ITR
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 5,730
- 15,424
Kamwambie mbunge wako sasa apeleke mswada bungeni ili sheria zibadilishwe ziwekwe unazo taka ww.Wewe kwenye simu umeona mabaya tu
Hujui Kuna mazuri mengi ya simu,
Kwanini mnaamini mtoto kuwa na simu ni dhambi?
Haki ya misingi ni mtoto apate elimu hata iweje, awe mlemavu, awe Malaya, mlevi n.k
Hakuna sheria ya kutengua mtoto asipate elemu