Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Flatness doesn't need to be proven,...utaiona Kwa macho Tu....fanya exploration Dunia nzima kisha tuambie nini umeona.? Tufe/flat?

Dunia Tufe linalozunguka ndiyo linatakiwa kuwa proven!

Mimi Sipo hapa kutunga nadharia zangu.... nadharia nakuachieni nyie mnaoamini kwamba theories ni facts 100%.
Utaona flat "surface" ndani ya Dunia Tufe.




Nlizungumza kuhusu NASA kujua kuhusu ni siku gani, mda gani na sehemu gani effect ya kupatwa kwa jua itakua kubwa.

Nkakuuliza unadhani wanajua kwa kuotea ?

Wanajua kwasababu wanatambua mwenendo mzima wa mzunguko wa Dunia, Na wanatambua mzunguko mzima wa Mwezi kwahiyo hesabu zote zinazingatia hayo.


Dunia ni tufe muache ubishi usio na maana.
 
Haya mawazo yako alikuwa nayo Muhamad mtume wa Waarabu.. Kwahiyo sitoshangaa ukisema wewe muislamu. Dunia haiwezi kuwa flat

Sasa.,.kama Macho yako Yana observe flat plane ya Dunia.

Ni kitu gani kinachokufanya uamini Dunia ni Tufe wakati hakuna ushahidi wowote usio na shaka, ukizingatia teknolojia tuliyonayo zama hizi?

Au unafuata mkumbo Tu?
 
Kama Dunia haiwezi kuwa flat naomba unijibu haya maswali kwa ufasaha,
1. Ni point zipi exactly ambapo tunaweza kuona curve ya dunia?.
2. Kwanini ukiwa angani huoni Dunia ikizunguka?, hata wao mpaka leo wameshindwa kuprove.
3. Ni kivipi maji yanacurve kwenye globe?
Hana pa kuyatolea majibu,.. Kwasababu hata anaowategemea pia hawana majibu.

Some people have left others to think on their behalf..."
 
Hana pa kuyatolea majibu,.. Kwasababu hata anaowategemea pia hawana majibu.

Some people have left others to think on their behalf..."
Kama ambavyo umeshindwa kutolea majibu kuhusu sunrise na sunset,zaidi ya kubumba bumba.
 
Kama ambavyo umeshindwa kutolea majibu kuhusu sunrise na sunset,zaidi ya kubumba bumba.
The sun doesn't set nor rise....!

Nadhani jibu hilo linatosha kukuonyesha kwamba it's just an Illusion ndiyo inakufanya uchanganye mambo.
 
Dunia ingekua flat jua lingeonekana muda wote, Kwasababu mnadai lipo juu.

hateeb10
Dunia ni kubwa sana,....Jua haliwezi kuonekana na kuangazia Dunia nzima at once..linafanya movement ambayo inapelekea day & Night in different sides of the world!

Naamini hata wewe hiki ndiyo unachokiona apart from what you've been told.
 
Dunia ni kubwa sana,....Jua haliwezi kuonekana na kuangazia Dunia nzima at once..linafanya movement ambayo inapelekea day & Night in different sides of the world!

Naamini hata wewe hiki ndiyo unachokiona apart from what you've been told.
Kumbe unajua kama Dunia ni kubwa hahaha.

Sasa mbona kuna mambo unataka uyaone kama vile Dunia ni ndogo sana.
 
Dunia ni kubwa sana,....Jua haliwezi kuonekana na kuangazia Dunia nzima at once..linafanya movement ambayo inapelekea day & Night in different sides of the world!

Naamini hata wewe hiki ndiyo unachokiona apart from what you've been told.
Na hapa ndio tulihitaji uchague zile animation alizoziweka mdau humu, ili tufahamu mnaposema jua lina move huwa lina move kwa mtindo upi kwenye kuleta usiku na mchana.

Lengo tuwaulize maswali ili tupate majibu yanayoridhisha.
 
Kumbe unajua kama Dunia ni kubwa hahaha.

Sasa mbona kuna mambo unataka uyaone kama vile Dunia ni ndogo sana.
Kwahiyo Kama kuna mambo huyaoni ndiyo inabidi ujitungie uongo?

Utasikia..."Ship disappear towards the curve"
"Gravity holds up water from falling down the earth"
" The earth rotates"

Ukiulizwa ushahidi kuhusu madai hayo unaanza ooh unajua unajua...
 
Kwahiyo Kama kuna mambo huyaoni ndiyo inabidi ujitungie uongo?

Utasikia..."Ship disappear towards the curve"
"Gravity holds up water from falling down the earth"
" The earth rotates"

Ukiulizwa ushahidi kuhusu madai hayo unaanza ooh unajua unajua...
Acha siasa.
 
Na hapa ndio tulihitaji uchague zile animation alizoziweka mdau humu, ili tufahamu mnaposema jua lina move huwa lina move kwa mtindo upi kwenye kuleta usiku na mchana.

Lengo tuwaulize maswali ili tupate majibu yanayoridhisha.
So., unataka ujue object ambayo mnadai ipo Miles 93 million ina move vipi?

Unazijua 93 Million miles?
 
Ushaanza kujichanganya,

Kwa ukomo wako wa kufikiri ni jambo gumu na kubwa mno.
Ingekua ni rahisi ungefanya research mwenyewe,..sio umekaa unasubiri NASA wakuambie cha kuamini.

NASA kila siku wanasema wanaenda mwezini.., tusubiri siku waende kwenye Jua basi ili tuone jinsi ilivyo rahisi kama unavyodai.
 
Ingekua ni rahisi ungefanya research mwenyewe,..sio umekaa unasubiri NASA wakuambie cha kuamini.

NASA kila siku wanasema wanaenda mwezini.., tusubiri siku waende kwenye Jua basi ili tuone jinsi ilivyo rahisi kama unavyodai.
Hahaha usipanic kaka,

Kunywa maji relax kisha tuendelee.
 
Back
Top Bottom