Punguza jazba mama, kumbuka uongozi ni msalaba.Wewe nani kakuambia Hawa hawatasoma tena? Mbona hata huko mahabusu za watoto wanasoma. Mbona mnapotosha ukweli kuwa ilibidi waondolewe pale wakarekebishwe tabia ndiyo waende tena kuanza shule? Mlitaka waachwe pale waharibu wote au?
Halafu mbona mimi nimekuta walishaondolewa shuleni kitambo? Au mnadhani mimi ndiyo jana nimewaondoa? Mbona chanzo cha taarifa nacho kimedanganya? Au nacho nikishtaki?
Mbona ngono ni kitu cha kawaida tu ...kwani hso waliobaki shuleni bila ya kufukuzwa ni bikira woteYaani hawa watoto wetu wamekosa maadili kabisa Yaani sie wazazi tunajinyima mengi ili watoto wasome halafu mwisho wa siku wanatutia aibu!
Hebu kiongozi nisaidie kunitumia hizo picha hapa ili tujaribu kushauriana kama wazazi
Ccm imejaa wapuuzi wengi sana ...swali hao wanafunzi walio baki ni bikira kama siyo bikira mbona wao awajafukuzwa ....kama ni haki kufukuzwa kisa kusex tu ...kwanini serikalini isifukuze watoto wote wasio bikira mashuleni....swala la wanafunzi kusex ni kitu cha kawaida mashuleni bora ingekuwa ushoga sawa ila normal sex ni afya kwa wanafunzi tena inapunguza ushoga ...unspo dhibiti normal sex kwa nguvu sana basi moja kwa moja unafungua mlango wa ushoga na usagaji ...tumieni akili...kule zanzibar ushoga ulifumuka sana baada ya watoto wa kike kufichwa.Wewe nani kakuambia Hawa hawatasoma tena? Mbona hata huko mahabusu za watoto wanasoma. Mbona mnapotosha ukweli kuwa ilibidi waondolewe pale wakarekebishwe tabia ndiyo waende tena kuanza shule? Mlitaka waachwe pale waharibu wote au?
Halafu mbona mimi nimekuta walishaondolewa shuleni kitambo? Au mnadhani mimi ndiyo jana nimewaondoa? Mbona chanzo cha taarifa nacho kimedanganya? Au nacho nikishtaki?
Eti umri wa kujaribu kila kitu , mbona hawakujaribu sumu ili wajue kama inauwa au haiuwi?Watoto wapeni elimu ya uzazi Kwa uwazi
Wafundisheni kutumia mitandao Kwa usalama
Haoabinti wapo katika balehe Kwa Sasa wanajaribi kila kitu wasaidie.
Mwisho wafichie Siri
Naamini wewe kama waziri zuia video Yao kusambazwa na kufutwa
Hao kesho watakuwa waziri kama wewe, Ndo Rais, ndo madaktari wetu wa kesho
Kuendelea kuwanyanyapaa ni kuharibu future Yao
Mmefanya kosa kuwaondoa shuleni, hata ingekuwa Kwa siku 1, waache wasome, wasaidie kisaikolojia huku wanaendelea ma masomo
Msiwatenge watajiona wamefanya hatia kubwa
Wamefukuzwa kwa kukirekodi na kusambaza picha za uchi uwe unesoma maelezo na kuyaelewa acheni kukurupuka.Ccm imejaa wapuuzi wengi sana ...swali hao wanafunzi walio baki ni bikira kama siyo bikira mbona wao awajafukuzwa ....kama ni haki kufukuzwa kisa kusex tu ...kwanini serikalini isifukuze watoto wote wasio bikira mashuleni....swala la wanafunzi kusex ni kitu cha kawaida mashuleni bora ingekuwa ushoga sawa ila normal sex ni afya kwa wanafunzi tena inapunguza ushoga ...unspo dhibiti normal sex kwa nguvu sana basi moja kwa moja unafungua mlango wa ushoga na usagaji ...tumieni akili...kule zanzibar ushoga ulifumuka sana baada ya watoto wa kike kufichwa.
Kusambaza hiyo ni xdenti huwa inatokea sema lugha utumika kusambaza ila ni kuvuja kwa taarifa hata,wale walio baka kuna mmoja tu ndiye kasambaza iwe kwa kukusudia au kuto kukusudia ...na hiyo ni aibu yao wenyewe hakuna haja ya kuwafukuza shule hao walitakiwa kuelekezwa tu ...ndani ya ccm kuna machafu kuliko hayo ..kuna machoko wa kutosha na mabasha.mbona wanazidi kupewa vyeo tuWamefukuzwa kwa kukirekodi na kusambaza picha za uchi uwe unesoma maelezo na kuyaelewa acheni kukurupuka.
Kwaiyo akiwa mwanao ameji rekodi video ya utupu utamfukuza kwakoEti umri wa kujaribu kila kitu , mbona hawakujaribu sumu ili wajue kama inauwa au haiuwi?
Ww mzazi ushindwe kulea mtoto wako vizuri alafu afanye ujinga ahachwe ili aharibu na wengine?
Leo hii nchi za Asia zimeendelea kwa kuweka sheria kali na kutoendekeza upuuzi.
Wao wenyewe ndo walio jirekodi wakijisugua mbususu zao kisha wakazisambaza na wala sio bahati mbaya.Kusambaza hiyo ni xdenti huwa inatokea sema lugha utumika kusambaza ila ni kuvuja kwa taarifa hata,wale walio baka kuna mmoja tu ndiye kasambaza iwe kwa kukusudia au kuto kukusudia ...na hiyo ni aibu yao wenyewe hakuna haja ya kuwafukuza shule hao walitakiwa kuelekezwa tu ...ndani ya ccm kuna machafu kuliko hayo ..kuna machoko wa kutosha na mabasha.mbona wanazidi kuwewa vyeo tu
Siwezi kumfukuza kwa sababu ni mtoto wangu akiharibikiwa ni hasara kwangu , lakini huko shuleni hakuna mzazi wake wa kumuonea huruma bali kuna sheria zake zinazo takiwa kufuatwa na kila mwanafunzi na ukizikiuka ni razima achukuliwe hatua.Kwaiyo akiwa mwanao ameji rekodi video ya utupu utamfukuza kwako
Makosa Kwa vijana ni kawaida hayo ya ngono, ulevi, bangi, n.k
Ni kuwaonya taratibu wanakaa kwenye mstari
Kwaiyo wakikosea ndo hawatabadilika
Wewe hujawahi kukosea
Hukufanya ngono kabla ya ndoa?
Acha kuhukumu, hawa ni watoto hawajui madhara ya mambo mengi
Kwani kuna uhusiano gani wa shule na kupost picha...kwani wanafunzi wamekwenda kutafuta elimu haela au elimu dunia kama wamekwenda kutafuta elimu ya kuingia peponi ni sawa kuwafukuza shule kwa sababu hiyo ..tusichanganye mambo...matukio mabaya ni yale ya mtu kudhulumu nafsi ya mtu mwingine kinyume na haki ila hayo mambo binafsi siyo ya kumfukuza shule je wakienda shule binafsi watakubaliwa na serikali itawatambua kama ndiyo je logic ni nini sasaWao wenyewe ndo walio jirekodi wakijisugua mbususu zao kisha wakazisambaza na wala sio bahati mbaya.
Kama hilo kosa halitoshi kuwafukuza shele basi adhabu ya kufukuzwa shule ifutwe.
Nyinyi wazazi wa siku hizi mna malezi ya hovyo ndo mnatakiwa kulaumiwa.
Basi wabakaji ,wauwa alibino, majambazi ,wezi ,nao waachwe kwa sababu ndani ya ccm wamejaa watu waovu zaidi.
Wewe ni mbinafsi sanaSiwezi kumfukuza kwa sababu ni mtoto wangu akiharibikiwa ni hasara kwangu , lakini huko shuleni hakuna mzazi wake wa kumuonea huruma bali kuna sheria zake zinazo takiwa kufuatwa na kila mwanafunzi na ukizikiuka ni razima achukuliwe hatua.
Walio takiwa kuwaonya na kuwaeleza madhara ya walicho kifanya ni wazazi wao lakini wazazi ndo hao walio jaa uzungu uchwara.
Kwani mahakimu wanao wahukumu watu kwenda jera kwa makosa mbali mbali wao huwa hawakosei?kwahiyo mahakama zifutwe kwasababu hata walio ziweka hizo mahakama huwa wanakosea?
Ww kwenye udogo wako kama ulifanya huo upumbavu huo ulio utaja usidhani kila mtu kafanya huo upumbavu wengine tulikuwa na wazazi wanao jua nn maana ya malezi ya watoto wao.
Kila taasisi ina sheria zake na ukienda hapo unatakiwa kuzifuata ukishindwa basi hufai kuwepo hapo acheni kuendekeza upumbavu.Kwani kuna uhusiano gani wa shule na kupost picha...kwani wanafunzi wamekwenda kutafuta elimu haela au elimu dunia kama wamekwenda kutafuta elimu ya kuingia peponi ni sawa kuwafukuza shule kwa sababu hiyo ..tusichanganye mambo...matukio mabaya ni yale ya mtu kudhulumu nafsi ya mtu mwingine kinyume na haki ila hayo mambo binafsi siyo ya kumfukuza shule je wakienda shule binafsi watakubaliwa na serikali itawatambua kama ndiyo je logic ni nini sasa
Adhabu zetu bado sio constructive. Zimekaa kikoloni sana. Sasa wamefukuzwa ili wakaendelee huko mtaani au inakuwaje? Nafikiri ingetafutwa njia nyingine ya kuwasaidia. Lengo la adhabu ni kumrekebisha mkosaji. Sasa kuwafukuza tumewarekebisha kweli?Wakuu habari zenu!
Kuna hii taarifa ya hawa watoto wa Shule kufukuzwa huko Tabora, kuna namna sauti inatakiwa kupazwa kutokana na adhabu kubwa waliyopewa ukilinganisha na umri wao, walikuwa na nafasi yakuonywa na kuendelea na masomo ila sio kukatiza mazima.
Wanafunzi wawili wa kike kutoka shule moja ya sekondari mkoani Tabora, wamefukuzwa shule kwa makosa ya kujirekodi picha za utupu na kuzisambaza.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Gwajima D , amewataka maafisa Ustawi wa Jamii, Maendeleo ya Jamii na maafisa Elimu wote nchini kuimarisha madawati ya ulinzi wa watoto shuleni ili kusaidia kupunguza mmomonyoko wa maadili na ukatili wa kijinsia kwa wanafunzi.
Soma, Pia:
+ Tabora: Wanafunzi Tabora wakamatwa na simu zaidi 120 zilizoungwa makundi wanayotumia kutumiana picha/video za ngono
Tumeni picha ama mnatusumbua tuMbaya zaidi kale katoto hakana marinda
Sisi atuongelei sheria hapa tunaongelea HAKI ....sheria zipo hadi zakuunga mkono ushoga ...hapa tunaongelea haki haki haki haki ..nachukia sana watu wanao dhani sheria ndiyo hakiKila taasisi ina sheria zake na ukienda hapo unatakiwa kuzifuata ukishindwa basi hufai kuwepo hapo acheni kuendekeza upumbavu.
Jukumu la kulea mtoto kuwa na maadili ni la mzazi na sio la mwalimu wala serikali ,kazi ya mwalimu na serikali ni musimamia sheria za wizara ya elimu zinavyo sema.
Una hakika huna chuki nae!!???hakuna siri, kwa mtazamo wangu, katika mawaziri failures wa mama Samia huyu Dkt. Gwajima D anaongoza.
Taifa limeporomoka kabisa kimaadili mpaka naamini kuwa yeye ndiye muhusika mkuu wa maadili kuporomoka kwa kushindwa kwake kudhibiti kwa njia za kisasa.
Nilicheka peke yangu, aliponambia humu JF kuwa anatumia mbinu za enzi za mMkapa kupambana na matatizo ya sasa.
Nilimponda hapohapo, kwani hata nilipojaribu kumshauri alikuwa hanielewi kabisa. Nikaelewa kuwa huyu mwanamke hana ubunifu kabisa.
Tunajionea maadili ya jamii yanavyozidi kuporomoka kila kukicha.