na mumewe mbona wanatofautiana sana umri.
-Watoto wanajifunza nini wakiona mtoto mwenzao analiita baba zima ''mumewangu''
-watoto wadogo wanawaza kuolewa kuliko hata homework
-Na Mamlaka zinazohusika mpo tu,, sasa mna msaada gani kama tatizo kama hili hamulioni?
-Ee Mwenyezi Mungu wakumbuke watoto wa Taifa hili..! Mipango ya shetani😈 Haina nafasi wala Mamlaka kwa watoto wako.
-Watoto wanajifunza nini wakiona mtoto mwenzao analiita baba zima ''mumewangu''
-watoto wadogo wanawaza kuolewa kuliko hata homework
-Na Mamlaka zinazohusika mpo tu,, sasa mna msaada gani kama tatizo kama hili hamulioni?
-Ee Mwenyezi Mungu wakumbuke watoto wa Taifa hili..! Mipango ya shetani😈 Haina nafasi wala Mamlaka kwa watoto wako.