FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,165
- 122,941
ndiyo hilo ninalosema mimi, labda hunisomi ka moyo wako, unanisoma kwa kichwa chako.Hakuna kitabu kilichohalalisha huo usingo mama, waache zinaa na waliopo kwenye ndoa wachunge ndoa zao ili malezi ya watoto yahusishe pande zote mbili(baba na mama).
Hallelujah!!!
Maadili sifuri, hiyo jamii itastawi vipi?